Wanaume wananichukulia tofauti na nilivyo

Wanaume wananichukulia tofauti na nilivyo

kila mwanamke anafaa kuwa mke ila sio kila mwanamke anataka kuwa mke!!!!

Khaaaa.. enhance mfano hai ni huyu hapa..anatamani ila ndo ivo atasubiri sana kama asipobadilika....kutaka apo ni baadhi tu....wengi wanataka ila ndo ivo sio wife material
 
Last edited by a moderator:
^^
Ni kawaida ya kundi la aina yenu, nje mnajiamini, nje mna nguvu, nje mnajiweza, nje mnazidi sifa za baadhi ya wanaume! Ndani mnaumia, mna upendo, mnahitaji kufarijiwa, mnapenda kujitoa kwa dhati na kwa hiari, Lakini wanaume wanaojua siri yenu hii hamkutani nao sana!
Sasa, vaa tabasamu, ondoa mikunjo ya uso, tembea na ufunguo wa kuyaona mambo ni mepesi ! Azima sauti ya kawaida! Be simple!
Wanaume wengi hawavutiwi na mwanamke aliyekama mwanaume! Make a femine revolution inside yourself. Your a beautiful woman trust me.
(oo! Sorry kumbe hii ni thread ya wanasaikolojia, yachukulie hayo maneno ya mlevi tu)
^^

Well said😛:sly:
 
Kama ndiyo wewe ninayekufahamu haaa ubabe umezidi, punguza ubabe utampata wa kwako aliye single.
 
Habari wanajamii

Naombeni mchango wa mawazo, imetokea wanaume wananiambia ati wananiogopa, mie ni mbabe, najiamini sana na wengine huenda mbali kwa kusema mwanamke wa dizain yako sioi.

Kwakweli sipo hivyo na huwa naumia sana mtu anaponitamkia hayo. Nasikitika mana sielewi ni kitu gani na kutongozwa na waume za watu kumezidi il a sio na singles?

Tafadhalini wanajamii naimani kuna watu wanaofahamu vizuri psychology wanishauri jamani.

Asanteni kwa kunijibu bila kejeli

Hehheh naomba nikuulize
Kwann unaigiza maisha kwann usiwaoneshe hao so called wanaume the real u?
 
nani anapenda kuoa ashangedele?
Tangu lini demu akawa msela?
Na usipojilekebisha utaishia kutafuta mashine ili ukasage.
 
Ongea kwa upole na taratibu.jifunze kusema samahani...please..Naomba...so often

The Boss tone ina mata sana ktk maongezi. Pia hayo maneno kwa wenzetu kule walikotangulia wanayaita magic words. Yanaweza kubadilisha ambience yote. Sasa hawa dada zetu wanajisikia vibaya kuyatumia especially anapohisi anamzidi mwanaume intelligence au vinginevyo. (Samahani nimetumia cocktail language).
 
The Boss tone ina mata sana ktk maongezi. Pia hayo maneno kwa wenzetu kule walikotangulia wanayaita magic words. Yanaweza kubadilisha ambience yote. Sasa hawa dada zetu wanajisikia vibaya kuyatumia especially anapohisi anamzidi mwanaume intelligence au vinginevyo. (Samahani nimetumia cocktail language).

smtym sio kuogopa kuyatumia mkuu...we live in a world where if u turn too soft u may be taken advantage of au kushindwa kufikia malengo yako...ndo mana some girls tend to adapt masculinity,...
It's quite tricky being totally a feminine woman and fully professional esp kwenye mazingira ambayo ni male dominated
 
Mdada,wanaume wengu huwa hawapendi.mwanamke ambae yupo serious,confident, ila wakimwona mwanamke anajichekeshachekesha wanamponda eti yule dem cheap sana,sasa just be as you are,ukiwa mkarimu sana watakuita cheapukiwa serious watakuita kauzu,jikubali ulivyo,you will get your soulmate
 
Punguza ukauzu dada, utakosa mume. Ooho! Uwe unatabasamu mara kwa mara, tabasamu linawalainishaga wanaume. Lol.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom