Sifi Leo Platinum Member Joined Mar 30, 2012 Posts 5,937 Reaction score 10,815 Feb 20, 2026 #1 Kuna habari ya wanaume wawili kutoka Zanzibari ya kuwa wametekwa na watu wawili walio kuwa na gari aina ya IST nauliza kweli wanaume mnatekwa kwenye gari aina hii? Rais wa Zanzibari chukua hatua
Kuna habari ya wanaume wawili kutoka Zanzibari ya kuwa wametekwa na watu wawili walio kuwa na gari aina ya IST nauliza kweli wanaume mnatekwa kwenye gari aina hii? Rais wa Zanzibari chukua hatua
mkupuo JF-Expert Member Joined Apr 6, 2012 Posts 1,840 Reaction score 2,128 Feb 20, 2026 #2 Tatizo ni urojo. Wawe wanakula vyakula vya kiumeni.