google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,667
- 13,872
hahaha,nilivyoona anamsemea kwa wazazi wake,sifa zote nzuri za ,wanaume wa dar ndio zilikuwa zinafuata,,,,Ulitaka ku- reply maneno yapi mkuu ?
Toka mwanzo nilipoanza kuisoma nilijua ni khahawa ya Rubusta ya kupeperushia usingizi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ila nilianza kuhisi ni chai baada ya kufika ile part ya kulia chooni nikasema anyways ngoja nimalizie
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3] kwamba unamjua hearly mzee wa chai sioToka mwanzo nilipoanza kuisoma nilijua ni khahawa ya Rubusta ya kupeperushi usingizi
Yupi huyo auntie yangu au mwingineNilishtuka sana Mkuu,maana kuna mke wa mtu huko pm tumefikia pazuri!
My ribs ... Kwanini ulihisi kahawa wewe mzee ... Tuanzie hapo kwanza ...Toka mwanzo nilipoanza kuisoma nilijua ni khahawa ya Rubusta ya kupeperushi usingizi
hahaha sasa unashtaki unadhani watakurudishia mahari!!!!Hahaha pumbavu zako... Wewe ulitaka nianze kumuangushia makonde !?
Hata siku mojaHahaha usije kumeza sumu tu ... Please don't try this at home
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nilishtuka sana Mkuu,maana kuna mke wa mtu huko pm tumefikia pazuri!
Hahaha hana lolote huyo... Wajua alikuwa anasoma huu Uzi huku anachungulia chungulia kama jina lake lipo au halipo katika wale wanaume niliotaka kuwataja kuwa wanatoka na wife ... Baada ya kuona kuwa sijataja majina ndio kapata nguvu ya kuja hapa
Nazingua tu!Yupi huyo auntie yangu au mwingine
Hahaha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Halafu avatar yako inafanana na jamaa anajiita Kigogo kule Twitter, sijui itakuwa ni wewe?[emoji85][emoji85]