Wanaume wa jf manaoa lini?

Chakubanga aliulizwa enzi hizo gazeti ni la Chama tawala tu, eti wewe unaionaje ndoa? akajibu kuwa 'ndoa ni kama ngome alioko ndani anataka kutoka, alioko nje anataka kuingia,' imekaaje hii? :shock::shock::shock::shock::shock::shock::shock::shock:
 
Ndoa .............ndoano......................... haionjwi kAMA asali vile baba, usidanganyike, jiandae kabsaaaaaa
 
Huyu nae aliingia kwene ndoa kwa kufuata maelekezo yasiyo sahihi Public Notice.JPG

Saa hizi anajuuuta kuoa, kidada chukueni ujuzi huo, ntawasaidia how to publish them na kuficha ID zenu.
 
Back
Top Bottom