Wanaume uwezo umeshuka?

Wanaume uwezo umeshuka?

jaman mbona mnawalaumu tu wanaume, yawezekana wanawake wa siku hiz ni wagumu na hisia zao ziko mbali sana mpaka uwanywee pombe au gym ndo uweze kuwaridhisha.
 
Dah tatizo lipo kwe2 sote. wajua pale mahali hapana sugu hata kidogo shida inakuwa wadada hawajui kutawala jukwaa wala hawajielewi wako wapi na wanataka nini. utakuta kwenye primech dakika 3tu anataka mrukiane wakati hajavutika vizuri zamani wazee walikuwa wanajijua na walikuwa wataalam kinoma. kama mnamabib au mababu wachombezeni kwa maneno matamu watakupeni michapo. na shida madadazetu hawajui kujipimia kama wangeweza hili wala wasingekuwa wanakomolewa. na

pili ku-do ktk ulimwengu we2 2nafanya kama kukomoana na sio starehe kama walivyo kuwa wakifanya wazee we2
 
Dah tatizo lipo kwe2 sote. wajua pale mahali hapana sugu hata kidogo shida inakuwa wadada hawajui kutawala jukwaa wala hawajielewi wako wapi na wanataka nini. utakuta kwenye primech dakika 3tu anataka mrukiane wakati hajavutika vizuri zamani wazee walikuwa wanajijua na walikuwa wataalam kinoma. kama mnamabib au mababu wachombezeni kwa maneno matamu watakupeni michapo. na shida madadazetu hawajui kujipimia kama wangeweza hili wala wasingekuwa wanakomolewa. na

pili ku-do ktk ulimwengu we2 2nafanya kama kukomoana na sio starehe kama walivyo kuwa wakifanya wazee we2

Mkuu mimi nadhani matatizo makubwa yanayofanya watu waangaike na ma-booster ni
1) Kuwahi kufika kileleni (2-3min)
2) baada ya hizo dakika 2-3 shughuli ndio imeisha tena mpaka siku nyingine

sasa kuepuka hiyo fedhea, lazima mtu ajenge heshima kupitia hivyo vi booster kamakweli vinafanya kazi
 
Mkuu mimi nadhani matatizo makubwa yanayofanya watu waangaike na ma-booster ni<br />
1) Kuwahi kufika kileleni (2-3min)<br />
2) baada ya hizo dakika 2-3 shughuli ndio imeisha tena mpaka siku nyingine<br />
<br />
sasa kuepuka hiyo fedhea, lazima mtu ajenge heshima kupitia hivyo vi booster kamakweli vinafanya kazi
<br />
<br />
Nimekupata kama ndivyo hivyo pole kwa vijana wenze2. ila minaona bora wangejipa mazoezi ya kujilazimisha coz kile ki2 kinataka uwongee na mwili pamoja na moyo. if wana2mia kwa minajili hiyo ohk sio mbaya sana japo mbaya maana umri unasogea haurudi nyuma.
 
Mkuu mimi nadhani matatizo makubwa yanayofanya watu waangaike na ma-booster ni
1) Kuwahi kufika kileleni (2-3min)
2) baada ya hizo dakika 2-3 shughuli ndio imeisha tena mpaka siku nyingine

sasa kuepuka hiyo fedhea, lazima mtu ajenge heshima kupitia hivyo vi booster kamakweli vinafanya kazi

Pole kwa hili tatizo, Lakini si wanaume wote. Yawezekana mpo wachache tu.
Dakika 2-3 Chache sana.
 
kwani ni mimi? Mimi hayo mambo sijui nyie na waganga wenu maana yaani hiyo ni biashara kuu sasa kama vocha vile wateja wa kumwaga

tatizo lako hujawahi kufikishwa kileleni na kama una jamaa yako ni sharobaro full dakika tatu hoi
ukweli halisi ni kuwa hakuna kitu kizuri kama mazoezi na kutumia vyakula natural sio hayo mavyakula ya supermarket
haya ya asili yanakufanya unakuwa strong sana
hayo mavaluer na konyagi ni ya muda tuu kama mtu amekula viagra ila mazoezi na aina ya msosi unaokula ni tiba tosha
 
hamna mahali imeelezwa hizo pombe na ulivyovitaja vinaboost sex drive,ama uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa mwanaume...ni imani tu au ni katika jitihada za kuondoa aibu wakati wa kudo.


Myths at work.......watanzania tunapenda sana kutegemea elimu za mitaani zisizo na uthibitisho wowote!
 
Mkuu mimi nadhani matatizo makubwa yanayofanya watu waangaike na ma-booster ni
1) Kuwahi kufika kileleni (2-3min)
2) baada ya hizo dakika 2-3 shughuli ndio imeisha tena mpaka siku nyingine

sasa kuepuka hiyo fedhea, lazima mtu ajenge heshima kupitia hivyo vi booster kamakweli vinafanya kazi
hao wa dakika 2 wanapatikana wapi ndo wazuri hao wataenda mbinguni wani pm
 
jaman mbona mnawalaumu tu wanaume, yawezekana wanawake wa siku hiz ni wagumu na hisia zao ziko mbali sana mpaka uwanywee pombe au gym ndo uweze kuwaridhisha.


Another myth...........hakuna kitu kam hicho hisia za mapenzi huwa zipo ama hazipo! hakuna kuweko mbali.............wapi mbali ilhali mtuu uko naye hapo?
 
kituko mbona imekuuma sana au na wewe uko kwenye hilo kundi nini

Mkuu haijaniuma, ila Mkimbizwa mbio amenipa pole as if me ndio mfuga kitambi na Mla Booster (mchuzi wa Pweza, Konyagi, Valuer)
 
Point is this kuipata shilingi ni shughuli ili uridhike na unachokitoa ni lazima kukopa nguvu ya ziada ili ukitoka hapo cku 4 huna kihoro.
 
Sasa kwanin umwache mmeo ale chips na mayai tu ilhali ukijua kabisa ndani ya mda mfupi jogoo hatawika tena?akina dada wengi ndo mizigo mmekuwa wanawake sketi hamjuhi tena kupika home,hamjuhi mwanaume anatakiwa ale nini na asile nini kazi yenu ni kuzurura alafu unarudi na vichips eti ndo chakula cha usiku,bnafsi nikila chips hata jogoo hasimami mbali ya kuwika,mpe mmeo magimbi,miogo,viazi,supu ya samaki alafu uone shughuri yake,weeeh!

alivinunua asipikiwe?
Tatizo lenu mmegeuza wake zenu kuwa " mama zenu".Mtaipata fresh!
 
Na wewe jitahidi kula vyakula vya kukuongezea hamu ili uweze kufika haraka, Haswa ukizingatia zama hizi za Ukimwi, ukisuguliwa sana unaweza abukiza kirahisi.
Najua hutumii dawa ya penzi.
Dawa hii nayo ni sehemu ya tatizo kwa wote!
 
Kabisa mkuu na hawapendi hata kufanya mazoezi wala kula vyakula vya asili wao na chips mayai na burger na kuku wa kisasa
Vyakula vya supermarket

mhhh!
Ina maana wazungu wanaokula vyakula hivyo wakO mtarimbo -lala- doro?
Sitaki kuamini hili!
 
mhhh!
Ina maana wazungu wanaokula vyakula hivyo wakO mtarimbo -lala- doro?
Sitaki kuamini hili!

Fanya Utafiti mdogo tu.
Jigonge kwa mzungu, halafu Du.
Jigonge kwa mswahili, halafu Du,
Kisha utuletee majibu hapa JF.
Kazi njema Tausi.
 
[TABLE="class: yiv1562717799MsoNormalTable, width: 100%"]
[TR]
[TD]Never, put your banana in the refrigerator!!!
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] [TABLE="class: yiv1562717799MsoNormalTable, width: 100%"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] [TABLE="class: yiv1562717799MsoNormalTable, width: 100%"]
[TR]
[TD] This is interesting.
After reading this, you'll never look at a banana in the same way again.
Bananas contain three natural sugars - sucrose, fructose and glucose combined with fiber. A banana gives an instant, sustained and substantial boost of energy. Research has proven that just two bananas provide enough energy for a strenuous 90-minute workout.

No wonder the banana is the number one fruit with the world's leading athletes. But energy isn't the only way a banana can help us keep fit. It can also help overcome or prevent a substantial number of illnesses and conditions, making it a must to add to our daily diet.

Depression:
According to a recent survey undertaken by MIND amongst people suffering from depression, many felt much better after eating a banana. This is because bananas contain tryptophan, a type of protein that the body converts into serotonin, known to make you relax, improve your mood and generally make you feel happier.

PMS: Forget the pills - eat a banana. The vitamin B 6 it contains regulates blood glucose levels, which can affect your mood.

Anemia: High in iron, bananas can stimulate the production of hemoglobin in the blood and so helps in cases of anemia.

Blood Pressure: This unique tropical fruit is extremely high in potassium yet low in salt, making it perfect to beat blood pressure. So much so, the US Food and Drug Administration has just allowed the banana industry to make official claims for the fruit's ability to reduce the risk of blood pressure and stroke.

Brain Power: 200 students at a Twickenham (Middlesex) school were helped through their exams this year by eating bananas at breakfast, break, and lunch in a bid to boost their brain power. Research has shown that the potassium-packed fruit can assist learning by making pupils more alert.

Constipation: High in fiber, including bananas in the diet can help restore normal bowel action, helping to overcome the problem without resorting to laxatives.

Hangovers: One of the quickest ways of curing a hangover is to make a banana milkshake, sweetened with honey. The banana calms the stomach and, with the help of the honey, builds up depleted blood sugar levels, while the milk soothes and re-hydrates your system .

Heartburn: Bananas have a natural antacid effect in the body, so if you suffer from heartburn, try eating a banana for soothing relief.

Morning Sickness: Snacking on bananas between meals helps to keep blood sugar levels up and avoid morning sickness.

Mosquito bites: Before reaching for the insect bite cream, try rubbing the affected area with the inside of a banana skin. Many people find it amazingly successful at reducing swelling and irritation.

Nerves: Bananas are high in B vitamins that help calm the nervous system.

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Back
Top Bottom