Humu hata wanaume ni wapweke

Unique Flower

JF-Expert Member
Apr 19, 2019
12,714
24,890
Humu jf wanaume nao ni wapweke kuna makundi mengi ya wanaume wapweke.

1. Wanandoa
Humu wengi wanaume waliooa ni wapweke , na ndoa za humu asilimia kubwa ni changamoto , so wao wanaishi kiupweke na sonona sasa wakifanikisha kupata mtu au watu wanampiga nakitu kizito wanakuja kulia humu ndani. Ila katika kutoa hoja zao unawaona hawana shida ila wanaoshida sana kulikoni sisi wanawake wahumu.

2. Wanaume ambao hawajaoa ila wamezaa navisirani.
Humu wanaume wapo waliozaa na visirani wanawakera kinoma noma . Jingine wanaume hawa huwa wanajazba na wao hawajiamini na hupanic sana ukiongea kitu wanaweka conclusion maana wao kila saa wanawaza tu kupigana wakizani wanaongea na single mothers wao. Huwa wanakejeli ujinga fulani nawanakera maana wameshachoka maisha. Maana wameshindwa kujitoa kwao.

Wanaume single
Humu kuna watu ni single men haswa hawana mtu wakuwapa pendo la dhati wamezoea kupata penzi short time na asubuhi wanalipia shoo. Na wengi wanaibiwa samani za ndani na wengine mishahara zao maana wamelewa wakachukua wanawake wa show time.

Wakiona unatoa post wanakuita malaya kwa sababu wametendwa na hao malaya ndio wanawatumia kupunguza hisia zao. Wengine wanahitaji huduma za haraka maana akili zao sio nzuri. Unazani unajibizana na mwanaume mwenye akili kumbe hakunaga . Mwenzako hajielewi .

Ameshahama kimwili yupo tu.
Wa mwisho kwenye list ni wanaume ambao wanafosi mapenzi.

Humu wapo mtu anamng'ang'ania mwanamke na huyo dada hampendi sasa huyo dada akiwa anamkataa ndio analeta hasira humu anatukana kila mtu.

Ushauri
Kama upo single kweli wanawake wapo na wapo serious sema nyie hampo serious.

Wanaume wengi wamejiharibu sana kuzaa kabla yandoa , kujipa majukumu yasio yalazima. Hawa kataa ndoa wengi ni single daddies

Tafuteni wanawake serious kuwa serious oeni mkatulie huko . Au muanze kujitibu kiafya na afya ya akili pia maana mshajiaribu kwa kitu sio lazima.

Nani kakuambia ufunje amri ya sita . Ninani? Maana ndio ilizaa watoto ambao sio wa mpangilio kuwa haribia wanawake maisha yao kwakukosa mabwana kisa wao single mothers , kuwa haribu kiakili na huku wangeolewa kwingine. Maisha ni hayo.

Wewe mwenyewe kuwa na mtoto mbali kuwa na mahusiano ambayo hayana faida. Tatu ukiwa na msimamo ukazaa ndani yandoa mengi huacha kutokea maana huyo uliyemzalisha anawajibu wakukutunza na hata kama unamke mdogo unajisifu unawife home . Na watoto unajiepushia mengi mabaya na unapata maendeleo. Goodnight
 
Humu jf wanaume nao ni wapweke kuna makundi mengi ya wanaume wapweke.

1. Wanandoa
Humu wengi wanaume waliooa ni wapweke , na ndoa za humu asilimia kubwa ni changamoto , so wao wanaishi kiupweke na sonona sasa wakifanikisha kupata mtu au watu wanampiga nakitu kizito wanakuja kulia humu ndani. Ila katika kutoa hoja zao unawaona hawana shida ila wanaoshida sana kulikoni sisi wanawake wahumu.

2. Wanaume ambao hawajaoa ila wamezaa navisirani.
Humu wanaume wapo waliozaa na visirani wanawakera kinoma noma . Jingine wanaume hawa huwa wanajazba na wao hawajiamini na hupanic sana ukiongea kitu wanaweka conclusion maana wao kila saa wanawaza tu kupigana wakizani wanaongea na single mothers wao. Huwa wanakejeli ujinga fulani nawanakera maana wameshachoka maisha. Maana wameshindwa kujitoa kwao.

Wanaume single
Humu kuna watu ni single men haswa hawana mtu wakuwapa pendo la dhati wamezoea kupata penzi short time na asubuhi wanalipia shoo. Na wengi wanaibiwa samani za ndani na wengine mishahara zao maana wamelewa wakachukua wanawake wa show time.

Wakiona unatoa post wanakuita malaya kwa sababu wametendwa na hao malaya ndio wanawatumia kupunguza hisia zao. Wengine wanahitaji huduma za haraka maana akili zao sio nzuri. Unazani unajibizana na mwanaume mwenye akili kumbe hakunaga . Mwenzako hajielewi .

Ameshahama kimwili yupo tu.
Wa mwisho kwenye list ni wanaume ambao wanafosi mapenzi.

Humu wapo mtu anamng'ang'ania mwanamke na huyo dada hampendi sasa huyo dada akiwa anamkataa ndio analeta hasira humu anatukana kila mtu.

Ushauri
Kama upo single kweli wanawake wapo na wapo serious sema nyie hampo serious.

Wanaume wengi wamejiharibu sana kuzaa kabla yandoa , kujipa majukumu yasio yalazima. Hawa kataa ndoa wengi ni single daddies

Tafuteni wanawake serious kuwa serious oeni mkatulie huko . Au muanze kujitibu kiafya na afya ya akili pia maana mshajiaribu kwa kitu sio lazima.

Nani kakuambia ufunje amri ya sita . Ninani? Maana ndio ilizaa watoto ambao sio wa mpangilio kuwa haribia wanawake maisha yao kwakukosa mabwana kisa wao single mothers , kuwa haribu kiakili na huku wangeolewa kwingine. Maisha ni hayo.

Wewe mwenyewe kuwa na mtoto mbali kuwa na mahusiano ambayo hayana faida. Tatu ukiwa na msimamo ukazaa ndani yandoa mengi huacha kutokea maana huyo uliyemzalisha anawajibu wakukutunza na hata kama unamke mdogo unajisifu unawife home . Na watoto unajiepushia mengi mabaya na unapata maendeleo. Goodnight
Hujalala jaman saa 8 hii

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Humu jf wanaume nao ni wapweke kuna makundi mengi ya wanaume wapweke.

1. Wanandoa
Humu wengi wanaume waliooa ni wapweke , na ndoa za humu asilimia kubwa ni changamoto , so wao wanaishi kiupweke na sonona sasa wakifanikisha kupata mtu au watu wanampiga nakitu kizito wanakuja kulia humu ndani. Ila katika kutoa hoja zao unawaona hawana shida ila wanaoshida sana kulikoni sisi wanawake wahumu.

2. Wanaume ambao hawajaoa ila wamezaa navisirani.
Humu wanaume wapo waliozaa na visirani wanawakera kinoma noma . Jingine wanaume hawa huwa wanajazba na wao hawajiamini na hupanic sana ukiongea kitu wanaweka conclusion maana wao kila saa wanawaza tu kupigana wakizani wanaongea na single mothers wao. Huwa wanakejeli ujinga fulani nawanakera maana wameshachoka maisha. Maana wameshindwa kujitoa kwao.

Wanaume single
Humu kuna watu ni single men haswa hawana mtu wakuwapa pendo la dhati wamezoea kupata penzi short time na asubuhi wanalipia shoo. Na wengi wanaibiwa samani za ndani na wengine mishahara zao maana wamelewa wakachukua wanawake wa show time.

Wakiona unatoa post wanakuita malaya kwa sababu wametendwa na hao malaya ndio wanawatumia kupunguza hisia zao. Wengine wanahitaji huduma za haraka maana akili zao sio nzuri. Unazani unajibizana na mwanaume mwenye akili kumbe hakunaga . Mwenzako hajielewi .

Ameshahama kimwili yupo tu.
Wa mwisho kwenye list ni wanaume ambao wanafosi mapenzi.

Humu wapo mtu anamng'ang'ania mwanamke na huyo dada hampendi sasa huyo dada akiwa anamkataa ndio analeta hasira humu anatukana kila mtu.

Ushauri
Kama upo single kweli wanawake wapo na wapo serious sema nyie hampo serious.

Wanaume wengi wamejiharibu sana kuzaa kabla yandoa , kujipa majukumu yasio yalazima. Hawa kataa ndoa wengi ni single daddies

Tafuteni wanawake serious kuwa serious oeni mkatulie huko . Au muanze kujitibu kiafya na afya ya akili pia maana mshajiaribu kwa kitu sio lazima.

Nani kakuambia ufunje amri ya sita . Ninani? Maana ndio ilizaa watoto ambao sio wa mpangilio kuwa haribia wanawake maisha yao kwakukosa mabwana kisa wao single mothers , kuwa haribu kiakili na huku wangeolewa kwingine. Maisha ni hayo.

Wewe mwenyewe kuwa na mtoto mbali kuwa na mahusiano ambayo hayana faida. Tatu ukiwa na msimamo ukazaa ndani yandoa mengi huacha kutokea maana huyo uliyemzalisha anawajibu wakukutunza na hata kama unamke mdogo unajisifu unawife home . Na watoto unajiepushia mengi mabaya na unapata maendeleo. Goodnight
Naona unajipia debe kuwa upo serious na Ndoa

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Wanaume wengi wamejiharibu sana kuzaa kabla yandoa , kujipa majukumu yasio yalazima. Hawa kataa ndoa wengi ni single daddies

Wanaume wengi wamejiaribu sana kuzaa baada ya kufunga ndoa, kujipa mastress yasiyo ya lazima, Hawa kubali ndoa wengi ni vijna wa ovyo walio oa ili waipate ngono kirahisi , bila kujua ndoa ni nini.
 
Wanaume wengi wamejiharibu sana kuzaa kabla yandoa , kujipa majukumu yasio yalazima. Hawa kataa ndoa wengi ni single daddies

Wanaume wengi wamejiaribu sana kuzaa baada ya kufunga ndoa, kujipa mastress yasiyo ya lazima, Hawa kubali ndoa wengi ni vijna wa ovyo walio oa ili waipate ngono kirahisi , bila kujua ndoa ni nini.
Mkuu Naona Umepiga Kote Kote😂
 
Back
Top Bottom