wanaume wanaume wanaume...jiangalieni jamani

wanaume wanaume wanaume...jiangalieni jamani

Last edited by a moderator:
Hahahaaa.... Ukimwambia abadili boxer anasema "Mbona hii nimeivaa juzi tu hata week haijamaliza" Lol.....

Afu ikimaliza week badala ya kuifua anaianika yaaalah... Nisikilizie uvundo wake ye mwenyewe wala hana habari!!!

Mbadilike khaaaa!!!!!
 
Wadada hata wakiishi majangwani, kunuka is a rare case.!
Lakini mwanaume akiishi baharini, kunuka ni jadi! Most of us men are not smart in making ourselves smart!
Cc.. lara 1, Heaven on Earth, Chocs, Lady doctor, Passion Lady, ladyfurahia, jamiif

jamani hizi mada hizi
mwanamke kunuka kuna mengi
either fungus pia yawezekana mwanamke
akawa hajui kujisafisha vizuri huko mahala ila
wanaume wengi wananuka,c vikwapa wala pyumbu zao balaa!!
Excel mi napita bana staki uchokozi hahaaaa!!
 
Last edited by a moderator:
Hiyo ni 2 way traffick..kwani hakuna akina dada wanaonuka midomo na vikwapa..acha kuwa bias..
 
Point taken, kwenye mjadala haitataki hasira ila ukweli Ni huo malezi yanachangia na elimu,dini, pia zina play big role
 
umeona ee! sijui wakoje? mtu ananuka hadi aibu kuongozana naye kha! badilikeni jamani....

Unaongozana nae kwenda wapi mpaka uone aibu??? weka waziusaidiwe mbinu za kuamabatana na mtu kama huyo bila bughdha.
 
Huyu kaguswa!

Hata kidogo. Kwanza kazungumzia wakaka kwenye daladala, sasa huku kijijini kwetu hakuna daladala. Ila mijadala ya jinsi siipendi, iwe ni ME anadai papuchi zinanuka au ni KE anadai kwapa zinanuka. Ni vizuri kumfikishia mhusika ujumbe kuliko kukimbilia jamvini, unakua hujamsaidia
 

jamani hizi mada hizi
mwanamke kunuka kuna mengi
either fungus pia yawezekana mwanamke
akawa hajui kujisafisha vizuri huko mahala ila
wanaume wengi wananuka,c vikwapa wala pyumbu zao balaa!!
Excel mi napita bana staki uchokozi hahaaaa!!

haya bibie pita!

ila leo umependeza sana!!

msalimie sana bwana nanii!!!
 
bora mmejigundua na kuanza kuambiana ukweli, wanaume ni wabishi
ukiwaambia nenda kaoge fua nguo ya ndani basi kwao wanaona ni fahari
kuwa wachafu yaaini mm wananiuzi kabisa tena wananisindano

hebu jaribu kufuatilia vijana ambao wanajihusisha na michezo! huu ni mfano halisi!

we men bana!
 
bora uwaelezee maana wengine wanakomaa na maubishi wakati tunasaidiana kuwekana sawa...

mimi ni kijana! kuna wakati hasa nikitembea barabarani, huwa naangalia na direction ya upepo!

kwa kweli unaweza kupigwa na harufu kali ya mwili mpaka ukasahau kabisa ulipokuwa unaenda au ukapoteza nauli!

tunaboa sometimes unajua!
 
Hahahaaa.... Ukimwambia abadili boxer anasema "Mbona hii nimeivaa juzi tu hata week haijamaliza" Lol.....

Afu ikimaliza week badala ya kuifua anaianika yaaalah... Nisikilizie uvundo wake ye mwenyewe wala hana habari!!!

Mbadilike khaaaa!!!!!

kuna mdau mmoja ameleta uzi na kusema kwamba kwa wanawake, kuna kiwango fulani hivi cha urine (kidogo sana lakini) huwa kinatoka na kuchafua pants.!

sasa kwa boys huku ndio balaa! mijasho yoote ila ya kwenye mazoezi ya mipira pamoja na uchafu unaotolewa na dushelele, bado boxer inakaa wiki mbili haijafuliwa!

what do you expect?
 
Wengine hawajapata ushauri kama unatoa hapa kwenye uzi. Wengine wanasema ile ndio harufu ya kiume
 
hivi si ni hawa hawa wanawake wanaosema kila siku humu ndani kuwa mwanaume pesa vingine tutavumiliana?

eti miss chagga
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa.... Ukimwambia abadili boxer anasema "Mbona hii nimeivaa juzi tu hata week haijamaliza" Lol.....

Afu ikimaliza week badala ya kuifua anaianika yaaalah... Nisikilizie uvundo wake ye mwenyewe wala hana habari!!!

Mbadilike khaaaa!!!!!

eti nimeivaa juzi hahahah,leo nimegundua kwanini boxwr nyeusi zinalipa??
 
Back
Top Bottom