Wanaume wa Jf "hala hala na mke wangu

Wanaume wa Jf "hala hala na mke wangu

Hahaa ..kwamba mnajua kuwa mliniuzia kanya Boya.. Aisee mahari yangu muirejeshe tafadhali ..kile kiwango cha mahari ..ningeamua kununua ng'ombe wa maziwa sasa hivi ningekuwa na ng'ombe wengi wakutosha tu
tulivyokwambia ng`ombe 45 haukuona RED FLAG?
huo ni ujinga wako mwenyewe!!!
 
Kigezo mojawapo hicho
Hahaa kwamba ..wanaofikwa na mabalaa huwa wanakuja na fk I'd humu ndio huwa wanazitumia kutapika nyongo.... Huku wakiziacha salama I'd zao zilizo zoeleka...
 
Hahaa kwamba ..wanaofikwa na mabalaa huwa wanakuja na fk I'd humu ndio huwa wanazitumia kutapika nyongo.... Huku wakiziacha salama I'd zao zilizo zoeleka...
[emoji3][emoji3][emoji3]
Ndio hivyo mkuu
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
Ndio hivyo mkuu
Hahaha jf raha ... Hata Mimi nikifikwa kweli na majanga "kama nataka kuyatapika ..katu siwezi kuja kuya wasilisha kwa kutumia I'd hii ..hahaha
 
Hahaha jf raha ... Hata Mimi nikifikwa kweli na majanga "kama nataka kuyatapika ..katu siwezi kuja kuya wasilisha kwa kutumia I'd hii ..hahaha
Ukija na ID mpya kutema nyongo usiache kunitag [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Asante mkuu mana nilikula BAN ya milele,kila nikitaka kuja na new id naona jamaa hawanikubalii,sijui walipiga ban mpaka email yangu,nikaona sio kesi nikafungua email account ingine na sasa nipo mjengoni.

Asante sana.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Karibu sana mkuu

Cc hearly
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Karibu sana mkuu

Cc hearly
Hahaha mkuu Ina maana kile tulichokuwa tunakiongea ...kimejiri mapema yote hii ...

Enhee huyu nae ni nani mbona bado sijamtambua Aise
 
Asante mkuu mana nilikula BAN ya milele,kila nikitaka kuja na new id naona jamaa hawanikubalii,sijui walipiga ban mpaka email yangu,nikaona sio kesi nikafungua email account ingine na sasa nipo mjengoni.

Asante sana.
Hahaha Aisee .....dah
 
Asante mkuu mana nilikula BAN ya milele,kila nikitaka kuja na new id naona jamaa hawanikubalii,sijui walipiga ban mpaka email yangu,nikaona sio kesi nikafungua email account ingine na sasa nipo mjengoni.

Asante sana.
Uliwafanya nini mods aise ..sababu ya kupigwa ban ya karne ni ipi !?
 
Asante mkuu mana nilikula BAN ya milele,kila nikitaka kuja na new id naona jamaa hawanikubalii,sijui walipiga ban mpaka email yangu,nikaona sio kesi nikafungua email account ingine na sasa nipo mjengoni.

Asante sana.
Ongeza email zaidi upanuwe wigo.

Fungua email ya Gmail, Yahoo, Outlook, hotmail, mail.com, n.k
 
Back
Top Bottom