Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,330
Nimejiuliza sana hiki kitu na nikashindwa kupata majibu sahihi na nikaona nishee na wanaJamii wenzangu labda kuna jibu ama maelezo sahihi
Weekend iliyopita kwenye mida ya saa tano asubuhi tulikuwa kwenye Ka-bar maeneo ya home, watu wanakamata supu na kupata mojamoja, mara akaingia jamaa na kuagiza kavaluer nakuanza kunywa kwa fujo, Rafiki yake akaingia na kumuuliza kwa sauti "vipi mtalaam una kazi nini,mbona asubuhi asubuhi?" jamaa akajibu "kamanda we subiri hapohapo"
Baada ya kama dakika kumi akaingia dada mmoja wa haja yaani kama ni namba nane basi ni ile ya ukweli, mara ka-bar chote kakawa kimya na kila mtu akawa anamkodolea macho Yule mdada. Mdada akaenda straight kwa jamaa anayekunjwa Kivaluer na kuchukua fedha na kisha akatoka huku akimwambia jamaa saa saba utanikuta kule.
Baada ya Yule dada kutoka tu ka Bar chote kakaripuka na maongezi wakimshauri Yule jamaa,
"huyo unatakiwa umpigie KOnyagi kubwa, hapana hiyohiyo valuer na redbull, yaani mimi nikimpata nampigia kitimoto nusu na Valuer mbili, ahaaa mambo yote mchuzi wa pweza na Korosho, ahaa mimi ningepiga safari mix Konyagi"
NIKABAKI NAJIULIZA HIVI KWELI WANAUME HAWANA TENA UWEZO WA KUSIMAMIA KUCHA NA KUMRIDHISHA MWANAMKE BILA BUSTER YA AINA YOYOTE? HIVI UWEZO UMEPOTEA KIASI HICHO AMA NI NINI KINACHOTAFUTWA?
Weekend iliyopita kwenye mida ya saa tano asubuhi tulikuwa kwenye Ka-bar maeneo ya home, watu wanakamata supu na kupata mojamoja, mara akaingia jamaa na kuagiza kavaluer nakuanza kunywa kwa fujo, Rafiki yake akaingia na kumuuliza kwa sauti "vipi mtalaam una kazi nini,mbona asubuhi asubuhi?" jamaa akajibu "kamanda we subiri hapohapo"
Baada ya kama dakika kumi akaingia dada mmoja wa haja yaani kama ni namba nane basi ni ile ya ukweli, mara ka-bar chote kakawa kimya na kila mtu akawa anamkodolea macho Yule mdada. Mdada akaenda straight kwa jamaa anayekunjwa Kivaluer na kuchukua fedha na kisha akatoka huku akimwambia jamaa saa saba utanikuta kule.
Baada ya Yule dada kutoka tu ka Bar chote kakaripuka na maongezi wakimshauri Yule jamaa,
"huyo unatakiwa umpigie KOnyagi kubwa, hapana hiyohiyo valuer na redbull, yaani mimi nikimpata nampigia kitimoto nusu na Valuer mbili, ahaaa mambo yote mchuzi wa pweza na Korosho, ahaa mimi ningepiga safari mix Konyagi"
NIKABAKI NAJIULIZA HIVI KWELI WANAUME HAWANA TENA UWEZO WA KUSIMAMIA KUCHA NA KUMRIDHISHA MWANAMKE BILA BUSTER YA AINA YOYOTE? HIVI UWEZO UMEPOTEA KIASI HICHO AMA NI NINI KINACHOTAFUTWA?