masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,823
- 16,890
well said sister! Nadhan utamsaidia sana ushauri wako
analijua tatizo lake sema hataki kukubali ukweli kuhusu wanaume
well said sister! Nadhan utamsaidia sana ushauri wako
Umeota vindevu?..wanaume wengi wanaogopa wadada wenye ndevu!!
Muda gani umekuwa bila mpenzi sasa?
Eeh na ndio maana pia sio kila mwanaume anafaa kuwa mume, wengine wanafaa kuwa mabruda na mapadre.
habar wanajamii. heshma kwenu.
Naombeni mchango wa mawazo. imetokea wanaume wananiambia ati wananiogopa, mie ni mbabe, najiamini sana na wengine huenda mbali kwa kusema mwanamke wa dizain yako sioi.
kwakweli sipo hivyo na huwa naumia sana MTU anaponitamkia hayo.
Nasikitika mana sielewi ni kitu gani na kutongozwa na waume za watu kumezidi il a sio na singles?
tafadhalini wanajamii naimani kuna watu wanaofahamu vizuri psychology wanishauri jamani.
Asanteni kwa kunijibu bila kejeli
Team Bazazi at work..
Badala umshauri mwenzio unawaza mambo yako
Hao huwa wanawapiga wenzao midoli wao wanajiita matomBoy!
Ngoja nimshauri...usipende kubadili ulivyo hiyo inaweza kuleta shida..kuna wakati unaweza kujikuta umemzoea mpenzi na kurudi kwenye uhalisia wako hii itakucost bibie...cha msingi badilisha vile vilivyozidi kipimo ambavyo haviwezi kuleta madhara...na utapata mwanaume wa sampuli yako!
Why...?
sijui sababu, wewe una ndevu?
Naomba namba yako ya simuHabari wanajamii
Naombeni mchango wa mawazo, imetokea wanaume wananiambia ati wananiogopa, mie ni mbabe, najiamini sana na wengine huenda mbali kwa kusema mwanamke wa dizain yako sioi.
Kwakweli sipo hivyo na huwa naumia sana mtu anaponitamkia hayo. Nasikitika mana sielewi ni kitu gani na kutongozwa na waume za watu kumezidi il a sio na singles?
Tafadhalini wanajamii naimani kuna watu wanaofahamu vizuri psychology wanishauri jamani.
Asanteni kwa kunijibu bila kejeli
^^sorry to say this but this bolded piece of words irritates me and I don't think they are that good why do you need to say that?.
Unayosema miss chagga ni kweli kabisa. Hizi tabia zetu za, I can pay, I can argue, I can challenge him bila kuangalia uko wampi na mtuo zinawatisha hawa viumbe wa jinsia tofauti na yetu. Sometimes ni kuwaacha wajione wanaume wanaoweza kutumiliki na ku-take care of us.be ladish; kuwa confidence ni muhimu sana ... try to be charming.. smile a bit.... jichanganye na hiyo jinsia piga story toka out but make sure you talk funny.... sometimes be serious little usiwe wa kukasirika haraka hata kama watakupiga bango la ukweli... hapo ndo unaweza anza badilisha mtazamo wa hao watu... sometimes pale mwanaume anapotakiwa kutake responsibility usilazimishe ufanye wewe... jifunze kudeka mama mzuri mbona utaolewa tu......... alafu usisahau wanume wanapenda kusikilizwa na hata kama unamchallenge tumia hekima sana si uanzishe ligi hapana ..... msikilize huku ukitabasamu mbona wanalo