wanaume wanaume wanaume...jiangalieni jamani

wanaume wanaume wanaume...jiangalieni jamani

hatuna wadada wanaotoa huduma za kusafisha kwapa na meno kama ninyi mnavyosafishwa na machinga. Hatuna kwapa za kichina kama nyewele zenu, hatuweki meno bandia kma mfanyavyo ktk kucha, kope na nywele. In short we are nt fake

baelezee
 
vipi wewe kikwapa chako?

10131285
 
Mke wangu ana mimba anapenda harufu ya kwapa langu,mimba yake imekimbilia huko teh teh teh
 
Teh teh teh....kuna uzi uliletwa hapa unasema "mapinduzi makubwa jf" I think moja ya mapinduzi hayo ni hii maana ilikua tunawasema sana wanawake ila sasa zamu yetu....go ahead harufu mbaya na kingine nini?


mhh! mue mnafua hata hizo boxer zenu, sio boxer moja mtu avaaaa weee hata mwezi...
 
Hapa kama kuna ushabiki vile!!!
...
Inakupasa utambue kuwa, Binadamu yoyote anaefanya kazi ngumu ni lazima anuke kikwapa hadi pale atakapooga!
...
Usidhani me wote wanafanya kazi ofisini na kuzunguka na viti!
Kumkuta me ananuka kikwapa akiwa ndani ya daladala huwezi kuconclude kuwa huyo ni mchafu!
Wengine ni time yao ya kurudi mihangaikoni ili wawaridhishe ninyi ke!
...
Labda ningekubaliana na wewe if ungemkuta huyo me ananuka kikwapa ktk enjoyment places!
...
Vile vile utambue sometimes kunuka kikwapa ni maradhi yasiochagua me wala ke!
...
Acha kukremu na kuleta ushabiki bhana!
 
Baba paroko hivi wewe haya ya K umeyajuaje haya:shocked::shocked::shocked::shocked:

Hujui kuwa huwa nasuluhisha ndoa za wanakondoo wangu na huwa wananiambia matatizo yao

Lakini inamaana kwingine hujaona umeona hapo kwenye K tu??
Una matatizo wewe!!
 
Hujui kuwa huwa nasuluhisha ndoa za wanakondoo wangu na huwa wananiambia matatizo yao

Lakini inamaana kwingine hujaona umeona hapo kwenye K tu??
Una matatizo wewe!!

wana kondoo nao hawajambo.....ngoja na mie nije weekend hii nikueleze swala langu

Nimevutiwa na hapo tu....macho yangu yatakuwa na shida nini
 
Sasa kama wa kwako hana hili tatizo umejuaje
basi itakuwa umeisaliti ndoa yako ukawa umekutana na waaina hii na siyo wanaume tu wanawake ndio usiseme kabisa yaaani wananuka kama nini
ama ulipanda kwenye hais ndio ukaona hiyo harufu
duuuu pole kwa yaliyokusibu bwana
inawezekana wewe ndio una shida hii...JIPENDE KAKA! KWA TAARIFA YAKO MUME WANGU HANA SHIDA KABISA NDIO MAANA NIKAMKUBALI TANGU MWANZO,,,,,,,,sasa we endelea na MAUBISHI YAKO uone utakavyohangaika.....pole sana!
 
habarini za leo ndg zangu...

jamani leo ninakuja na mada hii kwa wanaume mnaokuwa na harufu KALI, MBAYA za midomo na vikwapa. Mtapata shida sana kukubalika kwa wadada. Hata kwenye madaladala humu utakuta mtu akitoa pumzi tu ni harufu mbaya...sasa ombea uwe umesimama naye kaegesha kwapa lake, ni aibu!!jamani kaka zetu, JIPENDENI...tatizo ni nini?

Unaweza kutapika
 
Ni kweli kabisa mkuu labda atuwekee picha tuweze kumuona na mazingira ndio itakuwa kigezo kikubwa tena kasema kuwa mmetusema vya kutosha sasa kaja na gia ya kwapa bila kuangalia mbali zaidi
mwisho nakupa pongezi kwa kuongea vitu vya ukweli mkuu
Hapa kama kuna ushabiki vile!!!
...
Inakupasa utambue kuwa, Binadamu yoyote anaefanya kazi ngumu ni lazima anuke kikwapa hadi pale atakapooga!
...
Usidhani me wote wanafanya kazi ofisini na kuzunguka na viti!
Kumkuta me ananuka kikwapa akiwa ndani ya daladala huwezi kuconclude kuwa huyo ni mchafu!
Wengine ni time yao ya kurudi mihangaikoni ili wawaridhishe ninyi ke!
...
Labda ningekubaliana na wewe if ungemkuta huyo me ananuka kikwapa ktk enjoyment places!
...
Vile vile utambue sometimes kunuka kikwapa ni maradhi yasiochagua me wala ke!
...
Acha kukremu na kuleta ushabiki bhana!
 
Vibweka na vituko haviishi humu ndani, mara wanaume wananuka vikwapa na midomo, mara jamaa analalamika dem wake ananuka papuchi hivyo anataka kumuacha!ha ha ha haaaaaaa,visa kila kukicha, msije tu mkamwagiana tindi kali!!!
 
Hatuna wadada wanaotoa huduma za kusafisha kwapa na meno kama ninyi mnavyosafishwa na machinga. Hatuna kwapa za kichina kama nyewele zenu, hatuweki meno bandia kma mfanyavyo ktk kucha, kope na nywele. In short we are nt fake


Huyu kaguswa!
 
wana kondoo nao hawajambo.....ngoja na mie nije weekend hii nikueleze swala langu

Nimevutiwa na hapo tu....macho yangu yatakuwa na shida nini

Kwani unatatizo lingine tofauti na lile nililoamua kuliondoa mwenyewe kwa kuwajibika?
 
Back
Top Bottom