Wanaume wa Jf "hala hala na mke wangu

Wanaume wa Jf "hala hala na mke wangu

Haha shape ya ngamia tena ...ndio ikoje hiyo ...hebu weka picha hapa....nikilielewa basi kesho mapama tu nakutafuta
images.jpg
 
Hiyo ndio design yake mkuu nimeogopa mazingira ya kwangu privacy
Hahaa sawa ... Ungeniambia tu nitoe kufuli pm then unitumie ....kisha nirejeshe kufuli langu
 
Nilikiwa nusura nikuulize juu ya siku hiyo ya tatu.. na pia ningeuliza mpo upande ule wa dunia au? Na ushosti simu mmmh wasiwasi wako kupigiwa lazima uwepo palipo wa JF wengi

Mara paap nikaruka kusoma mwishoni nikasema bora umejiwahi.. bai bai
 
Nilikiwa nusura nikuulize juu ya siku hiyo ya tatu.. na pia ningeuliza mpo upande ule wa dunia au? Na ushosti simu mmmh wasiwasi wako kupigiwa lazima uwepo palipo wa JF wengi

Mara paap nikaruka kusoma mwishoni nikasema bora umejiwahi.. bai bai
Haya bwana
 
Back
Top Bottom