Wanaume wa kichaga

Wanaume wa kichaga

Hivi kumbe eeeh? Kuna mkaka mngoni tulikuaga nae jamani jamani. Kaka ana gubu yule sijawahi kuona. Kitu kidogo atakaa nacho hata week mbili.
Hahahaaaa wanawake ndio kidogo nawafahamu. Ila labda kwavile ni wafupi, Si unajua wanaume wafupi wana inferiority complex hivyo gubu lazima.
 
Tatizo haujaelewa shida yenu ilipo. Sisi vitu tunavyotaka vipo ndani ya uwezo wenu kutupa ni viburi tu vinawafanya mnakuwa wabishi kutupa na ndio maana mnaumia kila uchao. Farasi ukimlazimisha kwenda safari lazima atakubidua kutoka mgongoni pake.

Ninyi mnaongozwa na tamaa na sio mahitaji. Na vitu vingi mnavyotaka huwa vinatugharimu na ndio maana huwa hatuwezi kuwapatia.

Ila ninyi vitu tunataka ni ambavyo havigharimu.....
Na kuwa romantic na kusaka pesa hakupo kwenye uwezo wenu right?

Nyie ndio hamjui mnachotaka ndio maana hamuishi kuhangaika, sisi tunaridhika na mambo madogo sana ya msingi.

Bahati nzuri ni kwamba life ***.s us all, nyuzi za kulia lia zilizojaa humu ni za wanaume, sasa sijui lini mtaacha kulia lia na kutulia kuwa WANAUME na kuchukua nafasi yenu kwa kutumia akili?
 
Sasa ndo muone jinsi gani ilivyo ngumu hata kwetu kuchagua kati ya mwanaume anayeweza kuhudumia ila hajui kujali na mwanaume anayejua kujali ila hawezi kuhudumia msitulaumu tunataka vyote kama ambavyo ninyi mnataka vyote
Thank you.
 
Mwanaume mpole ni yule ambaye mke wake akifanya makosa anatafuta njia nzuri ya kumrekebisha bila kumfokea wala kumpiga ila sasa nyie watoto wa farao mwee mwee mwee mwee mbombo jilipo
Mke anaambiwa kwa upole mara 3 za kwanza akirudia uzembe anakula konzi😂😂😂
 
Back
Top Bottom