wanaume wanaume wanaume...jiangalieni jamani

wanaume wanaume wanaume...jiangalieni jamani

pole kwa mawazo yako hasi kuwa nimeisaliti ndoa yangu...NO! haya mambo nakutana nayo kwenye madaladala, hata humu maofisini, hali ni hizo hizo..kwa kuwa sio muda wote ninakuwa na mahabuba wangu, ninakuwa kazini pamoja na mihangaiko mingine ndio maana nakumbana na kadhia hizo..naona mada imekugusa sana hii....
Sasa kama wa kwako hana hili tatizo umejuaje
basi itakuwa umeisaliti ndoa yako ukawa umekutana na waaina hii na siyo wanaume tu wanawake ndio usiseme kabisa yaaani wananuka kama nini
ama ulipanda kwenye hais ndio ukaona hiyo harufu
duuuu pole kwa yaliyokusibu bwana
 
kuna wawili humu naona wameguswa sana!
 
wewe acha umbeya wako wa kike, vikwapa na midomo sio suala la kiume pekee---hili ni suala la jinsia zote, tena usiombe mwanamke akapulizia marashi 'chini' au kwenye makwapa halafu akatoa mijasho---hiyo harufu yake si mchezo ati!
 
Yaani kanakwamba ni wanaume 2 hakuna,mim ni mwanafunzi wa scout huwa 2kienda kambini wanawake wanapendelewa kwenye suala la kuoga.je ni kwanin
 
hapo Ngalikihinja unamchokoza Eiyer sasa. Unataka kusema wakifika kuungama yeye anazifunua au?
 
Last edited by a moderator:
ni pheromones jamiif usitoke povu sana sijui ulimuelewa mtambuzi?Kuna tofauti Kubwa sana ya harufu kati ya mbuzi dume na jike ulishawahi jiuliza!
 
Last edited by a moderator:
sijatoka povu my dear, mimi nimejaribu kutoa tu ushauri na angalizo kwa kaka zetu...kwani kuna ubaya?
ni pheromones jamiif usitoke povu sana sijui ulimuelewa mtambuzi?Kuna tofauti Kubwa sana ya harufu kati ya mbuzi dume na jike ulishawahi jiuliza!
 
wewe umeguswa tu huna lolote! kwani tukikumbushana mambo km haya kuna ubaya?mbona mnatukumbusha na kutupa hadi makichen pati humu na baadhi tunakubaliana nanyi?acha hizo mkuu usikatae kukumbushwa....
wewe acha umbeya wako wa kike, vikwapa na midomo sio suala la kiume pekee---hili ni suala la jinsia zote, tena usiombe mwanamke akapulizia marashi 'chini' au kwenye makwapa halafu akatoa mijasho---hiyo harufu yake si mchezo ati!
 
habarini za leo ndg zangu...

jamani leo ninakuja na mada hii kwa wanaume mnaokuwa na harufu KALI, MBAYA za midomo na vikwapa. Mtapata shida sana kukubalika kwa wadada. Hata kwenye madaladala humu utakuta mtu akitoa pumzi tu ni harufu mbaya...sasa ombea uwe umesimama naye kaegesha kwapa lake, ni aibu!!jamani kaka zetu, JIPENDENI...tatizo ni nini?




Mbona wadada wengi wa kibongo wananuka na wanapenda mabrothermen wanaonuka kama wao? Hii unasemaje?
 
Mie mwanaume akinitongoza halaf niwe nasikia harufu mbaya ya mdomo,kikwapa,halufu yoyote mbaya,,huwa hata sitaki kuendelea kumsikiliza,
Na haitakaa itokee niwe na mwanaume ana harufu za ajabu nawaachia wengine!!
Najivunia mwanaume wangu kutokuwa na harufu mbaya
 
Hii kali mana kwenye daladala kila m2 n harufu mwingne ananukia udi, deodorant wengne harufu kma y mbuzi
 
Mimi ni kijana wa kiume, jambo ulilolisema lina ukweli mwingi sana!

Atakayepinga atakuwa anatetea ujinga!

The truth is,

vijana wengi (wanaonuka mostly ni vijana!) ni wazembe sana kujifanyia usafi! Anavyolala usiku ndivyo anavyoamka asubuhi!

Kitendo hasa cha kuoga asubuhi na kuvaa nguo nadhifu, wanadai eti ni usharo!

Mi binafsi, kuna wakati natembea kulingana na direction ya upepo!

Harufu ya kwapa si mchezo!
habarini za leo ndg zangu...

jamani leo ninakuja na mada hii kwa wanaume mnaokuwa na harufu KALI, MBAYA za midomo na vikwapa. Mtapata shida sana kukubalika kwa wadada. Hata kwenye madaladala humu utakuta mtu akitoa pumzi tu ni harufu mbaya...sasa ombea uwe umesimama naye kaegesha kwapa lake, ni aibu!!jamani kaka zetu, JIPENDENI...tatizo ni nini?
 
Ee bwana kuna wanaume watamu nyieeeeee. They smell so good, look so good. Eh! Yummy. Na si ------- hataa.
Sasa ukute jitu hata halijipendi halafu linakukonyeza. ----.
 
wewe ni muelewa na umakubali kuwa shida hii ipo kwa BAADHI ya wanaume. Kujipenda muhimu bwana. Hongera kwa usafi kaka.
Mimi ni kijana wa kiume, jambo ulilolisema lina ukweli mwingi sana!

Atakayepinga atakuwa anatetea ujinga!

The truth is,

vijana wengi (wanaonuka mostly ni vijana!) ni wazembe sana kujifanyia usafi! Anavyolala usiku ndivyo anavyoamka asubuhi!

Kitendo hasa cha kuoga asubuhi na kuvaa nguo nadhifu, wanadai eti ni usharo!

Mi binafsi, kuna wakati natembea kulingana na direction ya upepo!

Harufu ya kwapa si mchezo!
 
Back
Top Bottom