Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,229
- 85,387
Mkuu....πWatoto 5 kila mmoja na Mama yake?ππ
Naunga mkono hoja..π
Mkuu....πWatoto 5 kila mmoja na Mama yake?ππ
Tuache kuwa na malengo na michongo ya pesa tuwe na michongo na watoto wa watyTuache kuchezea mabinti Kama hatuna malengo nao!
Hapo sawaMkuu....π
Naunga mkono hoja..π
Mkuu, kwani kuna ubaya umeona sehem ili nikatubu...π€Hapo sawa
Mwamba ni kifimbo cheza jumla 8 hongera mzeeWatoto 5 kila mmoja na Mama yake?ππ
πͺπͺπͺπͺπͺHabari!? Kumekuwepo na ongezeko la wadada wengi ambao hawako kwenye ndoa ila tayari wana watoto, wengine wanaishi nao na wengine wamewapeleka vijijini kwa wazazi, unakuta anayehusika kwa malezi ya mtoto ni Dada peke yake angu! Naumiaga sana nikiona Mama anahangaika na mtoto kwenye hali ya uduni wakati muhusika wa mtoto yupo. Tubadilike.
Vaa kondom, hakuna mimba inayo tegeshwawewe hujawahi kutegeshewa mimba makusudi na mwanamke ndo maana unasema hivyo
Mkuu, kwani kuna ubaya gani umeona sehem...π€π€Mwamba ni kifimbo cheza jumla 8 hongera mzee
Mkuu.... hakunaga mtego wa mimba, lakini kusingiziwa mimba kupowewe hujawahi kutegeshewa mimba makusudi na mwanamke ndo maana unasema hivyo
Zipo, tena mwanamke akiamua lake, atakulaghai ata iyo condom usivae.Vaa kondom, hakuna mimba inayo tegeshwa
Mtego wa mimba upo mkuu, hasa ukiwa wewe ndo mwanaume wa ndoto zake, alafu uyo mwanamke awe si mwanamke wa ndoto zako, anakuwahi kwa kukutegea mimba, akiamini kuwa atakufunga kwa kutumia mtoto, sasa kumbe wanajidanganya maskini, mwanaume afungwi kwa kutumia mtoto, Hii ni moja ya sababu kubwa katika nyingi inayopelekea wanawake wengi kulea watoto peke yao.Mkuu.... hakunaga mtego wa mimba, lakini kusingiziwa mimba kupo
Kama sio wa ndoto yako, kwanini umkaze peku na ukingali unajua mtego wa mimba upo..π€π€Mtego wa mimba upo mkuu, hasa ukiwa wewe ndo mwanaume wa ndoto zake, alafu uyo mwanamke awe si mwanamke wa ndoto zako.
Mabinti wa kibongo hovyo sana yupo tayari kumuacha mwanaume aliyemzalisha eti kisa amecheat na mwanamke mwingine ili akadange na wanaume wengi ili alee mtoto. Huu ni ujinga wao acha wavune wanachopanda.Habari!? Kumekuwepo na ongezeko la wadada wengi ambao hawako kwenye ndoa ila tayari wana watoto, wengine wanaishi nao na wengine wamewapeleka vijijini kwa wazazi, unakuta anayehusika kwa malezi ya mtoto ni Dada peke yake (single mom) unakuta mdada hana kipato Cha maana Matokeo yake anaamua kujikita kwenye biashara mbalimbali haramu Kama ukahaba ili aweze kukidhi mahitaji ya mtoto.
"Wanaume wenzangu hii tabia sio nzuri tumewafanya wanawake waishi mazingira Magumu na unajua mtu Mpaka anaamua kukuzalia amekuheshimu na kukupenda Sana kwa hyo suala la kumtelekeza si Jambo jema hata Kama alikukosea lakini mtoto anakua hana hatia unatakiwa umpe huduma zote. Ukikutana na wanawake waliotelekezwa hawatamaniki, kucha kwa waganga, kwenye maombi nk lengo kutafuta unafuu wa Maisha then anatokea mwanaume anasema "Tusioe single mother" wakati sisi ndio Main cause!
Na badae tuseme wadogo zetu hawaolewi na bra bra! Malipo duniani ndugu zangu! Naumiaga sana nikiona Mama anahangaika na mtoto kwenye hali ya uduni wakati muhusika wa mtoto yupo. Tubadilike.
Na wao waache kutegesha na kugawa gawa hovyo. Waulize wanaume zao, upo tayari kuwa na mtoto? Sio unatanua tu miguu halafu baadae unasema usimwage ndani nipo kwenye hatari.Tuache kuchezea mabinti Kama hatuna malengo nao!
Mkuu penzini kuna mambo mengi sana, mtatumia condom siku ya kwanza ya pili ya tatu hamtotumia kwa madai ya kuaminiana na mmeishi kwa uaminifu kwa kipindi kirefu... Bro iyo ukubali ukatae ipo, hamtotumia tena condom kwa siku zinazoendelea, na ni kweli mabalaa ndo yanaanziaga apo.. Mara UTI sugu, mara gono, mara mimba... Shida tupuKama sio wa ndoto yako, kwanibi umkaze peku na ukingali unajua mtego wa mimba upo..π€π€
Ni kweli. Unapaswa kuwa makini. Ila pia tukumbuke akili ya mwanaume inavyofanya kazi akishaona utupu. Inarudi almost zero, ukishamaliza ndo akili inarudi.Kama sio wa ndoto yako, kwanibi umkaze peku na ukingali unajua mtego wa mimba upo..π€π€