Wanaume wa kichaga hawajui mapenzi

Wanaume wa kichaga hawajui mapenzi

Wao wanajua kutafuta hela na kiukweli hela wanazo lakini kwenye mapenzi ni 0, hata kutongoza wengi wao hawajui wanajua kuhonga tu, na wanawake wanawakubali sababu wanapewa matumizi yakutosha ila wengi wa wake zao au magirl friend zao wana wanaume wapembeni wa kuwaridhisha kimapenzi. USIBISHE FANYA UTAFITI

Nimegundua ni kwa nn wachaga wanatuzidi maendeleo makabila yalio mengi, kama akili ndio hii basi wataendelea kutuacha mbali. They think abt life, we think abt sex. Kama ulivyosema X GIRLFRIEND, inawezekana pia wapenzi wa wapenda ngono ni lazima waende kwa wachaga pia maana ngono haitawavisha wala kuwalisha, so kwa mtazamo wako basi wao wachaga ndio watakao ongoza kwa kutubebea wake na gf zetu sisi tunaowaza ngona 4 life
 
cjajua huo utafiti wako umetumia vigezo gani. but kama wataka kuamini twajua au hatujui tupe nafasi then rudi hapa kusimulia. kama wewe ni gal weka ur number kama men weka number ya dem wako or ya sister wako alafu tupe week then utaprove whether ur right or wrong.....
 
No research no right to speak,mtoa mada ningekupa nafasi ya upendeleo tuingie katika mahusiano ya mkataba kwa muda fulani hakika utajatoa ushuhuda na kuomba mods wafute huu uzi,unajadili mapenzi kwa kabila? O.m.g

Mtoa mada anamaanisha majority,na ni ukweli
 
Hata wanawake wa kichaga hawajui mapenzi kabisa,kitandani wanakuwa kama magogo!!
Kazi kweli kweli!
 
Mmmmmh

Nimegundua ni kwa nn wachaga wanatuzidi maendeleo makabila yalio mengi, kama akili ndio hii basi wataendelea kutuacha mbali. They think abt life, we think abt sex. Kama ulivyosema X GIRLFRIEND, inawezekana pia wapenzi wa wapenda ngono ni lazima waende kwa wachaga pia maana ngono haitawavisha wala kuwalisha, so kwa mtazamo wako basi wao wachaga ndio watakao ongoza kwa kutubebea wake na gf zetu sisi tunaowaza ngona 4 life
 
We umeonesha kwamba ni hatari sana! Umekuwa na Wachaga wangapi halafu ukaja na hiyo hasty conclusion?
 
Nani kakuambia wapare ni wachaga!
kumbe hata hutufahamu...............
Tafuta pesa wewe....acha kuwaza ngono arif...
 
Hata wanawake wa kichaga hawajui mapenzi kabisa,kitandani wanakuwa kama magogo!!
Kazi kweli kweli!

ngoja Preta aje hapa Mentor patachimbika then kama ni magogo wapotezee,we siunapendaga mabeki3 wameshajichokea na makazi yao unasema wachaga
 
Last edited by a moderator:
YANI WE USHINDWE KUFIKISHWA HUKO NA HUYO X BOYFRIEND WAKO (ambaye nafikiri hana hadhi ya kuitwa mwanaume since we ushamwona ni boy!wanaume wetu wa ukweli hatuwaiti boy bibi we!)naendelea........af uje hapa utu
ukanie waume zetu!nyambaf............. nazi ukishindwa kukuna usiilaumu haijakomaa!jiulize mkao wako!mwanamke unakuna nazi miguu umebana kwa mbele unawaza itakunika!yani umenikera queli queli!

Hehehehr mwalimu wangu snowhite nakupendeaga hapo tu. "nazi ushondwe kuokua usingizie haijakomaa" lol
 
Last edited by a moderator:
Hehehehr mwalimu wangu snowhite nakupendeaga hapo tu. "nazi ushondwe kuokua usingizie haijakomaa" lol

ah babu we !nazi yakunika kwa kituo enh!ye ashindwe huko af atuletee mbofu mbofu hapa wakati watu twajibingirisha humo miaka nenda rudi!ala!
 
to me their my favorite
maisha sio ngono tu,kuna starehe nyingi
ngono inaaply kwa % chache
kuna starehe nyingi,kunywa mvinyo,kuwatch movie,kuchatchat nk
so kwangu mimi sijali kungonoka
i love u chagas

Navyoona amezungumzia MAPENZI na si KUNGONOKA.
Ulivyoviorodhesha vyote hapo vipo ndani ya MAPENZI ukiwa na MPENZIO.
 
Wamekuchapa wakakukimbia unalalamika kwenye mtandao jamani
embu malizaneni huko huko tukianza hapa nafikiri ni wasukuma tu ndio wataishia kujua sex kitandani
 
Acheni kukataa ukweli,wachaga hamana kitu kwenye mapenzi zaidi ya kupenda pesa kuliko utu,yuko ladhi akufanyie ukatili apate pesa.
 
to me their my favorite
maisha sio ngono tu,kuna starehe nyingi
ngono inaaply kwa % chache
kuna starehe nyingi,kunywa mvinyo,kuwatch movie,kuchatchat nk
so kwangu mimi sijali kungonoka
i love u chagas

You real make my day with your comment, tatizo linalosumbua vijana ni kuwaza mapenzi na kuipa ngono kipaumbele kuliko mambo mengine, to declare mimi ni mchaga na nimeoa mke mchaga sasa hapa nilitegemea kama wote washamba hata ndoa isingekuwepo ila tunafanya yoote ktk mapenzi. Pia asisahau chachu namba 1 ya mapenzi ni pesa na utundu, ujue mkeo au mmeo anahitaji out/kupendeza nk utumie pesa kumpa hitaji vp mapenzi hayatakoa? "Ngono ni sahemu ya mapenzi na siyo mapenzi yenyewe" bravo my sist
 
Back
Top Bottom