Wanaume waepukeni wadada wa barber shop

Wanaume waepukeni wadada wa barber shop

Naona wanaume mmeamua kuyajenga... Inapendeza sana. Binafsi nishapita an wadada Wawili wa saloon tofauti.. Ila nimeacha hayo mambo.
kile ni chuo kwa wanaume wa mjini,ukipitia unabaki na adithi za kusimulia maskani.
 
lakin tatizo liko wapi kama mtu unawafuata wenyewe,,,,kila mtu anajua anachofanya,,so wanaowakamua waache waendelee kukamua
 
Powa wapi sasa, I meant contact ya hiyo sehemu nikapunguze hii afro 70 🙂
mkuu sehemu kama hizo hatutaji majina.wanaweza kukupiga hela ukaja kutujazia watu humu! wee soma vibao ukiona wadada weupe wako nje na ndani jua upo kwenye eneo la tukio
 
Saloon wanaume wanashikwashikwa, wanawake nao wakiwa Saloon wao ndiyo balaa hushikwa shikwa mpaka viungo nyeti.

Hizi Saloons ni majipu.
kawaida mle hakuna aibu wala heshima!
 
mwaka wa nne huu saluni naziona kwa nje. niliamua kujinyoa mwenyewe, mwanzoni ilikuwa ngumu nilitumi zaid ya saa mbili kujinyoa tena kwa kujipachua pachua, sasa hivi nimekuwa mzoefu ndani ya nusu saa nimejinyoa vizuri MNO na nikiwaambia watu nimejinyoa mwenyewe hawaamini macho yao. Ujinga wa wadada wa saluni (kwa wanaume na hata kwa wanawake wenzao wanaokwenda nyoa low cut ,na hali hatarishi ya kushare vitana,mataulo na mashine za saluni zilinihamasisha kununua shaving kit yangu na kujifunza kujinyoa.
awali nilipoanza nikiwa nimejinyoa hovyo hovyo nilikuwa navaa cape just after a week nywele ziko vizuri ,now fresh niko vizuri.
Wadada wakiona mteja wanahesabu mihela wanajua tip ipo na namba anapewa ya kuendekeza libeneke
 
Kuna mdada mmoja alikuwa ananifanyia scrub kwenye saloon moja baada ya kunyoa. Asa nikashangaa anascrub na shingoni upande wa kisogoni. Nikamuuliza hiyo scrub lotion imeandikwaje? Akajibu 'facial scrub'. Nikamuuliza tena huko unakopita nako ni surani? Alinimaindi sana ila akaacha ujinga wake. Tangu siku hiyo nimeacha kufanya hiyo kitu kwa saloon. Nimenunua lotion na mama watoto ndo huwa anascrub kwa sura yangu...
Hahahaha eti lotion imeandikwaje
 
kwanza hzi saluni za namna hii na massage center zilizo nyingi ni majipu
acha wapate ridhiki mkuu,mradi waache kuhamasisha ngono ktk utendaji wao
 
mwaka wa nne huu saluni naziona kwa nje. niliamua kujinyoa mwenyewe, mwanzoni ilikuwa ngumu nilitumi zaid ya saa mbili kujinyoa tena kwa kujipachua pachua, sasa hivi nimekuwa mzoefu ndani ya nusu saa nimejinyoa vizuri MNO na nikiwaambia watu nimejinyoa mwenyewe hawaamini macho yao. Ujinga wa wadada wa saluni (kwa wanaume na hata kwa wanawake wenzao wanaokwenda nyoa low cut ,na hali hatarishi ya kushare vitana,mataulo na mashine za saluni zilinihamasisha kununua shaving kit yangu na kujifunza kujinyoa.
awali nilipoanza nikiwa nimejinyoa hovyo hovyo nilikuwa navaa cape just after a week nywele ziko vizuri ,now fresh niko vizuri.
Kumbe inawezekana?
 
Kuna siku nilikwenda saloon moja na mdogo wangu kulikuwa na wadada watatu ila mmoja wao alikuwa kapangika kisawasawa(namba 8) nilimtania kama nitoke nae akajifanya Kim Kadashian. lakini kumuona tembo mwekundu mfukoni kajaa akaanza kutaka nimpe namba yangu. Nilimwambia nilikuwa nakutania tu. Mdogo wangu si akamtania shemeji yake kama tulifanyiwa face scrub na shoulder massage. Tokea siku hio nikienda saloon basi na yeye lazima aende na sisi.
kweli mkuu kuna wanawake wanakwenda pamoja na waume wao saloon.sidhani kama inasaidia kwakuwa mwanaume anaweza kwenda pale bila mwenza kujua.
 
Una contacts zake mmoja wao, please nitumie.

Hamjui ku value muda na kuoanisha na pesa ( time is money) km una kiu kwa sababu moja au nyingine why not..... huhitaji kujua km kwao wanakula panya au fungo, au km ni majambazi. Unalipa unamaliziwa kiu na kuondoka.. !!

Namba sina mkuu. Unajua inafikia wakati unachoka kupiga mashine unapunguza spidi. Mimi sasaivi naregret mambo niliyoyafanya siku za nyuma. Ila nikiona mtu bado anahangaika na nyapu naelewa
 
mkuu sehemu kama hizo hatutaji majina.wanaweza kukupiga hela ukaja kutujazia watu humu! wee soma vibao ukiona wadada weupe wako nje na ndani jua upo kwenye eneo la tukio
Sijakuelewa, kunipiga hela kivipi na kukujazia watu humu ? Ni pm chemba basi, km nilivyosema wabongo bado hatu value time.... nizurure tuu kuangalia wadada weupe wakati naweza drive straight ?
 
Back
Top Bottom