Wanaume: Unamuachaje Mzazi Mwenzio?

Wanaume: Unamuachaje Mzazi Mwenzio?

Castr

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2014
Posts
38,581
Reaction score
77,673
Cha kwanza na kianze.

-Nimeambiwa nikanunue embe usiku huu.

Mama Kijacho tangu iwe confirmed mambo ni moto.

Kwa upande wangu lakini.

-Kuna siku alinipigia simu mchana kua anataka kachori mbili hajisikii kula usiku huo. Mimi ilibidi nishuke vituo viwili kabla ya kituo changu ili nikute meza ya muuza pweza, sijui bei ya kachori kwahiyo nilitoa elfu moja nikataka nigewe zote, nikagewa kumi, namfikishia akakasirika kwanini nimenunua kumi, nina matumizi mabaya ya hela akasusa kula.

-Wiki moja nyuma saa tano usiku nilipigiwa simu kua mama kijacho anaumwa tukafika hospitali baada ya vipimo Dokta akasema binti anadeka hakuna lolote.

-Jana usiku saa sita anasema ana kiu ya maji ya baridi lakini hataki maji yatoke kwenye friji letu, linanuka, akaanza kugonga kwa wapangaji wenzetu Wakamjibu hawana maji akaniambia nitoke nikatafute maji dukani.

-Mtandika kitanda, mfagiaji, mpishi, muandaaji mtoto mkubwa na kumuogesha ni mimi na leo nimeenda kliniki.

-Aliniambia kila siku nirudi na mtindi. Leo nimefika kasema hautaki anataka mkate wa supa loaf, nimeenda kuununua kaonja silesi moja kasema mkate una harufu ya mafuta ya taa kauacha.

-Memori kadi yangu kachukua kurudisha hataki na haifanyii kitu.

-Kwa miezi miwili mfululizo sijapata usingizi wa uhakika.

Nawaza kama kweli anataka embe au anataka nikabwe maana si kwa muda huu.

Hapa ninajiuliza.

Mwanaume unamuachaje mzazi mwenzio? Hizi nenda rudi, fanya acha, simama kaa anazonifanyia ni kama kuna bond inajijenga kati ya mimi na yeye ambayo inanifanya nijiulize...

Mwanaume unamuachaje mzazi mwenzio?
 
Na huu siyo msimu wa maembe, nimekuta wauza matunda wawili wote wamenipa majibu sawa.

Najiona nikimpelekea juisi ya embe
 
Cha kwanza na kianze.

-Nimeambiwa nikanunue embe usiku huu.

Mama Kijacho tangu iwe confirmed mambo ni moto.

Kwa upande wangu lakini.

-Kuna siku alinipigia simu mchana kua anataka kachori mbili hajisikii kula usiku huo. Mimi ilibidi nishuke vituo viwili kabla ya kituo changu ili nikute meza ya muuza pweza, sijui bei ya kachori kwahiyo nilitoa elfu moja nikataka nigewe zote, nikagewa kumi, namfikishia akakasirika kwanini nimenunua kumi, nina matumizi mabaya ya hela akasusa kula.

-Wiki moja nyuma saa tano usiku nilipigiwa simu kua mama kijacho anaumwa tukafika hospitali baada ya vipimo Dokta akasema binti anadeka hakuna lolote.

-Jana usiku saa sita anasema ana kiu ya maji ya baridi lakini hataki maji yatoke kwenye friji letu, linanuka, akaanza kugonga kwa wapangaji wenzetu Wakamjibu hawana maji akaniambia nitoke nikatafute maji dukani.

-Mtandika kitanda, mfagiaji, mpishi, muandaaji mtoto mkubwa na kumuogesha ni mimi na leo nimeenda kliniki.

-Aliniambia kila siku nirudi na mtindi. Leo nimefika kasema hautaki anataka mkate wa supa loaf, nimeenda kuununua kaonja silesi moja kasema mkate una harufu ya mafuta ya taa kauacha.

-Memori kadi yangu kachukua kurudisha hataki na haifanyii kitu.

-Kwa miezi miwili mfululizo sijapata usingizi wa uhakika.

Nawaza kama kweli anataka embe au anataka nikabwe maana si kwa muda huu.

Hapa ninajiuliza.

Mwanaume unamuachaje mzazi mwenzio? Hizi nenda rudi, fanya acha, simama kaa anazonifanyia ni kama kuna bond inajijenga kati ya mimi na yeye ambayo inanifanya nijiulize...

Mwanaume unamuachaje mzazi mwenzio?
Hahaha....hatare ila vumilia, yakupita hayo
 
Tatizo la mapenzi ya kwenye tv na deko nyingi mkazie tu aache upumbavu atajiliza baaadaye atatulia usimuendekeze kuwa mkali
Sasa chakula hawezi kula ikitokea anajisikia kula naanzaje kua mkali?
 
Mimi hakuna mwanamke anayeweza kuniletea upuuzi kama huo,hebu kakae kwa mchepuko kama week 2 umuache na mimba yake hapo atakutafuta mwenyewe tu
Mzee si nitaua watu wawili kwa mpigo kisa stress?
 
Cha kwanza na kianze.

-Nimeambiwa nikanunue embe usiku huu.

Mama Kijacho tangu iwe confirmed mambo ni moto.

Kwa upande wangu lakini.

-Kuna siku alinipigia simu mchana kua anataka kachori mbili hajisikii kula usiku huo. Mimi ilibidi nishuke vituo viwili kabla ya kituo changu ili nikute meza ya muuza pweza, sijui bei ya kachori kwahiyo nilitoa elfu moja nikataka nigewe zote, nikagewa kumi, namfikishia akakasirika kwanini nimenunua kumi, nina matumizi mabaya ya hela akasusa kula.

-Wiki moja nyuma saa tano usiku nilipigiwa simu kua mama kijacho anaumwa tukafika hospitali baada ya vipimo Dokta akasema binti anadeka hakuna lolote.

-Jana usiku saa sita anasema ana kiu ya maji ya baridi lakini hataki maji yatoke kwenye friji letu, linanuka, akaanza kugonga kwa wapangaji wenzetu Wakamjibu hawana maji akaniambia nitoke nikatafute maji dukani.

-Mtandika kitanda, mfagiaji, mpishi, muandaaji mtoto mkubwa na kumuogesha ni mimi na leo nimeenda kliniki.

-Aliniambia kila siku nirudi na mtindi. Leo nimefika kasema hautaki anataka mkate wa supa loaf, nimeenda kuununua kaonja silesi moja kasema mkate una harufu ya mafuta ya taa kauacha.

-Memori kadi yangu kachukua kurudisha hataki na haifanyii kitu.

-Kwa miezi miwili mfululizo sijapata usingizi wa uhakika.

Nawaza kama kweli anataka embe au anataka nikabwe maana si kwa muda huu.

Hapa ninajiuliza.

Mwanaume unamuachaje mzazi mwenzio? Hizi nenda rudi, fanya acha, simama kaa anazonifanyia ni kama kuna bond inajijenga kati ya mimi na yeye ambayo inanifanya nijiulize...

Mwanaume unamuachaje mzazi mwenzio?
Unampeleka kwao akamsumbue mama yake.
 
Cha kwanza na kianze.

-Nimeambiwa nikanunue embe usiku huu.

Mama Kijacho tangu iwe confirmed mambo ni moto.

Kwa upande wangu lakini.

-Kuna siku alinipigia simu mchana kua anataka kachori mbili hajisikii kula usiku huo. Mimi ilibidi nishuke vituo viwili kabla ya kituo changu ili nikute meza ya muuza pweza, sijui bei ya kachori kwahiyo nilitoa elfu moja nikataka nigewe zote, nikagewa kumi, namfikishia akakasirika kwanini nimenunua kumi, nina matumizi mabaya ya hela akasusa kula.

-Wiki moja nyuma saa tano usiku nilipigiwa simu kua mama kijacho anaumwa tukafika hospitali baada ya vipimo Dokta akasema binti anadeka hakuna lolote.

-Jana usiku saa sita anasema ana kiu ya maji ya baridi lakini hataki maji yatoke kwenye friji letu, linanuka, akaanza kugonga kwa wapangaji wenzetu Wakamjibu hawana maji akaniambia nitoke nikatafute maji dukani.

-Mtandika kitanda, mfagiaji, mpishi, muandaaji mtoto mkubwa na kumuogesha ni mimi na leo nimeenda kliniki.

-Aliniambia kila siku nirudi na mtindi. Leo nimefika kasema hautaki anataka mkate wa supa loaf, nimeenda kuununua kaonja silesi moja kasema mkate una harufu ya mafuta ya taa kauacha.

-Memori kadi yangu kachukua kurudisha hataki na haifanyii kitu.

-Kwa miezi miwili mfululizo sijapata usingizi wa uhakika.

Nawaza kama kweli anataka embe au anataka nikabwe maana si kwa muda huu.

Hapa ninajiuliza.

Mwanaume unamuachaje mzazi mwenzio? Hizi nenda rudi, fanya acha, simama kaa anazonifanyia ni kama kuna bond inajijenga kati ya mimi na yeye ambayo inanifanya nijiulize...

Mwanaume unamuachaje mzazi mwenzio?

UKICHUNGUZA SANA UTAKUTA NI MCHAWI, MAANA HUJITAMBUI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom