Wanaume wananichukulia tofauti na nilivyo

Wanaume wananichukulia tofauti na nilivyo

Pengine ni hilo jina unalotumia,
Sijui kama ni jina lako halisi;

Mara nyingi watu wa jina hilo wana tabia
kama hizo wanazokuambia hao wanaume;
jaribu kujitune na jitengeneze florence mwingine
inawezekana, jaribu uone.
 
Last edited by a moderator:
Mpaka wanasema hivyo, hawajaropoka hao. Jichunguze, mwanamke mwingine bila kujua unakuta anaona jambo na kuanza kujitamba "...ingekua mimi, tungeshikana mashati...." kwa hali hii nani akuoe?


Nawasilisha!
 
Pengine ni hilo jina unalotumia,
Sijui kama ni jina lako halisi;

Mara nyingi watu wa jina hilo wana tabia
kama hizo wanazokuambia hao wanaume;
jaribu kujitune na jitengeneze florence mwingine
inawezekana, jaribu uone.

Why pretend to be someone you are not.

And then end up with people who can see right through the hypocrisy?

Why not just be yourself and let the person who will love you for who you are do so?
 
pole sana,kwa kawaida wanaume huwa tunahitaji kuheshimiwa na kusikilizwa kama ilivyo kwa wanawake pia ,ila inapofika point mwanamke anakuwa juu ya mwanaume ndipo mgongano hutokea,cha kufanya punguza hasira ,ubishi na kujifanya unajua kila kitu ni kweli inawezekana unajua ila aproach unayotumia kuelezea ujuaji wako ni wa kibabe sio polite,angalia matumizi ya lugha na kauli nzuri zenye utulivu hayo yote yataisha,,psychologically wanawake wanapenda kuwa juu ya wanaume somethn whch has never been achieved,understand ur position n let love lead na sio ubabe,,,,,,.

asante
 
ukiambiwa kitu kinachokuhusu na watu zaidi ya watatu ambao hafahamiani uchukulie kuwa watu wanakuchukulia hivyo. la muhimu hapa badala ya kupinga maneno ya watu uyafanyie kazi.
Kuna vitu ambavyo tunavifanya bila wenyewe kujua, watu wanaotuambia wanatupenda na wanataka tubadilike (kama ni kitu ambacho hakina maslahi).
Fanyia kazi hayo wanayokuambia badala ya kubishia.
Nakutakia kila la heri katika mabadiliko

nitajitahidi japo huwa sifahamu huo ubabe naufanyaje
 
sorry to say this but this bolded piece of words irritates me and I don't think they are that good why do you need to say that?.
^^
Ni kawaida ya kundi la aina yenu, nje mnajiamini, nje mna nguvu, nje mnajiweza, nje mnazidi sifa za baadhi ya wanaume! Ndani mnaumia, mna upendo, mnahitaji kufarijiwa, mnapenda kujitoa kwa dhati na kwa hiari, Lakini wanaume wanaojua siri yenu hii hamkutani nao sana!
Sasa, vaa tabasamu, ondoa mikunjo ya uso, tembea na ufunguo wa kuyaona mambo ni mepesi ! Azima sauti ya kawaida! Be simple!
Wanaume wengi hawavutiwi na mwanamke aliyekama mwanaume! Make a femine revolution inside yourself. Your a beautiful woman trust me.
( oo! Sorry kumbe hii ni thread ya wanasaikolojia, yachukulie hayo maneno ya mlevi tu )
^^
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom