Wanaume wananichukulia tofauti na nilivyo

Wanaume wananichukulia tofauti na nilivyo

Kuna dada mmoja alisoma malasia . Ana sifa kama hizo za ujuaji na ubabe tu. Yeye sio mchaga . Na hadi leo hajaolewa . Na kazi nzuri tu
 
Hahaha...et magazeti...hata wewe unaonekana hupendi kuambiwa ukweli

Nshawahi kudate na demu mbabe na demu wa kawaida, nimeona mengi kwa hawa wenzetu. Naambiwa ukweli kotekote, na naona tofauti kubwa sana kwa hawa wababe
 
Habari wanajamii

Naombeni mchango wa mawazo, imetokea wanaume wananiambia ati wananiogopa, mie ni mbabe, najiamini sana na wengine huenda mbali kwa kusema mwanamke wa dizain yako sioi.

Kwakweli sipo hivyo na huwa naumia sana mtu anaponitamkia hayo. Nasikitika mana sielewi ni kitu gani na kutongozwa na waume za watu kumezidi il a sio na singles?

Tafadhalini wanajamii naimani kuna watu wanaofahamu vizuri psychology wanishauri jamani.

Asanteni kwa kunijibu bila kejeli

Aaa, wapi, we jirekebishe watu hawakuonei na kama nyie mpo wengi sana. change your conduct soon
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom