Wanaume wanaotelekeza watoto ni janga kubwa nchini kwa sasa

Habari!? Kumekuwepo na ongezeko la wadada wengi ambao hawako kwenye ndoa ila tayari wana watoto, wengine wanaishi nao na wengine wamewapeleka vijijini kwa wazazi, unakuta anayehusika kwa malezi ya mtoto ni Dada peke yake angu! Naumiaga sana nikiona Mama anahangaika na mtoto kwenye hali ya uduni wakati muhusika wa mtoto yupo. Tubadilike.
πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“πŸͺ“
 
Mkuu.... hakunaga mtego wa mimba, lakini kusingiziwa mimba kupo
Mtego wa mimba upo mkuu, hasa ukiwa wewe ndo mwanaume wa ndoto zake, alafu uyo mwanamke awe si mwanamke wa ndoto zako, anakuwahi kwa kukutegea mimba, akiamini kuwa atakufunga kwa kutumia mtoto, sasa kumbe wanajidanganya maskini, mwanaume afungwi kwa kutumia mtoto, Hii ni moja ya sababu kubwa katika nyingi inayopelekea wanawake wengi kulea watoto peke yao.
 
Habari!? Kumekuwepo na ongezeko la wadada wengi ambao hawako kwenye ndoa ila tayari wana watoto, wengine wanaishi nao na wengine wamewapeleka vijijini kwa wazazi, unakuta anayehusika kwa malezi ya mtoto ni Dada peke yake (single mom) unakuta mdada hana kipato Cha maana Matokeo yake anaamua kujikita kwenye biashara mbalimbali haramu Kama ukahaba ili aweze kukidhi mahitaji ya mtoto.

"Wanaume wenzangu hii tabia sio nzuri tumewafanya wanawake waishi mazingira Magumu na unajua mtu Mpaka anaamua kukuzalia amekuheshimu na kukupenda Sana kwa hyo suala la kumtelekeza si Jambo jema hata Kama alikukosea lakini mtoto anakua hana hatia unatakiwa umpe huduma zote. Ukikutana na wanawake waliotelekezwa hawatamaniki, kucha kwa waganga, kwenye maombi nk lengo kutafuta unafuu wa Maisha then anatokea mwanaume anasema "Tusioe single mother" wakati sisi ndio Main cause!

Na badae tuseme wadogo zetu hawaolewi na bra bra! Malipo duniani ndugu zangu! Naumiaga sana nikiona Mama anahangaika na mtoto kwenye hali ya uduni wakati muhusika wa mtoto yupo. Tubadilike.
Mabinti wa kibongo hovyo sana yupo tayari kumuacha mwanaume aliyemzalisha eti kisa amecheat na mwanamke mwingine ili akadange na wanaume wengi ili alee mtoto. Huu ni ujinga wao acha wavune wanachopanda.
 
Tuache kuchezea mabinti Kama hatuna malengo nao!
Na wao waache kutegesha na kugawa gawa hovyo. Waulize wanaume zao, upo tayari kuwa na mtoto? Sio unatanua tu miguu halafu baadae unasema usimwage ndani nipo kwenye hatari.
WANAWAKE WAACHE UMALAYA NAO.

Halafu Wapo ambao mimba inampa kazi kuitambua kuwa ni ya nani. In one week katembea na watu watatu

NB: HII SI SABABU YA KUTELEKEZA MTOTO WAKO.
 
Kama sio wa ndoto yako, kwanibi umkaze peku na ukingali unajua mtego wa mimba upo..πŸ€”πŸ€”
Mkuu penzini kuna mambo mengi sana, mtatumia condom siku ya kwanza ya pili ya tatu hamtotumia kwa madai ya kuaminiana na mmeishi kwa uaminifu kwa kipindi kirefu... Bro iyo ukubali ukatae ipo, hamtotumia tena condom kwa siku zinazoendelea, na ni kweli mabalaa ndo yanaanziaga apo.. Mara UTI sugu, mara gono, mara mimba... Shida tupu
 
Tatizo Hawa dada zetu huwa wanaingia kwenye mahusiano kichwa kichwa bila ya kuwa na akili hata kidogo.

Mtu ndo kwanza mmejuana ndani ya siku kumi tu afu unakubali kumpa utelezi Tena anakula peku kbsa na unamruhusu anamwagia ndani kbsa na mimba inatungwa.

Kumbe jamaa Ni deadbeat father huwa anatungisha mimba na kukimbia majukumu ya kulea.Halafu Hana kipato Cha kueleweka anaishi tu kwa kuunga unga.

Nachojaribu kusema ni wadada wawe wanawafanyia wanaume wao visibility tests & risk taking kabla hawajakubali kushika mimba zao ili kupunguza wimbi la single moms mitaani.
 
Kama sio wa ndoto yako, kwanibi umkaze peku na ukingali unajua mtego wa mimba upo..πŸ€”πŸ€”
Ni kweli. Unapaswa kuwa makini. Ila pia tukumbuke akili ya mwanaume inavyofanya kazi akishaona utupu. Inarudi almost zero, ukishamaliza ndo akili inarudi.

Ni jukumu la mwanamke pia kuwa wazi kuhusu mipango yake ya uzazi kabla hajafika eneo la tukio ili mwenzake ajiandae na KUKATAA KATA KATA kuingia kwenye himaya ya mwanaume akiwa kwenye siku za hatari na hakuna protection. Jamani, kina dada wapunguze kuwa warahisi kutumika.

Unakuta mtu kazalishwa mimba 3 unawaza huyu hajifunzi?
 
Back
Top Bottom