Wanaume wa JF mna shida gani?

Wanaume wa JF mna shida gani?

Haahaa dada haamini macho yake
Alitegemea watu watamwelewa lakin majibu aliyokutana nayo nyege zote kwishaaaaaa gademiti
 
kwani kina evelyn salt na Money Penny ni wanaume hao?? wapo kifungoni ebu jiulize wamefata nini huko rumande? endelea tu kudhani wanaume tu ndio wenye shombo..

Kuna wanawake physicaly nawajua na wana ID za kiume..wanashombo hata za samaki zina afadhali..we kaa ukituhukumu wanaume tuliojiweka wazi kua ni wanaume..Kuna watu humu wana jinsi mbili mbili,tukisemwa wanaume Anakaa kwa wanawake,wakisemwa wanawake anarudi kiumeni..

Asee member wa JF sio kama wa Insta au badooo...Lawama zako ziweke kwa wote usitaje JINSIA kabisa maana ukiweka jinsia basi usi include wote Mtaje muhusika wako unae mlenga ila kusema "wanaume wa jf" unakosea.

ukitaka kujua unakosea

Nitajie ID 10 ambazo huwajui kwa kuwaona Live(physicaly) ila umewajulia huku JF ambao wewe unasema ni WANAUME...ukiweza taja ID 10 za wanaume nakupa vocha ya 10,000.

Nataka tu ufahamu kuwa JF member wachache sana walio amua kujiweka live kuwa ni ME au KE...wengi wao wanacheza nafasi zote KE na ME.
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa huu mtandao not so long, mwanzoni sikuweza kujiunga kwasababu sikujua namna ya kufanya hivyo. Baadae nikikutana na mtu ambae pia ni mtumiaji wa huu mtandao ndio akanipa ABC's za namna ya kujiunga.

Nilikuwa naiona kwenye suggestions ninapogoogle jambo, nikavutiwa nao sana. Ila nikajikuta nakuwa msomaji tu na nilitamani sana kuwa mmoja wa members humu. Hatimae nikafanikiwa.
Nilijiunga na nikaendelea kuwa msomaji tu hadi hapo nilipoamua kuwa mchangiaji pia. Ila nilivutiwa sana na jukwaa la MMU na CC.

Kwa muda wote nimekuwa nikishindwa kuwaelewa members wa kiume wa humu ndani. Ni wako na tatizo gani? Ni malezi mabovu,stress,kukata tamaa,elimu duni(nieleweke sio ya darasani tu) au tatizo ni nini haswa?

Wengi wao sio wastaarabu kabisa, mtu aweza kuleta mada yake badala wachangie kwa hoja wao ni matusi tu na hii ni hata jukwaa la siasa ambapo ningetegemea kuwakuta wenye weledi na hoja madhubuti kama ilivyo sifa ya mtandao huu(home of great thinkers)
Kuna siku nilileta uzi nikashambuliwa sana kwa matusi, nasikitika niliwajibu kulingana na level yao ya thinking ila i was not proud of it at all.

Hivi nyie binadamu wenye kuitwa wanaume haswa wa humu ni kwasababu gani hamna maadili na hamjielewi?
Hii inatupatia picha wazazi watarajiwa kuwa makini sana na watu tunaotaka wawe baba wa watoto wetu, hivi kama baba wa familia anakosa maadili na upeo namna hii ataiongoza vipi familia yake?

Kuna wakati nikiona mwanaume ana app ya jf kwa simu yake namtafakari sana, namchukulia kitofauti kidogo. Nashukuru mdogo wangu sio member humu.
Wapo wachache atlest ukisoma unafarijika kuona kuwa angalau bado tuna akina baba bora kwenye jamii zetu. Tambueni nyie ni wachache kwa idadi duniani, kwahiyo mnapaswa mjitafakari sana je mnastahili kuitwa wanaume au ni viumbe wenye uume tu?

Kuitwa mwanaume tayari ni jukumu, hivyo tangu ukiwa mdogo unapaswa kukuzwa hivyo. Sasa kama mlipitia malezi mabovu kutoka kwa wazazi its about time dunia iwafunze.
Acheni kujisifia mambo ya kipumbavu, mna jukumu kubwa sana hapa duniani, kumbukeni mlipoteleza kisha mchukue hatua.

Ipeni JF heshima yake kama ilivyo kauli mbiu yake.
Pole sana Dada. Umetongozwa alafu jamaa akasepa?
 
29297.jpg


Baeleze baelewe
 
Why do u bother about them?
Wewe haujawahi kunikuta nabishana na baadhi yao yaani wana mawazo ya ajabu juu ya wanawake na wanaonyesha kabisa kuwa ndivyo walivyo hata kwenye maisha halisi
 
Umejuaje hao wanaokudisappoint ni wanaume wakati wanatumia id fake?

BTW usione watu wanachangia kwa mizaha/matusi ukadhani ndio walivyo hivyo pia kwenye real life, noo. Sometimes wanafanya ivo kuchangamsha jukwaa tuu.

Mwenye tatizo ni ww unayedhani ndivyo walivyo hadi kwenye real life.
huyu Uvelia haijui JF ndo kwanzaa ametumbukiamo humu juzu tu. wacha achemke ndo ataijua vizuri. huu mchezo hautaki mihasira yeye anadhani ni sawa na kule INSTA au TWIT alikojifunzia mitandao
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa huu mtandao not so long, mwanzoni sikuweza kujiunga kwasababu sikujua namna ya kufanya hivyo. Baadae nikikutana na mtu ambae pia ni mtumiaji wa huu mtandao ndio akanipa ABC's za namna ya kujiunga.

Nilikuwa naiona kwenye suggestions ninapogoogle jambo, nikavutiwa nao sana. Ila nikajikuta nakuwa msomaji tu na nilitamani sana kuwa mmoja wa members humu. Hatimae nikafanikiwa.
Nilijiunga na nikaendelea kuwa msomaji tu hadi hapo nilipoamua kuwa mchangiaji pia. Ila nilivutiwa sana na jukwaa la MMU na CC.

Kwa muda wote nimekuwa nikishindwa kuwaelewa members wa kiume wa humu ndani. Ni wako na tatizo gani? Ni malezi mabovu,stress,kukata tamaa,elimu duni(nieleweke sio ya darasani tu) au tatizo ni nini haswa?

Wengi wao sio wastaarabu kabisa, mtu aweza kuleta mada yake badala wachangie kwa hoja wao ni matusi tu na hii ni hata jukwaa la siasa ambapo ningetegemea kuwakuta wenye weledi na hoja madhubuti kama ilivyo sifa ya mtandao huu(home of great thinkers)
Kuna siku nilileta uzi nikashambuliwa sana kwa matusi, nasikitika niliwajibu kulingana na level yao ya thinking ila i was not proud of it at all.

Hivi nyie binadamu wenye kuitwa wanaume haswa wa humu ni kwasababu gani hamna maadili na hamjielewi?
Hii inatupatia picha wazazi watarajiwa kuwa makini sana na watu tunaotaka wawe baba wa watoto wetu, hivi kama baba wa familia anakosa maadili na upeo namna hii ataiongoza vipi familia yake?

Kuna wakati nikiona mwanaume ana app ya jf kwa simu yake namtafakari sana, namchukulia kitofauti kidogo. Nashukuru mdogo wangu sio member humu.
Wapo wachache atlest ukisoma unafarijika kuona kuwa angalau bado tuna akina baba bora kwenye jamii zetu. Tambueni nyie ni wachache kwa idadi duniani, kwahiyo mnapaswa mjitafakari sana je mnastahili kuitwa wanaume au ni viumbe wenye uume tu?

Kuitwa mwanaume tayari ni jukumu, hivyo tangu ukiwa mdogo unapaswa kukuzwa hivyo. Sasa kama mlipitia malezi mabovu kutoka kwa wazazi its about time dunia iwafunze.
Acheni kujisifia mambo ya kipumbavu, mna jukumu kubwa sana hapa duniani, kumbukeni mlipoteleza kisha mchukue hatua.

Ipeni JF heshima yake kama ilivyo kauli mbiu yake.

Aiseee

Naona umekua sexist!

Unashambulia wanaume as if hakuna wanawake wenye ujinga humu pia!

Interesting....
 
Back
Top Bottom