Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Wapenzi wa jf muda muafa kuhimizana kuwa na wenza wetu jamaninajua kuna wengi wanashida na kuogopa kuoa kuhisi kuongeza matatizo la hasha ndoa ni njema na baraka usiogope majaribu hata yesu alijaribiwa..je wewe nasema wewe unaesoma unaoa lini...embu jitahdi kuwa na mwenzako mpendwa...achana na vikaragosi wa kwenye bar vile vijimambp vya pale makumbusho embu fikiria muda muafaka wa kuwa na familia na watoto...usiogope ndoa na majaribu yameumbwa kwa kila mtu kama wale waendao jela bila makosaFANYA UAMUZI WAKO SASA....TAFUTA MCHUMBA