Wanaume wa kichaga

Wanaume wa kichaga

Unakuaje malaya na wakati huo huo uwe mnyenyekevu?

Ngumu sana hiyo.
Hivi ukiambiwa uchague kati ya mwanamke malaya ila mnyenyekevu na mwanamke muaminifu ila mjeuri na hautakiwi kuchepuka utachagua yupi kati ya hao?
 
Inawezekana kweli humuwezi,hajachangamka and all that,ila shida ipo kwanini usingemuachia aende?hata sasaivi umwambie tuu ukweli hauwezi kuendelea nae? Mpaka target zako zitimie.
Yani kosa lako ni kumpondea tuu kaka wa watu ila bado umemng'ang'ania. Wa nini? Hafai,muacheee.
Unaendelea tuu kumdrain (physically emotionally and possibly financially )

Sio poa hata kidogo. Imagine ingekua wewe umefanyiwa hivyo. Sio freshhh. .ka ana mapungufu tafuta size yako. Sio kutake advantage kujiona mjanja kisa amekupenda..in short you are takin him for granted...
Malengo yangu yanatimia hata bila msaada wake, hapa ni kwangu siwezi kuondoka kwa sasa, nilijiwekea malengo ya kutotafuta nyumba nyingine ya kupanga hadi nihamie kwangu niliojenga.

Usijali very soon he ll be free, namtafutia njia nzuri ya kumuepa.
 
I see!
Huyu namvumilia tu maana namalizia ujenzi wa nyumba yangu niachane nae maana sidhani if i can spend the rest of my life with someone like this. Nitamchoka mapema sana.
Mkataa pema pabaya panamuita.

Zimwi likujualo halikuli ukakwisha.

Heri shetan unauemjua kuliko malaika usiyemjua.

Naishia hapo.
 
Wanawake tukitaka vile vinavyotupa faraja hatujielewi, ila nyie mkitaka vyote basi ndio mna akili!!!!!!!!!! SMH
Tatizo haujaelewa shida yenu ilipo. Sisi vitu tunavyotaka vipo ndani ya uwezo wenu kutupa ni viburi tu vinawafanya mnakuwa wabishi kutupa na ndio maana mnaumia kila uchao. Farasi ukimlazimisha kwenda safari lazima atakubidua kutoka mgongoni pake.

Ninyi mnaongozwa na tamaa na sio mahitaji. Na vitu vingi mnavyotaka huwa vinatugharimu na ndio maana huwa hatuwezi kuwapatia.

Ila ninyi vitu tunataka ni ambavyo havigharimu.....
 
Kumbe umefungashia, kwahiyo ukitembea unatingisha tu hadi umenidolishia shows ni kwa kiasi gani umejaaliwa, well hata mie namshukuru Mungu si haba ila natumia kwa kukalia tu sio wewe umebadili matumizi kabisa. Endelea kutoa sifa zako zingine labda watajaa pm kama kwa mwenzio.
You pray even to have a small size of a$$ and then you are flat as your palm... Only deep hole under ur waist.... Minor brain as a piece of tablet..
 
Sasa ndo muone jinsi gani ilivyo ngumu hata kwetu kuchagua kati ya mwanaume anayeweza kuhudumia ila hajui kujali na mwanaume anayejua kujali ila hawezi kuhudumia msitulaumu tunataka vyote kama ambavyo ninyi mnataka vyote
Ooh! Kumbe ndiyo ilikuwa maana yako, sawa mkuu! Ina inawezekana kumpata mmoja mwenye vyote japo inakuwa nadra kidogo!
 
Nashangaa hapa povu linawatoka utadhani wamesingiziwa? Mbona wanawake wa kichaga tunasemwa lkn hatukasiriki maana ukweli ndo huo, Usipoamua kujiongeza unabaki hivyo hivyo

Wanaume huwa hawapendi kuambiwa ukweli, ukweli wauseme wao tu ila sio wao waambiwe. Hivyo sishangai hizi povu zao.
 
Soma uzi then utapata majibu, so far wanaume wote wa kichaga walochangia wamethibitisha hilo, pia hata wanawake wamethibitisha.
Hao ni wanaume wa kichaga au ni huyo mwanaume wako? Au ushatembea na wanaume wangapi wa kichaga hadi ufikirie ndio kabila lote wapo hivyo?
 
Nashangaa hapa povu linawatoka utadhani wamesingiziwa? Mbona wanawake wa kichaga tunasemwa lkn hatukasiriki maana ukweli ndo huo, Usipoamua kujiongeza unabaki hivyo hivyo
Labda kunitukana kunawafariji, acha watoe sumu. Najua kwa sasa wataanza kuwatafuta wa Pwani wawafundishe.
 
Back
Top Bottom