Wanaume waepukeni wadada wa barber shop

Wanaume waepukeni wadada wa barber shop

mwaka wa nne huu saluni naziona kwa nje. niliamua kujinyoa mwenyewe, mwanzoni ilikuwa ngumu nilitumi zaid ya saa mbili kujinyoa tena kwa kujipachua pachua, sasa hivi nimekuwa mzoefu ndani ya nusu saa nimejinyoa vizuri MNO na nikiwaambia watu nimejinyoa mwenyewe hawaamini macho yao. Ujinga wa wadada wa saluni (kwa wanaume na hata kwa wanawake wenzao wanaokwenda nyoa low cut ,na hali hatarishi ya kushare vitana,mataulo na mashine za saluni zilinihamasisha kununua shaving kit yangu na kujifunza kujinyoa.
awali nilipoanza nikiwa nimejinyoa hovyo hovyo nilikuwa navaa cape just after a week nywele ziko vizuri ,now fresh niko vizuri.
 
mwaka wa nne huu saluni naziona kwa nje. niliamua kujinyoa mwenyewe, mwanzoni ilikuwa ngumu nilitumi zaid ya saa mbili kujinyoa tena kwa kujipachua pachua, sasa hivi nimekuwa mzoefu ndani ya nusu saa nimejinyoa vizuri MNO na nikiwaambia watu nimejinyoa mwenyewe hawaamini macho yao. Ujinga wa wadada wa saluni (kwa wanaume na hata kwa wanawake wenzao wanaokwenda nyoa low cut ,na hali hatarishi ya kushare vitana,mataulo na mashine za saluni zilinihamasisha kununua shaving kit yangu na kujifunza kujinyoa.
awali nilipoanza nikiwa nimejinyoa hovyo hovyo nilikuwa navaa cape just after a week nywele ziko vizuri ,now fresh niko vizuri.
Sio kwamba una upara mkuu, maana huo hauhitaji mbwembwe ktk kunyoa
 
Mkuu
Kuna mmoja aliniambia boyfrend wake hajui kama yeye ni mtalam wa masaj. Dem ni mkali kinoma aliponihudumia akaniambia anatoa namba ukihitaji anakufata popote au unaenda kumchukua anakukanda fresh. Nikamuonea huruma sana jamaa huko.aliko

Mwingine kwenye saluni nyingine aliniambia hapendi ukicheche ila boyfrendi wake hajampa shughuli yoyote ya kufanya kwaiyo yeye anagongesha kwa hela. Huyo dem anaishi na jamaa yake!!

Hatari..
mkuu naomba uni pm namba yake. Tafadhali
 
Kwa mwendo huu ngoja wazungu wasitishe misaada ya madawa ya kupambana na Virusi vya UKIMWI!
Waafrika mnapaswa kuona mlivyo duni ,mwekeze nguvu kwenye sayansi na kujiendeleza,muache kutumia muda,akili na nguvu nyingi kwenye ngono na starehe za kimwili...............vita vya tatu vya dunia vikianza sidhani kama kutakuwa na atakaye watetea,mtaonekana mizigo tu na wengine wataamua kugawanya Afrika miongoni mwao baada ya kuwaondolea mbali na bomu la kirusi/virus/biological weapon ama hata nyuklia.
 
Kwa mwendo huu ngoja wazungu wasitishe misaada ya madawa ya kupambana na Virusi vya UKIMWI!
Waafrika mnapaswa kuona mlivyo duni ,mwekeze nguvu kwenye sayansi na kujiendeleza,muache kutumia muda,akili na nguvu nyingi kwenye ngono na starehe za kimwili...............vita vya tatu vya dunia vikianza sidhani kama kutakuwa na atakaye watetea,mtaonekana mizigo tu na wengine wataamua kugawanya Afrika miongoni mwao baada ya kuwaondolea mbali na bomu la kirusi/virus/biological weapon ama hata nyuklia.

Sawa mkuu....Wewe ni wa wapi?
 
Una contacts zake mmoja wao, please nitumie.

Hamjui ku value muda na kuoanisha na pesa ( time is money) km una kiu kwa sababu moja au nyingine why not..... huhitaji kujua km kwao wanakula panya au fungo, au km ni majambazi. Unalipa unamaliziwa kiu na kuondoka.. !!

Kuna mmoja aliniambia boyfrend wake hajui kama yeye ni mtalam wa masaj. Dem ni mkali kinoma aliponihudumia akaniambia anatoa namba ukihitaji anakufata popote au unaenda kumchukua anakukanda fresh. Nikamuonea huruma sana jamaa huko.aliko

Mwingine kwenye saluni nyingine aliniambia hapendi ukicheche ila boyfrendi wake hajampa shughuli yoyote ya kufanya kwaiyo yeye anagongesha kwa hela. Huyo dem anaishi na jamaa yake!!

Hatari..
 
Mkuu Bob luse umeongea jambo la msingi sana,moja ya siku mwaka 2013 nikiwa ktk process za kufunga ndoa siku ya tukio nikaingia salon moja pale Sinza Madukani...ilikuwa ndo mara yangu ya kwanza kufanya hizi scrub sijui steamer,alooo hawa watu ni wakuwaepuka nakumbuka yule dada alinifanyia vitu vya ajabu ilibaki kidogo tu nifanye upumbavu ktk siku yangu maalum,mpaka leo humo kwenye masalon hayo siingii sitaki hata kuyaona.
 
Mkuu Bob luse umeongea jambo la msingi sana,moja ya siku mwaka 2013 nikiwa ktk process za kufunga ndoa siku ya tukio nikaingia salon moja pale Sinza Madukani...ilikuwa ndo mara yangu ya kwanza kufanya hizi scrub sijui steamer,alooo hawa watu ni wakuwaepuka nakumbuka yule dada alinifanyia vitu vya ajabu ilibaki kidogo tu nifanye upumbavu ktk siku yangu maalum,mpaka leo humo kwenye masalon hayo siingii sitaki hata kuyaona.
Nashukuru mkuu kuona unapractical experience na hawa wadada,mtu mwingine asiwajua anaweza kufikiria kuwa nawananga hawa wadada! tumekutana nayo hayo ndo maana tunawaasa wanaoingia miguu yote
 
Una contacts zake mmoja wao, please nitumie.

Hamjui ku value muda na kuoanisha na pesa ( time is money) km una kiu kwa sababu moja au nyingine why not..... huhitaji kujua km kwao wanakula panya au fungo, au km ni majambazi. Unalipa unamaliziwa kiu na kuondoka.. !!
unatakiwa ukahudumiwe! contact sio ishu kwa wale wadada! siku ya off unaoa.
 
Kuna mdada mmoja alikuwa ananifanyia scrub kwenye saloon moja baada ya kunyoa. Asa nikashangaa anascrub na shingoni upande wa kisogoni. Nikamuuliza hiyo scrub lotion imeandikwaje? Akajibu 'facial scrub'. Nikamuuliza tena huko unakopita nako ni surani? Alinimaindi sana ila akaacha ujinga wake. Tangu siku hiyo nimeacha kufanya hiyo kitu kwa saloon. Nimenunua lotion na mama watoto ndo huwa anascrub kwa sura yangu...
 
I greet you all my elders,

Hizi sehemu ni maarufu kwa wanaume wenye vipato vya kati na matajiri huenda
kufanya scrub, kunyoa, steamer, kuweka black, mask/facial etc ili kupendeza na
kwenda na wakati,ni jambo jema.

Kule ndani kwenye hizi saloon kuna vyumba maalum vya kuosha nywele baada ya kunyoa na hizo huduma nilizozitaja hapo awali.zote zinatolewa na hawa wadada ambao nawapongeza kwa kazi yao nzuri iliyotukuka.

Kuna baadhi ya wadada katika kutoa huduma hizi wanatumia madhaifu ya wanaume kutomasa wanaume maeneo wanayoyajua kuwa yanaweza kusababisha mwitikio chanya wa malengo yao (invitation to treat) Upande mwingine kuna wanaume wanaingia humu kwenye vyumba hivyo na tabasamu na vicheko bashasha wakiwa na nia ovu ya kukonga
roho na vimwana wa hizo saloon, wana hakikisha wakitoka hapo anachukua namba ya mdada na kupanga kuvunja amri ya sita.

Wakaka wa saloon wanajua hilo na wanawatumia hao wadada kama chambo ya kuwakamata na kulinda wateja.Wanawaambia wanaume chagua unayetaka akuhudumie! lakini tatizo lililopo wanaume hawajui kuwa kila mwanaume anayeenda pale anapewa
huduma kama yake!

Ushauri sio sheria jiheshimu na kuwa serious ukienda sehemu hizo pia wadada wa saloon, acheni tabia ya kugawa namba za simu na kuwatega wanaume heshimu kazi zenu hiyo ni ajira kama zingine, msishushe thamani ya kazi na utu wenu.

Nakaribisha wenye uzoefu na hii sector.tuwarudishe kwenye mstari baadhi ya ndugu zetu waliopinda.

Week end is over kesho ni . . kula kwa jasho.
ushauri mzuri mkuu
 
Naona wanaume mmeamua kuyajenga... Inapendeza sana. Binafsi nishapita an wadada Wawili wa saloon tofauti.. Ila nimeacha hayo mambo.
 
Kuna mdada mmoja alikuwa ananifanyia scrub kwenye saloon moja baada ya kunyoa. Asa nikashangaa anascrub na shingoni upande wa kisogoni. Nikamuuliza hiyo scrub lotion imeandikwaje? Akajibu 'facial scrub'. Nikamuuliza tena huko unakopita nako ni surani? Alinimaindi sana ila akaacha ujinga wake. Tangu siku hiyo nimeacha kufanya hiyo kitu kwa saloon. Nimenunua lotion na mama watoto ndo huwa anascrub kwa sura yangu...
huo ndo mchezo wao! usipoangukia kwenye hila zao wanakuona wa juzi
 
Wife hataki kabisa hizo habari..Ndo mana uwa tunaongozana saloon..Baada ya kunyoa yy ndo ananiosha
 
Back
Top Bottom