Hii Biblia kiboko!!Amri ya Sita ni Usiue
Amri ya Saba ndio Usizini
Hii ni kutokana na Biblia kitabu cha Kutoka 20
Yani mwanaume unakubali kunyonywa sehemu ya haja kubwa kisa upate raha dah!na upunga unaanza hvyo hvyo asee,kama ndo mchezo wako acha mara moja tutakukosawengine hadi wananyonya sehemu ya kutolea haja kubwa ili kukuridhisha uwe unampa hela
C unawapigia promo kimtindo maana waume wenye ndoa mgogoro ndiyo huponea huko?I greet you all my elders,
Hizi sehemu ni maarufu kwa wanaume wenye vipato vya kati na matajiri huenda
kufanya scrub, kunyoa, steamer, kuweka black, mask/facial etc ili kupendeza na
kwenda na wakati,ni jambo jema.
Kule ndani kwenye hizi saloon kuna vyumba maalum vya kuosha nywele baada ya kunyoa na hizo huduma nilizozitaja hapo awali.zote zinatolewa na hawa wadada ambao nawapongeza kwa kazi yao nzuri iliyotukuka.
Kuna baadhi ya wadada katika kutoa huduma hizi wanatumia madhaifu ya wanaume kutomasa wanaume maeneo wanayoyajua kuwa yanaweza kusababisha mwitikio chanya wa malengo yao (invitation to treat) Upande mwingine kuna wanaume wanaingia humu kwenye vyumba hivyo na tabasamu na vicheko bashasha wakiwa na nia ovu ya kukonga
roho na vimwana wa hizo saloon, wana hakikisha wakitoka hapo anachukua namba ya mdada na kupanga kuvunja amri ya sita.
Wakaka wa saloon wanajua hilo na wanawatumia hao wadada kama chambo ya kuwakamata na kulinda wateja.Wanawaambia wanaume chagua unayetaka akuhudumie! lakini tatizo lililopo wanaume hawajui kuwa kila mwanaume anayeenda pale anapewa
huduma kama yake!
Ushauri sio sheria jiheshimu na kuwa serious ukienda sehemu hizo pia wadada wa saloon, acheni tabia ya kugawa namba za simu na kuwatega wanaume heshimu kazi zenu hiyo ni ajira kama zingine, msishushe thamani ya kazi na utu wenu.
Nakaribisha wenye uzoefu na hii sector.tuwarudishe kwenye mstari baadhi ya ndugu zetu waliopinda.
Week end is over kesho ni . . kula kwa jasho.
we ndo una akiliMi naenda kwa kinyozi kunyoa tu....kuosha na takataka nyingine nafanya nyumbani tu....mambo ya kutekenyana masikio sitaki kabisa!
Hahahaah Mimi hizi saluni za hivi nilishaachana nazo, nikikuta saluni ina wadada tu basi naenda kwa vinyozi wa nchini ya miti.Mi naenda kwa kinyozi kunyoa tu....kuosha na takataka nyingine nafanya nyumbani tu....mambo ya kutekenyana masikio sitaki kabisa!
hii nayo ipo huduma?? Mashoga kumbe ndio wanaanzia hukowengine hadi wananyonya sehemu ya kutolea haja kubwa ili kukuridhisha uwe unampa hela
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lol kumbe hata mzee wa mashetani, wachawi, ndoto mbaya na tafasiri zake, mtaalamu wa nyota huwa unapitaga kupigwa mapouuuuuuuuda na ndimi za masikio a.k.a massage [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nikishaona tu baba shopu napita spidi mia
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lol kumbe hata mzee wa mashetani, wachawi, ndoto mbaya na tafasiri zake, mtaalamu wa nyota huwa unapitaga kupigwa mapouuuuuuuuda na ndimi za masikio a.k.a massage [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
yaan ni kweli kabisa, mara mkutane mlman city, mara mkachek muvi, mara umpgie cmu ucku huku una usingz, mara ukamnunulie i phone, mara nataka sare ya kwenda kwenye kitchn party ya rafk yake,,asa tabu zote hzo za nini,,wakati mtu ukienda tu hapo salun na elfu 20 yako unapata huduma zoteNimekuelewa, asante. Lakini ndg yangu huku sio kuhangaika na nyapu, ni either protein kuzidi au kutoa stress huku ukiutumia muda wako vizuri. Kuanza piga domo na appointments utafikiri unaomba msamaha wa kodi ya nn !