Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,122
- 52,864
- Thread starter
- #161
Umeme umekata bnsNext episode director kagoma ama......????
Umeme umekata bnsNext episode director kagoma ama......????
Ndiyo nikataka kushangaa wanaume wameishia mmoja.tulia list ni ndefu mkuu
Hivi ni jiji lote au mana mpaka kwetuUmeme umekata bns
Ni kweli sio lazima wote tuoleweHata nisipoolewa Poa tu mamy am ok
Umeme umekata bns
Akuuuu mie niletee parachichi mbili tu kidogo na Pipi ya bigbom ....kikubwa uwahi kuja uanze kujipikilisha nakuona ona Mara kanga ikudondoke ,ili mradi tu tafuran.Nikuletee nini mshwityy Wangu?![emoji4]
Kauli ya kujihami (sizitaki mbichi hichi). Usingekuwa na hilo hitaji, usingekuwa mara kwa mara unaweka bandiko humu la kutafuta wa kukuoa. Otherwise, una kaz maalum ambayo unataka ujue contacts za watu kupitia PM kwa kisingizio cha kutafuta mume.Hata nisipoolewa Poa tu mamy am ok
Endelea kupokea applicationNapambana mkuu
Heehhehheh[emoji108] [emoji108] ntavaa mtandio wa zanzibari tuu bae[emoji2]Akuuuu mie niletee parachichi mbili tu kidogo na Pipi ya bigbom ....kikubwa uwahi kuja uanze kujipikilisha nakuona ona Mara kanga ikudondoke ,ili mradi tu tafuran.
Mkuuu Miller ,,Like yako nmeipata namm napita kukusabai chief !!.ngoja story iendelee tuone mlikoseana wapi wengine wajifunze wasije kukosea...
you are next chief[emoji5]
Laptop imezimaUmeme unakuzuiaje kuendelea?
hahaha ndio maana huko kwingine sijakupa Like nimeassume sijaona [emoji23]Mkuuu Miller ,,Like yako nmeipata namm napita kukusabai chief !!.
Mkuuu Revola ,anataka kunivunjia Ndoa .
Wewe jamaa Ms lincolin kama sijakosea ulikuwa unampiga sound hili hiliUkimalizia wote naomba unitag Sweetheart..I know maybe am too late but I don't care ,I just preparing myself to be your Last Man !!!.i kinda like you my Bumper Butt![]()
Laptop imezima
Umeme umekataWe miss natafuta acha use*nge bana,malizia story,watu tumeacha mambo ya maana tunakusikilizia wew
Mmh rich niga kauzu balaaDuh!
Hiyo laptop haina chaji? Au betri yake ishakufa?
Let rich nigga step in and buy you a new one....laptop that is...