Wanaume wananichukulia tofauti na nilivyo

Wanaume wananichukulia tofauti na nilivyo

be ladish; kuwa confidence ni muhimu sana ... try to be charming.. smile a bit.... jichanganye na hiyo jinsia piga story toka out but make sure you talk funny.... sometimes be serious little usiwe wa kukasirika haraka hata kama watakupiga bango la ukweli... hapo ndo unaweza anza badilisha mtazamo wa hao watu... sometimes pale mwanaume anapotakiwa kutake responsibility usilazimishe ufanye wewe... jifunze kudeka mama mzuri mbona utaolewa tu......... alafu usisahau wanume wanapenda kusikilizwa na hata kama unamchallenge tumia hekima sana si uanzishe ligi hapana ..... msikilize huku ukitabasamu mbona wanalo
 
pole sana,kwa kawaida wanaume huwa tunahitaji kuheshimiwa na kusikilizwa kama ilivyo kwa wanawake pia ,ila inapofika point mwanamke anakuwa juu ya mwanaume ndipo mgongano hutokea,cha kufanya punguza hasira ,ubishi na kujifanya unajua kila kitu ni kweli inawezekana unajua ila aproach unayotumia kuelezea ujuaji wako ni wa kibabe sio polite,angalia matumizi ya lugha na kauli nzuri zenye utulivu hayo yote yataisha,,psychologically wanawake wanapenda kuwa juu ya wanaume somethn whch has never been achieved,understand ur position n let love lead na sio ubabe,,,,,,.
 
salama rafiki?
kuna tabia nyingine siyo za kuzing'ang'ania, ni vizuri kubadilika kwa maslahi yako na wanaokuzunguka

Salama best.
Ni kweli mamy,ila abadilike kwa maslahi yake na wamzungukao kama kweli kuna huo uhitaji na si ili wanaume wampende kwa vile tu wanamwambia abadilike.
Wanaume wanapenda mwanamke wa kumnyenyekea muda wote na kufata kila aambiwacho bila ku argue.
 
Hahahaa...baada ya kusoma huu uzi imebidi tu nicheke...maana hata mimi huwa naambiwa hivyo
 
Salama best.
Ni kweli mamy,ila abadilike kwa maslahi yake na wamzungukao kama kweli kuna huo uhitaji na si ili wanaume wampende kwa vile tu wanamwambia abadilike.
Wanaume wanapenda mwanamke wa kumnyenyekea muda wote na kufata kila aambiwacho bila ku argue.
ha haaaa, huyo mwanaume hapo atakuwa kilaza, anaogopa challenges
 
Ndio maaana sio kila mwanamke anafaa kuwa mke
 
mimi ni mkali sana

ILA WANAUME HUNIONA MPOLE SANA sijui kwa sababu NAHESHIMU UWEPO WA MWANAUME

plz usitake haki sawa na wanaume waache wakuchukulie wewe kama mtoto wacha wawe kichwa it wont cost you a thing mwanaume ni mwanaume even bible says
KUSHINDAANA KWAKO NA WANAUME KUNAWEZA KUKAWA SABABU WATCH OUT WANAUME HAWAPENDI HIYO HALI
 
ebu njoo huku kwetu sie masingle tunaopenda independent ladies
 
mimi ni mkali sana

ILA WANAUME HUNIONA MPOLE SANA sijui kwa sababu NAHESHIMU UWEPO WA MWANAUME

plz usitake haki sawa na wanaume waache wakuchukulie wewe kama mtoto wacha wawe kichwa it wont cost you a thing mwanaume ni mwanaume even bible says
KUSHINDAANA KWAKO NA WANAUME KUNAWEZA KUKAWA SABABU WATCH OUT WANAUME HAWAPENDI HIYO HALI

well said sister! nadhan utamsaidia sana ushauri wako
 
Wakati nataka kuoa nilikuwa natafuta mwanamke wa aina yako bahati mbaya sikumpata. Kwa fupi kuna wanaume tunahitaji watu wa aina hiyo uliyoisema na ndio maana umesema kuwa waliooa wengi wanakufuatilia kwa sababu wanajua siri ya urembo.
 
habar wanajamii. heshma kwenu.
Naombeni mchango wa mawazo. imetokea wanaume wananiambia ati wananiogopa, mie ni mbabe, najiamini sana na wengine huenda mbali kwa kusema mwanamke wa dizain yako sioi.
kwakweli sipo hivyo na huwa naumia sana MTU anaponitamkia hayo.
Nasikitika mana sielewi ni kitu gani na kutongozwa na waume za watu kumezidi il a sio na singles?
tafadhalini wanajamii naimani kuna watu wanaofahamu vizuri psychology wanishauri jamani.

Asanteni kwa kunijibu bila kejeli
Anza na huu ushauri hapa chini ukishindwa ni PM
Serious!!!!!
^^
Ni kawaida ya kundi la aina yenu, nje mnajiamini, nje mna nguvu, nje mnajiweza, nje mnazidi sifa za baadhi ya wanaume! Ndani mnaumia, mna upendo, mnahitaji kufarijiwa, mnapenda kujitoa kwa dhati na kwa hiari, Lakini wanaume wanaojua siri yenu hii hamkutani nao sana!
Sasa, vaa tabasamu, ondoa mikunjo ya uso, tembea na ufunguo wa kuyaona mambo ni mepesi ! Azima sauti ya kawaida! Be simple!
Wanaume wengi hawavutiwi na mwanamke aliyekama mwanaume! Make a femine revolution inside yourself. Your a beautiful woman trust me.
(oo! Sorry kumbe hii ni thread ya wanasaikolojia, yachukulie hayo maneno ya mlevi tu)
^^
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom