Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,175
KhaahNazingua tu!
Auntie yako asije akanisikia!wakati mambo yameanza kunoga!
We mdaka chozi wa auntie mbona unataka kumchanganya auntie yetu sasa na wengine
KhaahNazingua tu!
Auntie yako asije akanisikia!wakati mambo yameanza kunoga!
hiyo ni aibu yako mkuu, hiyo siri unatakiwa kuwa nayo mpaka unakufa...au unamuacha kimyakimyaHapana nawapa evidence ...halafu nakata shauri la kuachana nae .... Nia thabiti nikutaka wao wajue kwamba waliniuzia mbuzi kwa gunia
Hakuna kitu kama hicho. Kama kuna tatizo napiga chini navuta mwingine. Sitishiwi nyau mie.Mimi nakwambia mkuu ...ohooo usije kusema kwamba hatuku kuonya
Habari imejieleza yenyewe
Siwezi kumchanganya!Khaah
We mdaka chozi wa auntie mbona unataka kumchanganya auntie yetu sasa na wengine
Katika orodha ya Ke niliowahi/ninaochat nao PM, sidhani kama ungeninasa.M
My ribs ... Kwanini ulihisi kahawa wewe mzee ... Tuanzie hapo kwanza ...
Naona ulikuwa umeshajiandaa ku-logout nakuitelekeza I'd yako ... What if ungekuta umetajwa kwenye Uzi kuwa unamnyapia wife !?
Hahaha siri yangu !!!? Aah wapi ... Siwezi kuwaelezea watu baki kilichojiri ..but kwao lazima wafahamu ukweli... Ni kwao tu wakishajua basi naamua kukaa kimyahiyo ni aibu yako mkuu, hiyo siri unatakiwa kuwa nayo mpaka unakufa...au unamuacha kimyakimya
na harusi ulivyoifanya kwa mbwembe,,,tutadai michango yetu uliyotuchangisha whatsapp hakuna namna...
Ahaaaa.Hahaha
Siyo mimi Mkuu!
Mi niliipenda nikaichukua kwake!
Kuassume ni muhimu sana mkuu.G
Geeezzz
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Alaaa ... Now you're talking .. Kwakuwa nimesema hii ni chai ehh !!? Sawa mkuu wee tamba tu
Sema kweli jamani mdaka chozi wa auntieSiwezi kumchanganya!
Ndio maana nikasema nazingua,pale nimefika kabisa
hahaha sisi kama familia ukweli tunaujua toka siku nyingi,,,,kwa hiyo kaeni chini muongee wenyewe,,Hahaha siri yangu !!!? Aah wapi ... Siwezi kuwaelezea watu baki kilichojiri ..but kwao lazima wafahamu ukweli... Ni kwao tu wakishajua basi naamua kukaa kimya
Wapo wengi hawa shekhe, hata kama tukichukua wanne wanne basi bado hatuwamaliziHahaa sawa .. Hivyo ndio mwanaume anavyopaswa kuwa
Hahaa ..kwamba mnajua kuwa mliniuzia kanya Boya.. Aisee mahari yangu muirejeshe tafadhali ..kile kiwango cha mahari ..ningeamua kununua ng'ombe wa maziwa sasa hivi ningekuwa na ng'ombe wengi wakutosha tuhahaha sisi kama familia ukweli tunaujua toka siku nyingi,,,,kwa hiyo kaeni chini muongee wenyewe,,
sisi haituhusu,!!!
Yeah ni kweli... Nadhani ulianza kuhisi kuwa ni chai .. Kwa sababu ya I'd yenyewe ambayo imepost hii habariKuassume ni muhimu sana mkuu.
Kuna vitu vingine bila kuvi assume ni vigumu kuvifanya.
Nilipogesi ndio nikawa nasubiri confirmation ambayo nimeipata mwishoni mwa stori