Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,639
Kumbe hamjui kwamba harufu ya kwapa la mwanaume huwavutia wanawake....!
seriously!!!!!!!
Kumbe hamjui kwamba harufu ya kwapa la mwanaume huwavutia wanawake....!
Kumbe hamjui kwamba harufu ya kwapa la mwanaume huwavutia wanawake....!
Kumbe hamjui kwamba harufu ya kwapa la mwanaume huwavutia wanawake....!
Hii ni kweli kabisa na nakuunga mkono kwa wote wenye jinsia hii adhimu kuwa na uchafu wa kiasi hikihabarini za leo ndg zangu...
jamani leo ninakuja na mada hii kwa wanaume mnaokuwa na harufu KALI, MBAYA za midomo na vikwapa. Mtapata shida sana kukubalika kwa wadada. Hata kwenye madaladala humu utakuta mtu akitoa pumzi tu ni harufu mbaya...sasa ombea uwe umesimama naye kaegesha kwapa lake, ni aibu!!jamani kaka zetu, JIPENDENI...tatizo ni nini?
Hii ni kweli kabisa na nakuunga mkono kwa wote wenye jinsia hii adhimu kuwa na uchafu wa kiasi hiki
Nasema wakome kabisa na wanatuaibisha
Lakini nakukumbusheni na nyie muwe na bidii ya kuzifanyia usafi K zenu maana unakwenda kula raha na mwanamke akivua tu harufu hadi Mbu wanakufa...lol!!!!!!!
Wanamme wachache wanajali wanvyonukia, wengi akioga na kwanga tu kamaliza.
Baadhi hubadilika wanapopata 'house assistant', kuna baadhi wanafurahia vikwapa vyao na hawataki kufundishika.
Ila, inakera kwa kweli
bora wewe kaka yangu unalielewa suala hili maana kuna wengine wanatoka povu humu km nini...sijui inawahuu?
Hivi nyie wanaume deodorants ni sh ngapi?
kibeberu muhmu kwa mwanaume. Chieee! Hujui wenzio wanafurahia? Hahaha. Ila bandugu haka kaharufu mmmh! Sio ishu.
Hii ni kweli kabisa na nakuunga mkono kwa wote wenye jinsia hii adhimu kuwa na uchafu wa kiasi hiki
Nasema wakome kabisa na wanatuaibisha
Lakini nakukumbusheni na nyie muwe na bidii ya kuzifanyia usafi K zenu maana unakwenda kula raha na mwanamke akivua tu harufu hadi Mbu wanakufa...lol!!!!!!!
Kwapa maalumu la mwanamme ni waleti yake
Hilo likitema harufu ya BOT, mabinti wanamiminika kama mvua
Hii ni kweli kabisa na nakuunga mkono kwa wote wenye jinsia hii adhimu kuwa na uchafu wa kiasi hiki
Nasema wakome kabisa na wanatuaibisha
Lakini nakukumbusheni na nyie muwe na bidii ya kuzifanyia usafi K zenu maana unakwenda kula raha na mwanamke akivua tu harufu hadi Mbu wanakufa...lol!!!!!!![/QUOTE]
HATARIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
Seriously?