Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,150
- 137,132
Pana kazi hapo, najitahidi kufanyia kazi mambo kadhaa, kidogo kidogo nasonga.
Ni kweli kabisa. Kujikosoa mwenyewe, na kukubali makosa yako mwenyewe, na kisha kujifanyia marekebisho ni kazi ngumu sana.
Na kwa sababu ni kazi ngumu, watu huishia tu kunyoosha vidole vya lawama kwa wengine....ooh wanaume hivi...wanawake vile.
Wakati inawezekana kabisa kuwa wewe mwenyewe labda ndo unawafanya watu wakuone jinsi ulivyo kwa sababu hivyo ndivyo ulivyo lakini hutaki kukubali mapungufu yako.