hivi si ni hawa hawa wanawake wanaosema kila siku humu ndani kuwa mwanaume pesa vingine tutavumiliana?
eti miss chagga
kuna mdau mmoja ameleta uzi na kusema kwamba kwa wanawake, kuna kiwango fulani hivi cha urine (kidogo sana lakini) huwa kinatoka na kuchafua pants.!
sasa kwa boys huku ndio balaa! mijasho yoote ila ya kwenye mazoezi ya mipira pamoja na uchafu unaotolewa na dushelele, bado boxer inakaa wiki mbili haijafuliwa!
what do you expect?
habarini za leo ndg zangu...
jamani leo ninakuja na mada hii kwa wanaume mnaokuwa na harufu KALI, MBAYA za midomo na vikwapa. Mtapata shida sana kukubalika kwa wadada. Hata kwenye madaladala humu utakuta mtu akitoa pumzi tu ni harufu mbaya...sasa ombea uwe umesimama naye kaegesha kwapa lake, ni aibu!!jamani kaka zetu, JIPENDENI...tatizo ni nini?
Usifikiri wote ndio wachafu huyo wa kwako ndio usifikiri wote ndivyo walivyo kama huna la kusema hata kutulia njia tosha
Wadada hata wakiishi majangwani, kunuka is a rare case.!
Lakini mwanaume akiishi baharini, kunuka ni jadi! Most of us men are not smart in making ourselves smart!
Cc.. lara 1, Heaven on Earth, Chocs, Lady doctor, Passion Lady, ladyfurahia, jamiif
Hivi nyie wanaume deodorants ni sh ngapi?
Hahahaaa.... Ukimwambia abadili boxer anasema "Mbona hii nimeivaa juzi tu hata week haijamaliza" Lol.....
Afu ikimaliza week badala ya kuifua anaianika yaaalah... Nisikilizie uvundo wake ye mwenyewe wala hana habari!!!
Mbadilike khaaaa!!!!!
mama uko bize mpaka nahis kuzibika!