Wanaume wa kichaga

Wanaume wa kichaga

Mwanaume mpole ni yule ambaye mke wake akifanya makosa anatafuta njia nzuri ya kumrekebisha bila kumfokea wala kumpiga ila sasa nyie watoto wa farao mwee mwee mwee mwee mbombo jilipo
Tatizo uyo mpole mkimpata mnamuonaga zoba, mnaenda kuchiti na mabaharia wakorofi
 
Labda kunitukana kunawafariji, acha watoe sumu. Najua kwa sasa wataanza kuwatafuta wa Pwani wawafundishe.
Wewe hata usiwajibu, waache watukane wakichoka wataondoka. Ni kawaida yao humu, mada ikiwagusa mtoa mada anatukanwa matusi yote na tusi lao kubwa ni kukuita "malaya" ila wanakwenda kuugulia maumivu pembeni.
 
Nimeacha.
Wewe hata usiwajibu, waache watukane wakichoka wataondoka. Ni kawaida yao humu, mada ikiwagusa mtoa mada anatukanwa matusi yote na tusi lao kubwa ni kukuita "malaya" ila wanakwenda kuugulia maumivu pembeni.
 
Na kuwa romantic na kusaka pesa hakupo kwenye uwezo wenu right?

Nyie ndio hamjui mnachotaka ndio maana hamuishi kuhangaika, sisi tunaridhika na mambo madogo sana ya msingi.

Bahati nzuri ni kwamba life ****.s us all, nyuzi za kulia lia zilizojaa humu ni za wanaume, sasa sijui lini mtaacha kulia lia na kutulia kuwa WANAUME na kuchukua nafasi yenu kwa kutumia akili?
Okay, first and foremost, umeshajiuliza hao wanaolia lia humu ni wanaume au wavulana. Kama haujafahamu, most of these cry baby ni vijana wadogo sana wa level ya advance secondary au aidha wapo chuo wakisoma cheti, diploma au wachache degree. Most of them hata hawajaanza maisha ya kujitegemea na kuwa na majukumu rasmi. So acha kupoteza energy yako kuamini unajua kinachoendelea.

Pili nikujulishe kitu tu kuwa kuwa romantic ni jambo la ku'volunteer kwa mwanaume na ili aendelee basi ni lazima mwanamke amtengenezee mazingira kuwa hivyo na usitegemee awe hivyo by himself.

Ni ngumu sana ukute mwanaume anatafuta pesa na apate muda wa kudeal na drama zako. Anaweza kukufanyia small practices za mahaba kama kukuletea zawadui, kukutoa out, kukupa mchezo mzuri kitandani lakini most of the times ni ngumu kufanya hivyo as iwe muda wote huwa ni ngumu sana....akili inayowaza kutafuta pesa huwa haitapata mida kuwaza mapenzi na ndio maana wanayoyaweza ni hawa mabwana wadogo wasiokuwa na serious business kwenye uchumi.

Kiufupi usiassume kuwa wavulana ni necessary wanaume.......

By the way for serious talk u know my dm..... We can learn more from one another.....
 
Unajua ili useme chakula hiki ni kibaya ni lazima umeshawahi kula chakula kitamu. Hauwezi kusema chakula ni kibaya huku haujui kitamu kipoje.
Hauwezi kusema mwanaume huyu amepooza, au hajui mapenzi kama haujawahi kuwa kwenye mahusiano na watu kadhaa ukaona utofauti.

Wanaoweza ni kwa sababu wanaume wao hao hao ndiyo waliowafundisha mapenzi yaani wameanza nao na wanaendelea nao. Huwa hawaonji nje ili kufananisha kama ladha ni tofauti au lah ndiyo maana tunaweza.

Wasio weza ni wale ambao wameshaonja ladha mbali mbali. Ni sawa na mtu anasema mtu ana kibamia, hawezi kusema hivyo kama hajawahi kukutana na kubwa. Lakini tungekuwa tunatulia kwenye mahusiano haya mambo ya kufananisha fananisha na kugundua kasoro za mwenzako yasingekuwepo.
Hapa wacha nipite tu
 
Back
Top Bottom