Wanaume wa JF mna shida gani?

Wanaume wa JF mna shida gani?

Thread za "Bwana Misosi nitoke viipi?"

Mtu anaandika kama wanawake ni malaika!
Kiukweli sijawahi kuona comments au threads zozote za wanawake zinazowatukana na zinazowadharau wanaume wote humu JF

Ila za wanaume zimejaa kibao kutwa utasikia wanawake wote ni malaya na wadangaji mara oohh hawa ni wa kupiga na kusepa au kuzalisha na kuacha tu
 
Aiseee

Naona umekua sexist!

Unashambulia wanaume as if hakuna wanawake wenye ujinga humu pia!

Interesting....
Kiukweli sijawahi kuona comments au threads zozote za wanawake zinazowatukana na zinazowadharau wanaume wote humu JF

Ila za wanaume zimejaa kibao kutwa utasikia wanawake wa siku hizi ni malaya na wadangaji mara oohh hawa ni wa kupiga na kusepa au kuzalisha na kuacha tu
 
Sawa kwani umesikia hapa ni mbinguni hakuna kutenda makosa tena huku utayatenda bila woga sawa mmama
 
Mkuu nakupongeza kwa uwezo mkubwa wa kuandika makala ndefu.

Lakini nasikitika tu kusema andiko lako limekaa kihisia zaidi na sio uhalisia.
Probably you are just relieving your stress. Let me not judge this deeply until u come up with crucial facts.
Na amekosea sana kuhitimisha kuwa ni wanaume ndiyo wanaofanya huo ujinga na kusahau humu kuna matumizi ya id fake..kiufupi andiko lake limejaa hisia kuliko uhalisia..
 
Kiukweli sijawahi kuona comments au threads zozote za wanawake zinazowatukana na zinazowadharau wanaume wote humu JF

Ila za wanaume zimejaa kibao kutwa utasikia wanawake wote ni malaya na wadangaji mara oohh hawa ni wa kupiga na kusepa au kuzalisha na kuacha tu
Wanawake wengi wanawapiga wanaume kwenye kudanga, huwezi kuona sana JF.

Kuna msemo wa Kiingereza "All is fair in love and war".

Wengine JF bila drama ni kama chipsi bila kachumbari.

Ukitaka kubadilisha JF ni vigumu kuliko kuchunga paka kama ng'ombe.

Pia, ni vizuri uka address specific examples, maana hapa bila specific examples utaweka mtego wa panya unaoshika mpaka panzi.

Naona umeshahukumu wanaume wote wenye app ya JF.

Wakati unaweza kukuta hata wahashamu na wahadhiri wenye staha zao wamo.

Ukiongelea mtu specific, kwa ushahidi specific, hata mimi naweza kukuunga mkono nikijiridhisha.

Ukitoa shutuma za jumla haisaidii, inatengeneza vita zaidi kati ya wanaume na wanawake, unakuwa kama unataka kuzima moto kwa kuumwagia petroli.
 
Mwanaume mwenye mapenzi ya dhati, muaminifu, anayetimiza wajibu wake na anayejali
OK ntaanza kozi kukujali na kuwa na mapenzi ya dhati na kutimiza wajibu wako afu ntakuja PM kukubembeleza ole wako uniletee shobo za gharamagharama ndo utanijua mimi ni nani.
 
Kwani binti shida Ni Nini haswa!!!ujue huwezi mbadili yoyote apa ndani na kwani wewe Ni Nani Hadi utafute kuheshimika kenge msitu wewe
Kwani wewe shida yako nini?
Malezi yako mabovu peleka stendi.
 
Unapokwenda msikitini au kanisani then mahubiri yakawa yanalenga kuacha wizi ilihalibwewe sio mwizi, huwa unamwambia shehe au mchungaji kwenda kuhubitia wezi pekee?

Pia soma uelewe, nimesema wapo wachache sana wenye unafuu.
Kwa nini ume generalize wanaume wote binti?
Ujue kila pahala pana njema na mbovu na huu ni mfumo wa kidunia ambao hauwezi kuubadili.

Ndiyo maana kuna usiku na mchana, mashariki na kinyume chake magharibi na mambo mengine yenye kufanana na hayo.
Kwa hiyo vyote hivyo vipo duniani kwa maana maalumu ya Mungu mwenyewe.

Hivyo unashauriwa kufuata jambo unaloliona linakufaa katika mustakabali wako na kuyaacha yasiyokufaa kimyakimya.

Uzi wako huu ulitakiwa um time mwanaume uliyemuona na huo udhaifu ndiyo umumwagie huo upupu wa kishenzi, ungelimfaa.

Lakini kwa watu tusiokuwa na makuu kwa watu wengine, tunaona kama umetutukana tusi halisi la nguoni.

Inaonekana wewe mwenyewe haujalelewa vyema na wazazi wako ama wewe ni mtoto wa mtaani usiye na malezi yoyote yenye maadili.

Katafakari upya kama ku generalize wanume wote kwa mapungufu ya baadhi ni ustaarabu.
 
Pole! Kuna vivulana vya face book vimevamia huku. Ila wanaume bado tupo. JF inazidi kupoteza sifa za uwepo wake imekuwa sio jukwaa huru. Ukiongea wasiyoyapenda wanakushambulia sio kwa hoja Bali matusi. Kuna haja yakutafuta mbadala wa JF. Kwa Sasa "linakuwa jukwaa la mambumbumbu sio tena jukwaa la wenye mawazo mbadala na jengefu"
Nashukuru kwa kunielewa, "mambumbumbu" yameshambulia kwa matusi kama kawaida yao.
 
Mkuu Jifunze kuandika kutumia Lugha moja!


Mkuu unasema wanaume wa JF sisi tuna elimu ndogo, ni kweli maana binafsi nimeishia la tano, lakini je wewe mwenye elimu kubwa umeandika nini? 'Atlest" ni nini? huko shule mnafundishwa ujinga? kama nyie wasomi mnaandika hivi je sisi ambao sio wasomi tutajutia kutokuwa wasomi?

Khan!
Hata la5 nafikiri ana uelewa zaidi yako.
Kusoma ni kuelewa.
 
Wale wale.
''hii inatupa picha wazazi watarajiwa kuwa makinisana na watu tunaotaka wawe baba wa watoto wetu'' wewe kama baba wa mtoto wako kama imeandikwa atakuwa mpumbavu ni mpumbavu tuu na wala usidhani wanawake wenzio ambao wamezaa na wanaume unaohisi walikosea unajidanganya na wao walikuwa kama wewe hivi hivi?? kitu kingine kinacholeta mambo kama hayo ni kuchagamsha jukwaa na wala sio real life ni kama instagram mtu ana azima gari kupigia picha.... tatu,,mtu analeta uzi anataka ushauri eti anasema nataka nimgegede ''mama mkwe' au ninataka kuzaa na mme wa mtu ila anahisi eti anamchezea ''halafu uanataka tumchekee lugha ngumu sometimes inafundisha afu inaonekana hujapita jeshini maana lugha ni hii na unatoka na adabu moja ya kufa mtu....bitch please
Possibly, kuna wanawake wanatamani kuwa wanaume...lakini kuwa mwanaume haimaanishi kuwa stiff all the time to what you're doing, ndio maana kuna jokes za apa na pale, hivyo mahali kama hapa ndio watu wanaona ni sehemu ya ku relax. Sio vyema kumlazimisha mtu awe kama unavyotaka, kila mtu ana life style yake na ana approach yake ya ku handle mambo yake. Otherwise, huyo bado binti na hawaelewi vyema wanaume walivyo.
Tatzo watu wanashindwa kuelewa kuwa watu waliopo huku jamii forum ndio wale wale tuliopo huku mtaani.
Yaan mnachulia kana kwamba waliopo humu ni cream tu

Palipo na wengi kuna mengi kwahyo humu kuna

waadilifu
waaminifu
waongo
masikini
matajiri
mabachela
wasiowaadilifu
wenye dharau
wenye heshima
wapiga kelele
wezi
watukanaji
wazinzi
matapeli
wanasiasa
single mazas
mabinti
mabachela
wake za watu
slay kwins
malaya
n.k
Dada hii JF ime include watu wa rika tofauti tofauti, nyadhifa tofauti tofauti, elimu tofauti tofauti, tamaduni tofauti tofauti, malezi tofauti tofauti n.k
Kwahiyo unaposema wanaume wa humu unakosea, labda useme baadhi ya wanaume wa humu.
Ujue humu kuna mawaziri, wabunge, wanasheria, maaskofu, wachungaji, mashekhee na watu wengine wengi ambao wanaaminiwa katika ambao pia ni wanaume na pia ni members katika hili jukwaa.
Pia tambua kuwa asilimia 90 ya members humu tunatumia ID fake, wapo wanaume wanaotumia majina ya kike na pia wapo wanawake wanaotumia majina ya kiume, hivyo kutambua jinsia ya mtu humu sio rahisi wakati mwingine.
Utofauti wa mwanaume na mwanamke ni jinsia tu katika hali ya kawaida, sio akili wala uelewa.
Ila kiimani kuna tofauti kubwa kati ya mwanamke na mwanaume. Kwasababu Mungu alimuumba mtu mmoja tu, ambaye ni Adam ambaye pia ni mwaume. Kutokana na Adam ndo akatolewa Eva/Hawa(ambaye ni mwanamke) katika ubavu wake.
Hivyo unapomtaja mwanaume uwe makini.
 
Back
Top Bottom