Wanaume wananichukulia tofauti na nilivyo

Wanaume wananichukulia tofauti na nilivyo

Habari wanajamii

Naombeni mchango wa mawazo, imetokea wanaume wananiambia ati wananiogopa, mie ni mbabe, najiamini sana na wengine huenda mbali kwa kusema mwanamke wa dizain yako sioi.

Kwakweli sipo hivyo na huwa naumia sana mtu anaponitamkia hayo. Nasikitika mana sielewi ni kitu gani na kutongozwa na waume za watu kumezidi il a sio na singles?

Tafadhalini wanajamii naimani kuna watu wanaofahamu vizuri psychology wanishauri jamani.

Asanteni kwa kunijibu bila kejeli
Wewe unafanana sana na mimi,"BE YOURSELF",usijibadili kwaajili ya mtu madhali tabia zako hazimdhuru yoyote au kusababisha maangamizi.Ukibadilika ili upate mtu maanake unajikana wewe mwenyewe!Your better half is out there somewhere atawasili wakati wake ukifika ila kwasasa concentrate kwenye mambo yenye umuhimu kwenye maisha yako
 
Habari wanajamii

Naombeni mchango wa mawazo, imetokea wanaume wananiambia ati wananiogopa, mie ni mbabe, najiamini sana na wengine huenda mbali kwa kusema mwanamke wa dizain yako sioi.

Kwakweli sipo hivyo na huwa naumia sana mtu anaponitamkia hayo. Nasikitika mana sielewi ni kitu gani na kutongozwa na waume za watu kumezidi il a sio na singles?

Tafadhalini wanajamii naimani kuna watu wanaofahamu vizuri psychology wanishauri jamani.

Asanteni kwa kunijibu bila kejeli
Kila shetani na mbuyu wake, we subiri tu kuna mmoja atapenda sanaa.. huo ubabe wako,hata akiambiwa na hao majirani zako hataskia kabisaa...Good luck.
 
Habari wanajamii

Naombeni mchango wa mawazo, imetokea wanaume wananiambia ati wananiogopa, mie ni mbabe, najiamini sana na wengine huenda mbali kwa kusema mwanamke wa dizain yako sioi.

Kwakweli sipo hivyo na huwa naumia sana mtu anaponitamkia hayo. Nasikitika mana sielewi ni kitu gani na kutongozwa na waume za watu kumezidi il a sio na singles?

Tafadhalini wanajamii naimani kuna watu wanaofahamu vizuri psychology wanishauri jamani.

Asanteni kwa kunijibu bila kejeli

Pole sana lakini inawezekana pana ka ukweli unaweza ukaniambia wewe ni kabila gani?
 
Nishawaona wanawake wa aina yako, kwa nje wanajiamni sana,jeuri. kila kitu wanajua wao, wababe na wanapenda kuwa juu ya mwanaumenk lakini kiuweli kwa undani ni wapweke sana na wanhitaji huduma . Na mara nyingi huwa wanatafunwa na kuaca. Mara nyingi hata akiwa kwenye uhusiano lazima mwanaume awe chini kwa kila kitu au ajifanye ----.

Wengi wao hushuhudia wenzao wakiolewa na kuishiwa kuwa mashemeji kwa maragiki zaa, na hujipa matumaini kwamba watapata wawapendao au wa kuolewa nao muda ukifika huku wakiwa hawatambui kwamba "Marriage is inversely proportion to age"
 
Habari wanajamii

Naombeni mchango wa mawazo, imetokea wanaume wananiambia ati wananiogopa, mie ni mbabe, najiamini sana na wengine huenda mbali kwa kusema mwanamke wa dizain yako sioi.

Kwakweli sipo hivyo na huwa naumia sana mtu anaponitamkia hayo. Nasikitika mana sielewi ni kitu gani na kutongozwa na waume za watu kumezidi il a sio na singles?

Tafadhalini wanajamii naimani kuna watu wanaofahamu vizuri psychology wanishauri jamani.

Asanteni kwa kunijibu bila kejeli

Pole sana dada,kwani we ni mmachame? Maana inawezekn haupo hivyo ila wanaume wengi huwa wana perception hiyo tayari in their minds kwa kabila hilo na kwa wakikuyu wa kenya.
 
Habari wanajamii

Naombeni mchango wa mawazo, imetokea wanaume wananiambia ati wananiogopa, mie ni mbabe, najiamini sana na wengine huenda mbali kwa kusema mwanamke wa dizain yako sioi.

Kwakweli sipo hivyo na huwa naumia sana mtu anaponitamkia hayo. Nasikitika mana sielewi ni kitu gani na kutongozwa na waume za watu kumezidi il a sio na singles?

Tafadhalini wanajamii naimani kuna watu wanaofahamu vizuri psychology wanishauri jamani.

Asanteni kwa kunijibu bila kejeli

Umeshawahi kuwa na mahusioano ya mapenzi??
 
Habari wanajamii

Naombeni mchango wa mawazo, imetokea wanaume wananiambia ati wananiogopa, mie ni mbabe, najiamini sana na wengine huenda mbali kwa kusema mwanamke wa dizain yako sioi.

Kwakweli sipo hivyo na huwa naumia sana mtu anaponitamkia hayo. Nasikitika mana sielewi ni kitu gani na kutongozwa na waume za watu kumezidi il a sio na singles?

Tafadhalini wanajamii naimani kuna watu wanaofahamu vizuri psychology wanishauri jamani.

Asanteni kwa kunijibu bila kejeli

Pole sana.

Nina rafiki yangu mmoja hivi mchaga msichana mwenye kazi yake shule nzuri tu na nahisi mnaendana kabisa na wewe.

Wanaume wanakaa nae mbali kabisa. Anyways dada ni mbabe kweli. Hatua zake tu za kutembea, pumzi yake, sauti na akifika sehemu lazma atambulike amefika.

Huyo rafiki ana shepu haswa. Mtoto wa kichaga ila ana mguu wa bia. Tatizo tu MBABE.

Tumemshauri kuhusu ubabe na kidogo amejifunza. Ameacha, amekuwa mpole na ananyenyekea. Kapata mchumba sasa na naona wameshibana haswa, nawaombea wafike mbali.

Jikaze, punguza au ficha tabia za ubabe. Pigana kuacha hiyo tabia utashinda.
 
pole sana dada ila mi naona kwa kuwa umeshaona kuwa una hako kaidhaifu hadi wanaume wanakuwa wanakukimbia basi fanyia kazi mambo hayo na uwe na subira kwani huwezi jua labda hao wote waliokukimbia ni Mwenyezi Mungu tu kakuepusha nao ili neema ya kupata mume mzuri ije....kumbuka kuwa likuepukalo lina kheri na wewe hivyo kuwa na subira ila pia jiangalie mienendo ya tabia zako ili isiwe kero hata kwa huyo atakayekuja na ukawa nae. Pia amini kuwa hakuna binadamu mkamilifu, kila mtu ana madhaifu yake, tofauti ni kwamba kuna yanayovumilika na yasiyovumilika....muombe Mwenyezi Mungu akujaalie hekima zaidi ktk kujirekebisha huko na ninaamini utampata tu atakayekidhi nafsi yako na labda hata kukubadilisha mwenendo wako na mkacope vzr tu...kila shetani na mbuyu wake.......kila la kheri inshaallah!
 
mimi ni mkali sana

ILA WANAUME HUNIONA MPOLE SANA sijui kwa sababu NAHESHIMU UWEPO WA MWANAUME

plz usitake haki sawa na wanaume waache wakuchukulie wewe kama mtoto wacha wawe kichwa it wont cost you a thing mwanaume ni mwanaume even bible says
KUSHINDAANA KWAKO NA WANAUME KUNAWEZA KUKAWA SABABU WATCH OUT WANAUME HAWAPENDI HIYO HALI

Hapa umemaliza kabisaa,hongera dada...
 
Nani aoe mwanaume mwenzake?

Tafute mnyonge umuoe
 
unatakiwa kujirekebisha...kujiamini hatukatai ila kusizidi, niliwahi kuwa na binti mmoja kama marafiki ila nilishaonesha interest..sasa akaanza kunipanda kichwani mara anifokee na commands zisizo na msingi..nilikuwa disappointed sana na nikawa najiuliza hapa tu ni nje ya ndoa, nikimuoa je itakuwaje?

Mi pia ilinitokea huyo binti alikuwa mkimya ila kila kitu anataka afanye yeye,thn alikuwa akipanga kitu anataka kiwe kama atakavyo with no alternative ways then alikuwa hapendi niwe na marafk wengi hata wanaume wenzangu, duh nlikuwa na malengo naye but last year nikaona sintamuweza kitabia,tukaishia hapo...
 
He he he, nakufananisha vile. Kama ni wewe ni ngumu sana, ni mother tongue tu. Imagine Rhobi aongee, afu hapo pembeni aongee Mwanayumba? Tofauti.

Wakati mwingine control ya lugha, lugha usiyoijua sana unaonekana unaongea kwa ukali, sababu unajaribu kusisitiza ili watu wakuelewe.

Volume majanger majanger, punguza volume, afu kama una-urgue, mpe mtu muda wa kumsikiliza, hata kama anaongea pumba kiasi gani. Akimaliza, then na wewe uongee, ila kumpiku wakati wa kuongea inaonesha ukali.

mmh unanifananisha na nani tena mamy.
Asante kwa ushauri
 
Unayosema miss chagga ni kweli kabisa. Hizi tabia zetu za, I can pay, I can argue, I can challenge him bila kuangalia uko wampi na mtuo zinawatisha hawa viumbe wa jinsia tofauti na yetu. Sometimes ni kuwaacha wajione wanaume wanaoweza kutumiliki na ku-take care of us.

Kudeka muhimu sana: we hata panya na mende unataka uwaue wewe wkt kidume mwenye nguvu yupo, ukipigiwa simu hata sauti ulainishi.

Dah,nikipata binti mwenye sifa hizi ntampendaje aicee,naweza oa faster...
 
Mweh kumbe tupo wengi...... Shist evelyne salt may be tumeathiriwa na nature! Ila wapo wanaoridhika na hiyo hali yetu.... Au sio

Pole bidada Khantwe na mtoa mada florence tupunguze punguze kidogo, make tukipretend ndo utaharibu zaidi
 
Last edited by a moderator:
pole sana dada ila mi naona kwa kuwa umeshaona kuwa una hako kaidhaifu hadi wanaume wanakuwa wanakukimbia basi fanyia kazi mambo hayo na uwe na subira kwani huwezi jua labda hao wote waliokukimbia ni Mwenyezi Mungu tu kakuepusha nao ili neema ya kupata mume mzuri ije....kumbuka kuwa likuepukalo lina kheri na wewe hivyo kuwa na subira ila pia jiangalie mienendo ya tabia zako ili isiwe kero hata kwa huyo atakayekuja na ukawa nae. Pia amini kuwa hakuna binadamu mkamilifu, kila mtu ana madhaifu yake, tofauti ni kwamba kuna yanayovumilika na yasiyovumilika....muombe Mwenyezi Mungu akujaalie hekima zaidi ktk kujirekebisha huko na ninaamini utampata tu atakayekidhi nafsi yako na labda hata kukubadilisha mwenendo wako na mkacope vzr tu...kila shetani na mbuyu wake.......kila la kheri inshaallah!


amina. as ante kwa kunitia moyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom