Wanaume wa JF mna shida gani?

Wanaume wa JF mna shida gani?

Nimekuwa mfuatiliaji wa huu mtandao not so long, mwanzoni sikuweza kujiunga kwasababu sikujua namna ya kufanya hivyo. Baadae nikikutana na mtu ambae pia ni mtumiaji wa huu mtandao ndio akanipa ABC's za namna ya kujiunga.

Nilikuwa naiona kwenye suggestions ninapogoogle jambo, nikavutiwa nao sana. Ila nikajikuta nakuwa msomaji tu na nilitamani sana kuwa mmoja wa members humu. Hatimae nikafanikiwa.
Nilijiunga na nikaendelea kuwa msomaji tu hadi hapo nilipoamua kuwa mchangiaji pia. Ila nilivutiwa sana na jukwaa la MMU na CC.

Kwa muda wote nimekuwa nikishindwa kuwaelewa members wa kiume wa humu ndani. Ni wako na tatizo gani? Ni malezi mabovu,stress,kukata tamaa,elimu duni(nieleweke sio ya darasani tu) au tatizo ni nini haswa?

Wengi wao sio wastaarabu kabisa, mtu aweza kuleta mada yake badala wachangie kwa hoja wao ni matusi tu na hii ni hata jukwaa la siasa ambapo ningetegemea kuwakuta wenye weledi na hoja madhubuti kama ilivyo sifa ya mtandao huu(home of great thinkers)
Kuna siku nilileta uzi nikashambuliwa sana kwa matusi, nasikitika niliwajibu kulingana na level yao ya thinking ila i was not proud of it at all.

Hivi nyie binadamu wenye kuitwa wanaume haswa wa humu ni kwasababu gani hamna maadili na hamjielewi?
Hii inatupatia picha wazazi watarajiwa kuwa makini sana na watu tunaotaka wawe baba wa watoto wetu, hivi kama baba wa familia anakosa maadili na upeo namna hii ataiongoza vipi familia yake?

Kuna wakati nikiona mwanaume ana app ya jf kwa simu yake namtafakari sana, namchukulia kitofauti kidogo. Nashukuru mdogo wangu sio member humu.
Wapo wachache atlest ukisoma unafarijika kuona kuwa angalau bado tuna akina baba bora kwenye jamii zetu. Tambueni nyie ni wachache kwa idadi duniani, kwahiyo mnapaswa mjitafakari sana je mnastahili kuitwa wanaume au ni viumbe wenye uume tu?

Kuitwa mwanaume tayari ni jukumu, hivyo tangu ukiwa mdogo unapaswa kukuzwa hivyo. Sasa kama mlipitia malezi mabovu kutoka kwa wazazi its about time dunia iwafunze.
Acheni kujisifia mambo ya kipumbavu, mna jukumu kubwa sana hapa duniani, kumbukeni mlipoteleza kisha mchukue hatua.

Ipeni JF heshima yake kama ilivyo kauli mbiu yake.


Dada hii JF ime include watu wa rika tofauti tofauti, nyadhifa tofauti tofauti, elimu tofauti tofauti, tamaduni tofauti tofauti, malezi tofauti tofauti n.k
Kwahiyo unaposema wanaume wa humu unakosea, labda useme baadhi ya wanaume wa humu.
Ujue humu kuna mawaziri, wabunge, wanasheria, maaskofu, wachungaji, mashekhee na watu wengine wengi ambao wanaaminiwa katika ambao pia ni wanaume na pia ni members katika hili jukwaa.
Pia tambua kuwa asilimia 90 ya members humu tunatumia ID fake, wapo wanaume wanaotumia majina ya kike na pia wapo wanawake wanaotumia majina ya kiume, hivyo kutambua jinsia ya mtu humu sio rahisi wakati mwingine.
Utofauti wa mwanaume na mwanamke ni jinsia tu katika hali ya kawaida, sio akili wala uelewa.
Ila kiimani kuna tofauti kubwa kati ya mwanamke na mwanaume. Kwasababu Mungu alimuumba mtu mmoja tu, ambaye ni Adam ambaye pia ni mwaume. Kutokana na Adam ndo akatolewa Eva/Hawa(ambaye ni mwanamke) katika ubavu wake.
Hivyo unapomtaja mwanaume uwe makini.
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa huu mtandao not so long, mwanzoni sikuweza kujiunga kwasababu sikujua namna ya kufanya hivyo. Baadae nikikutana na mtu ambae pia ni mtumiaji wa huu mtandao ndio akanipa ABC's za namna ya kujiunga.

Nilikuwa naiona kwenye suggestions ninapogoogle jambo, nikavutiwa nao sana. Ila nikajikuta nakuwa msomaji tu na nilitamani sana kuwa mmoja wa members humu. Hatimae nikafanikiwa.
Nilijiunga na nikaendelea kuwa msomaji tu hadi hapo nilipoamua kuwa mchangiaji pia. Ila nilivutiwa sana na jukwaa la MMU na CC.

Kwa muda wote nimekuwa nikishindwa kuwaelewa members wa kiume wa humu ndani. Ni wako na tatizo gani? Ni malezi mabovu,stress,kukata tamaa,elimu duni(nieleweke sio ya darasani tu) au tatizo ni nini haswa?

Wengi wao sio wastaarabu kabisa, mtu aweza kuleta mada yake badala wachangie kwa hoja wao ni matusi tu na hii ni hata jukwaa la siasa ambapo ningetegemea kuwakuta wenye weledi na hoja madhubuti kama ilivyo sifa ya mtandao huu(home of great thinkers)
Kuna siku nilileta uzi nikashambuliwa sana kwa matusi, nasikitika niliwajibu kulingana na level yao ya thinking ila i was not proud of it at all.

Hivi nyie binadamu wenye kuitwa wanaume haswa wa humu ni kwasababu gani hamna maadili na hamjielewi?
Hii inatupatia picha wazazi watarajiwa kuwa makini sana na watu tunaotaka wawe baba wa watoto wetu, hivi kama baba wa familia anakosa maadili na upeo namna hii ataiongoza vipi familia yake?

Kuna wakati nikiona mwanaume ana app ya jf kwa simu yake namtafakari sana, namchukulia kitofauti kidogo. Nashukuru mdogo wangu sio member humu.
Wapo wachache atlest ukisoma unafarijika kuona kuwa angalau bado tuna akina baba bora kwenye jamii zetu. Tambueni nyie ni wachache kwa idadi duniani, kwahiyo mnapaswa mjitafakari sana je mnastahili kuitwa wanaume au ni viumbe wenye uume tu?

Kuitwa mwanaume tayari ni jukumu, hivyo tangu ukiwa mdogo unapaswa kukuzwa hivyo. Sasa kama mlipitia malezi mabovu kutoka kwa wazazi its about time dunia iwafunze.
Acheni kujisifia mambo ya kipumbavu, mna jukumu kubwa sana hapa duniani, kumbukeni mlipoteleza kisha mchukue hatua.

Ipeni JF heshima yake kama ilivyo kauli mbiu yake.

Are you single??? I wanna marry you!
 
Uvelia relax, don't take JF too serious. It's not as you think.
And this is exactky what i am talking about.
Id na avata zaweza kuwa fake lakini anayecomment ni binadamu sio kuku.
Mtu huwa halisi sana anapohisi hakuna anayemfahamu, utajiuliza what if alichoandika ni uongo? Then jibu ni ameandika fantancy ya vile anatamani kuwa(hii ni kwa wale wanaofake maisha mitandaoni) hivyo hiyo bado haiondoi uhalisia wake.
 
Mimi nimegundua wengi ndivyo walivyo bwana
Umejuaje hao wanaokudisappoint ni wanaume wakati wanatumia id fake?

BTW usione watu wanachangia kwa mizaha/matusi ukadhani ndio walivyo hivyo pia kwenye real life, noo. Sometimes wanafanya ivo kuchangamsha jukwaa tuu.

Mwenye tatizo ni ww unayedhani ndivyo walivyo hadi kwenye real life.
 
Nadhani kila mwanaume aliekamilika idara zotee kuna mwanamke shupavu nyuma yakee

Nadhan sababu piaa ni aina ya wanawake walio nyuma yetuu
Ninyi si ndiyo mnajisifiaga mnasema mwanaume anayejitambua hasubiri kukamilishwa na mwanamke anajikamilisha mwenyewe? Mbona mambo yenu yakienda kombo lawama kwa wanawake tena?
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa huu mtandao not so long, mwanzoni sikuweza kujiunga kwasababu sikujua namna ya kufanya hivyo. Baadae nikikutana na mtu ambae pia ni mtumiaji wa huu mtandao ndio akanipa ABC's za namna ya kujiunga.

Nilikuwa naiona kwenye suggestions ninapogoogle jambo, nikavutiwa nao sana. Ila nikajikuta nakuwa msomaji tu na nilitamani sana kuwa mmoja wa members humu. Hatimae nikafanikiwa.
Nilijiunga na nikaendelea kuwa msomaji tu hadi hapo nilipoamua kuwa mchangiaji pia. Ila nilivutiwa sana na jukwaa la MMU na CC.

Kwa muda wote nimekuwa nikishindwa kuwaelewa members wa kiume wa humu ndani. Ni wako na tatizo gani? Ni malezi mabovu,stress,kukata tamaa,elimu duni(nieleweke sio ya darasani tu) au tatizo ni nini haswa?

Wengi wao sio wastaarabu kabisa, mtu aweza kuleta mada yake badala wachangie kwa hoja wao ni matusi tu na hii ni hata jukwaa la siasa ambapo ningetegemea kuwakuta wenye weledi na hoja madhubuti kama ilivyo sifa ya mtandao huu(home of great thinkers)
Kuna siku nilileta uzi nikashambuliwa sana kwa matusi, nasikitika niliwajibu kulingana na level yao ya thinking ila i was not proud of it at all.

Hivi nyie binadamu wenye kuitwa wanaume haswa wa humu ni kwasababu gani hamna maadili na hamjielewi?
Hii inatupatia picha wazazi watarajiwa kuwa makini sana na watu tunaotaka wawe baba wa watoto wetu, hivi kama baba wa familia anakosa maadili na upeo namna hii ataiongoza vipi familia yake?

Kuna wakati nikiona mwanaume ana app ya jf kwa simu yake namtafakari sana, namchukulia kitofauti kidogo. Nashukuru mdogo wangu sio member humu.
Wapo wachache atlest ukisoma unafarijika kuona kuwa angalau bado tuna akina baba bora kwenye jamii zetu. Tambueni nyie ni wachache kwa idadi duniani, kwahiyo mnapaswa mjitafakari sana je mnastahili kuitwa wanaume au ni viumbe wenye uume tu?

Kuitwa mwanaume tayari ni jukumu, hivyo tangu ukiwa mdogo unapaswa kukuzwa hivyo. Sasa kama mlipitia malezi mabovu kutoka kwa wazazi its about time dunia iwafunze.
Acheni kujisifia mambo ya kipumbavu, mna jukumu kubwa sana hapa duniani, kumbukeni mlipoteleza kisha mchukue hatua.

Ipeni JF heshima yake kama ilivyo kauli mbiu yake.
Umekosea heshima wanaume wa JF

Ku generalize inaonesha na wewe pia hujielewi, kukoseana na wanaume wawili watatu humu isiwe sababu ya kuwasema wanaume vibaya

Pia elewa kwamba wanaume waliopo umu ndio wanaume waliopo mtaani, pengine hata baba yako pia yupo humu

Mwisho ombi lako linaendelea kufanyiwa kazi (umegusia swala la kupata na baba watarajiwa wa watoto wako), be patient utapata hitaji la moyo wako.
 
Unachotakiwa kufahamu kama unatumia ID fake, ata mawazo au ushauri unaweza kuwa fake;kwa hiyo mawazo ya wachangiaji unaweza kuyachukulia siriazi au kuyapuuzia ili maisha yaendelee.
Oohh kwahiyo kwa wanaume tu huwa ndiyo iko hivyo ila kwa wanawake huwa mnalazimisha kuwa tuna stress kutokana na hizi hizi comments zetu za humu siyo?
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa huu mtandao not so long, mwanzoni sikuweza kujiunga kwasababu sikujua namna ya kufanya hivyo. Baadae nikikutana na mtu ambae pia ni mtumiaji wa huu mtandao ndio akanipa ABC's za namna ya kujiunga.

Nilikuwa naiona kwenye suggestions ninapogoogle jambo, nikavutiwa nao sana. Ila nikajikuta nakuwa msomaji tu na nilitamani sana kuwa mmoja wa members humu. Hatimae nikafanikiwa.
Nilijiunga na nikaendelea kuwa msomaji tu hadi hapo nilipoamua kuwa mchangiaji pia. Ila nilivutiwa sana na jukwaa la MMU na CC.

Kwa muda wote nimekuwa nikishindwa kuwaelewa members wa kiume wa humu ndani. Ni wako na tatizo gani? Ni malezi mabovu,stress,kukata tamaa,elimu duni(nieleweke sio ya darasani tu) au tatizo ni nini haswa?

Wengi wao sio wastaarabu kabisa, mtu aweza kuleta mada yake badala wachangie kwa hoja wao ni matusi tu na hii ni hata jukwaa la siasa ambapo ningetegemea kuwakuta wenye weledi na hoja madhubuti kama ilivyo sifa ya mtandao huu(home of great thinkers)
Kuna siku nilileta uzi nikashambuliwa sana kwa matusi, nasikitika niliwajibu kulingana na level yao ya thinking ila i was not proud of it at all.

Hivi nyie binadamu wenye kuitwa wanaume haswa wa humu ni kwasababu gani hamna maadili na hamjielewi?
Hii inatupatia picha wazazi watarajiwa kuwa makini sana na watu tunaotaka wawe baba wa watoto wetu, hivi kama baba wa familia anakosa maadili na upeo namna hii ataiongoza vipi familia yake?

Kuna wakati nikiona mwanaume ana app ya jf kwa simu yake namtafakari sana, namchukulia kitofauti kidogo. Nashukuru mdogo wangu sio member humu.
Wapo wachache atlest ukisoma unafarijika kuona kuwa angalau bado tuna akina baba bora kwenye jamii zetu. Tambueni nyie ni wachache kwa idadi duniani, kwahiyo mnapaswa mjitafakari sana je mnastahili kuitwa wanaume au ni viumbe wenye uume tu?

Kuitwa mwanaume tayari ni jukumu, hivyo tangu ukiwa mdogo unapaswa kukuzwa hivyo. Sasa kama mlipitia malezi mabovu kutoka kwa wazazi its about time dunia iwafunze.
Acheni kujisifia mambo ya kipumbavu, mna jukumu kubwa sana hapa duniani, kumbukeni mlipoteleza kisha mchukue hatua.

Ipeni JF heshima yake kama ilivyo kauli mbiu yake.
Vizuri,nadhani ujumbe umefika Kwa wenye tabia hiyo,ifike wakati ustaarabu utawale jamani
 
Naangalia na hadhi ya mwanaume ninayetakiwa kumpa sigawi hovyo tu siyo karanga hizi

NB: mimi ni mtu mzima, nimekwambia tu ili usije ukaniuliza nina miaka mingapi au ukasema naongea hivi kwa sababu sijafikia umri wa kuolewa nimeshaufikia tena nimeshaupita kabisa ila bado siyo sababu ya mimi kumkubalia mwanaume yeyote tu anayenitongoza
Mariana naomba mwili ka utaki kunipa papa yako italiwa na wadudu siku ukifa unachonidengulia ni nini.
 
Naangalia na hadhi ya mwanaume ninayetakiwa kumpa sigawi hovyo tu siyo karanga hizi
NB: mimi ni mtu mzima, nimekwambia tu ili usije ukaniuliza nina miaka mingapi au ukasema naongea hivi kwa sababu sijafikia umri wa kuolewa nimeshaufikia tena nimeshaupita kabisa ila bado siyo sababu ya mimi kumkubalia mwanaume yeyote tu anayenitongoza
Wa hadhi yako anakukupanda kwa maneno gani au kwa shingapi
 
Back
Top Bottom