Yaani mimi ni mchawi, au binti ni mchawi? Umeniacha kidogo
Yaani kama ni mimi aakishafika hatua hiyo ni kumpeleka kwa bibi huko akamenye ndizi za kibuli shenzi zakeHahaha Jamaa taratibu
Loo ujue na huo mchepuko ndo wanawapelekesha sana mkeo kwako mtakula dagaa ila mchepuko maini na madeko kibao.... ungebana miguu yako asingekusumbua hivyooo ika zipu wazi ndo lazima na wewe uwajibike.. hivi huwa mnadhani tunapenda kujidekeza noo.. ni hiyo roho ya pili uliyompa yamsumbua..Mimi hakuna mwanamke anayeweza kuniletea upuuzi kama huo,hebu kakae kwa mchepuko kama week 2 umuache na mimba yake hapo atakutafuta mwenyewe tu
Baba yako pia alivumilia mengi mpaka wewe umeijua dunia
Upo sahihi. Alikuwa anataka biashara hiyo nikamwambia upuuzi wako usiniletee. Ohh unanipastress dokta kanambia itahatarisha maisha ya mtoto. Nikamwambia hizo stress unazitaka mwenyewe. Nachuna hata wiki 2. Sasa hivi kanyooka haleti tena shobo. Niache kufanya mambo ya maana nifikirie upuuzi wa mtu anayejiendekeza. Najiuliza wale wanaopewa mimba kwa kubakwa au hamjui mwenye ujauzito huwa wanamdekea nani?Huwa tunaangalia wa kumletea upuuzi ivi angekua ukweni angemdekea na kumletea nani izo mbwembwe....mkaushie tu sema nae kashakujulia
Yaan mkuu mwanamke mjamzito akijua tu unampa attention atakuendesha sana sa wengine tumelea mimba zetu tukiwa hostel hakuna wakumdekea wala nn unakomaa na hali mpka kujifungua .....Upo sahihi. Alikuwa anataka biashara hiyo nikamwambia upuuzi wako usiniletee. Ohh unanipastress dokta kanambia itahatarisha maisha ya mtoto. Nikamwambia hizo stress unazitaka mwenyewe. Nachuna hata wiki 2. Sasa hivi kanyooka haleti tena shobo. Niache kufanya mambo ya maana nifikirie upuuzi wa mtu anayejiendekeza. Najiuliza wale wanaopewa mimba kwa kubakwa au hamjui mwenye ujauzito huwa wanamdekea nani?
SIO KILA MIMBA INASUMBUA KINA ZINGINE RAHA ZINGINE KARAHA JAMANII.. UTAKUTA MTU ANATAPIKA TUU KILA WAKAT.. niliwahi muona binamu yangu alikuwa mme akitoka job kile kiatu alichoshinda nacho job anakaa nacho pmebeni kazi yake kukinusa tuu iila kulala na mme wake hataki hata asimsogelee alikuwa analala chumba cha wageni hadi miezi tisa.. ila dawa yake ilikuwa kiatu cha mme tu leo atabadili hiko kesho anavaa kingine akirudi mke anachukua kile kiatu ndo raha yake..Yaan mkuu mwanamke mjamzito akijua tu unampa attention atakuendesha sana sa wengine tumelea mimba zetu tukiwa hostel hakuna wakumdekea wala nn unakomaa na hali mpka kujifungua .....