Wanaume wa kichaga

Mambo mabaya hutokea kwa watu wema sometimes, na haimaanishi haupaswi kuwa mwema. Yupo atakae appreciate.
Ndio maana huyu nataka nimuache ili ampate atakaeendana nae.
Dada jaribu kujibu kwa busara kama ulivyojibu hapa, nmesoma comments zako zote majibu yako ni ya hovyo mno jaribu kubalance majibu yako kuna watu wanachangia vzuri kwa ustaarabu lakini unavyojibu kwa dharau/kejeli yani kama vita vile..

Nb: To every general rule there is an exception.
 
Probably huyu atakuwa mmarangu.. ndo wanapenda vitu hiv... kule kibosho au rombo au machame wanapenda mwanaume awe rough... yaan uwe mmbabeee ...
 
Huyu ni wapili sasa, nikapiga story na mashosti walowahi kudate wachaga story is still the same. Nyie wenyewe mmethibitisha kwenye uzi huu kuwa mmechangamka kwenye utafutaji tu sio upande wa pili.

My sis unachopitia ni ukweli,Mimi nilipiga goti nikaomba Mungu sitaki tena mchaga maana ilikuwa ni serial dating ya chagas ilikuwa inatokea tu
Wakaka wazuri kwelikweli aisee hatarii lakini mambo mengine kidogo wanapwaya
Labda huyu mchaga mmoja wa old moshi alikaa nje kwa muda huyu alikuwa na uzungu uzungu wa kuletewa maua,visuprise,outings,kubebewa handbag etc lakini bado alikuwa na uchaga
Mchaga ni mchaga ila nawasifu wanajali familia zao
 
Ulya lakana na kite ekyi kya nkutano ro mae!!!
 
Baharia kachokwa kweli kweli, maana anavyosemwa! Si mchezo.

Namuonea huruma baharia anayekumiliki na atakayekumiliki.
 
Nifungulie milango ya pepo yako basi ; Tuje f tufaidi ayo maakili yako pamoja
 
Asili yako ni umalaya kiufupi sijakuelew eti hajachangamka sioni sababu hapo yakuachana labda kama mahitaji yako wewe kwa sasa nikutafuta njemba nyingine
 
Wewe mleta mada unatakiwa ujisajili xxx videos, Nadhani ndio fani yako
 
Ungetuma picha yako tukuone basi, inawezekana umechuja.ila trust me,humu ndani utapata wateja
 
ww mwenyewe inaelekea kitandani una lalaga kama gogo yy ana poteza hisia, ila nahisi unataka ale 0714 lakini mchaga hawezi kula ni watu wa dini sana. Ushauri achana nae ukaolewe na Piere liquid au Dudu baya au baba dimond (dudu la yuyu)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…