Wanaume waepukeni wadada wa barber shop

Wanaume waepukeni wadada wa barber shop

salooni zenye kutoa huduma hizo ziko wapi hapa jjn nami niende kupata uzoefu bandugu
ukianzia shekilango hadi unatokeza mwenge probability ya kuzipata n 90%.
pia anzia mkwajuni nenda mwananyamala! i hope hutakosa.
 
.....asante!
Kwenye utafiti tunasema kama una hypothesis nne tatu zimekubali na moja imekataa(null) basi uwezekano wa kuwa uko kweli/sahihi na ulichokusudia ni mkubwa!
kweli mkuu,unenirudisha kwenye dissertation! mambo ya author KOTHAR
 
We jamaa unaleta zile mbinu za kizamani za kumsingizia demu ngoma ili wengine wasimtokee.

Na yeye mwenyewe nimeongea naye amenithibitishia eti kumbe ulitaka yeye ndo alipie room.
Teh teh..Mi Rubii mbona naenda nae level..Wala hanisumbui..Tatizo nakuonea huruma ww..Utapigwa tu zen uanze kulialia

rubii Mbona hili gari la mshahara unaliacha linazurula hivi..Fanya mambo basi
 
Kumbe huwa unawatafuna eeeeh? Halafu unashuari wenzio wawaepuke. Unataka ufaidi peke yako? Acha ubinafsi dogo!
unalazimisha kuwa alikuwa anahusiana na mada! non sense.
 
Mke wang kanipiga marufuku kwenda huko....na sasa anajifunza kunyoa ili nisiende...lakin wapi lazima nende...kwan wanatumbua adi vipele wale wa Dada naalafu wazur sana kiukwel....hii Huduma iwepo na iboreshwe
 
Sasa hii posti yako ulikuwa una promote hizo salon au ulikuwa unaua soko? Mbona unakuwa kigeu geu? Maana umeitaja kabisa JR, je unataka ''walokole'' waache kwenda JR? Acha kuharibia biashara wenzio. Fungua ya kwako ambayo haina kuosha nywele wala scrub.....! Uone utapata wateja wangapi!
shuleni kila mtu anaelewa anachojua.ndo maana mada moja hoja zipo tofauti.hata huo wako ni mtizamo tu.sio lazima ukubali nilichopost.endelea kufurahia debate bila matusi kama hivi.
 
ukianzia shekilango hadi unatokeza mwenge probability ya kuzipata n 90%.
pia anzia mkwajuni nenda mwananyamala! i hope hutakosa.
wanafanya bei gani kunyoa na kuscrub na masaji? ipi saloon yenye wadada wakutoa huduma zote?
 
Mke wang kanipiga marufuku kwenda huko....na sasa anajifunza kunyoa ili nisiende...lakin wapi lazima nende...kwan wanatumbua adi vipele wale wa Dada naalafu wazur sana kiukwel....hii Huduma iwepo na iboreshwe
Mkuu naona hata themeji kashindwa kukudhibiti.wale wadada wanaoga vizuri na pamba ili waende sawa na wateja.
 
Teh teh..Mi Rubii mbona naenda nae level..Wala hanisumbui..Tatizo nakuonea huruma ww..Utapigwa tu zen uanze kulialia

rubii Mbona hili gari la mshahara unaliacha linazurula hivi..Fanya mambo basi

Mi nakwambia sidanganyiki, ila bro asante maana nimeshajua jinsi ya kujidefend ikitokea akataka kunipiga.
 
salooni zenye kutoa huduma hizo ziko wapi hapa jjn nami niende kupata uzoefu bandugu
hutaacha ukipata! utazunguka saloon kadhaa.mpaka ushtuki ulishaliwa vya kutosha
 
Wameshanitesti pale banana, Dar kule ndani kuna barbershops na pubs kadhaa. Nusu nizame ila Mungu alikuwa nami.
Napajua pale kuna uchochoro unatizamana na benki ya AKIBA upande wa air wing.unakuwa kama unaenda kwenye pub za mbele! huwa ukipita na gari ukitumia mchepuko ule unaona wadada weupe,nadhifu,tiyari kukutoa.stress! ukikamatika unaishia.kuongeza stress
 
Napajua pale kuna uchochoro unatizamana na benki ya AKIBA upande wa air wing.unakuwa kama unaenda kwenye pub za mbele! huwa ukipita na gari ukitumia mchepuko ule unaona wadada weupe,nadhifu,tiyari kukutoa.stress! ukikamatika unaishia.kuongeza stress
Hapo hapo mkuu.
 
Back
Top Bottom