wanaume wanaume wanaume...jiangalieni jamani

wanaume wanaume wanaume...jiangalieni jamani

wewe ni muelewa na umekubali kuwa shida hii ipo kwa BAADHI ya wanaume. Kujipenda muhimu bwana. Hongera kwa usafi kaka
Mimi ni kijana wa kiume, jambo ulilolisema lina ukweli mwingi sana!

Atakayepinga atakuwa anatetea ujinga!

The truth is,

vijana wengi (wanaonuka mostly ni vijana!) ni wazembe sana kujifanyia usafi! Anavyolala usiku ndivyo anavyoamka asubuhi!

Kitendo hasa cha kuoga asubuhi na kuvaa nguo nadhifu, wanadai eti ni usharo!

Mi binafsi, kuna wakati natembea kulingana na direction ya upepo!

Harufu ya kwapa si mchezo!
 
hahahahahahaha bora tuendelee kuwakumbusha maana kuna wawili humu wanajidai wabishi wakati ukweli wanaujua....bila kuwa wasafi na miharufu ya kwapa na modomo, wadada wote wazuri wataendelea kuwaita mashemeji tu tena hata hao mashem watakereka na jiharufu lako....well said shosti!
Ee bwana kuna wanaume watamu nyieeeeee. They smell so good, look so good. Eh! Yummy. Na si ------- hataa.
Sasa ukute jitu hata halijipendi halafu linakukonyeza. ----.
 
daaah hii thread imenfanya nicheke nimekaa na mshkaji hapa kwenye daladala ananipigisha stori... harufu inayotoka humo hatarii tupu
 
Hii Si Kweli.....
Wanaokuwa Katika Halii Hiyo, wengi wao ni wageni, from the beginning hawana hiyo tabia kwa kutozoeshwa, ama hawana uwezo wa kufanya vitu hivyo, wana majukumu zaidi ya kujifanya wapendeze
 
Hivi nyie wanaume deodorants ni sh ngapi?
Mkuu BR dawa ya kunuka sio deodorant, dawa ya kunuka ni usafi wa kina wa mwili wako, hata baada ya hapo ukipiga rays/ cooking oil, huwezi kuchefua wenzio.
 
mhh! mue mnafua hata hizo boxer zenu, sio boxer moja mtu avaaaa weee hata mwezi...
Mkuu mpenzi wako ametisha, bajeti ya subuni kufua boxer kwa mwaka I naweza ikawa jero. Hahahaaaa
 
habarini za leo ndg zangu...

jamani leo ninakuja na mada hii kwa wanaume mnaokuwa na harufu KALI, MBAYA za midomo na vikwapa. Mtapata shida sana kukubalika kwa wadada. Hata kwenye madaladala humu utakuta mtu akitoa pumzi tu ni harufu mbaya...sasa ombea uwe umesimama naye kaegesha kwapa lake, ni aibu!!jamani kaka zetu, JIPENDENI...tatizo ni nini?

una mimba changa? miaka yote hio huko sikia hizo harufu uje kusikia leo
 
Tehe tehe naona upande wapili leo zamu yao. Natamani kufunguka zaidi bahati mbaya kacm kangu kanazima chaji. Ila kiukweli wapo wanaume wanaokera kwa uchafu,,,puuuuu
 
Back
Top Bottom