Wanaume tuwe wastaarabu, hebu mcheki huyu

Wanaume tuwe wastaarabu, hebu mcheki huyu

Mkuu unaweza kukuta jamaa amebanwa Sana.halafu kumpiga mtu picha unarushia kwenye mtandao dunia nzima imeona si ustaarabu kama ni mimi lazima nikutafute.
 
Mnatetea ujinga nyamba.. mtupu na kukosa ustaarabu binadamu unaminua gududu gwako sehemu yoyote hafu mnatetea uchafu,Mbona ni nadra hapa Dar kuona wanawake wanajiminua kukojoa nzishe kabisa kama unatetea ujinga huu😡
 
sasa ww kwa nn umempga picha!!si ungesema tu ad umuanike umu!Af mm ww nakujua ngoja nianike pcha zako za uchii tuone
 
Napata tabu kuelewa wanaotetea ujinga kama huu

Sidhani Kama kubanwa tu iwe sababu ya kukojoa ovyo tu kama mbwa...

Hivi hamjiulizi huko kwa wenzetu walikostaarabika wao hawabanwi?

Tujifunze ustaarabu/uungwana na usafi.....

Nakereka Sana na Tabia hii na ule ujinga uliokithiri wa kutupa taka barabarani (nje ya gari/bus) ukiwa safarini

#knobheads
 
Ila wengine wanajizoeza vibaya, mtu anashindwa kujificha anajipekenyua tu mbele za watu, hasa sehemu zenye mifereji.

inategemea na situation, kuna wanaofanya bila kufikiria altenative way lakini kuna ambao wamefikiria njia zote na kuona hakuna jinsi kuliko kujikojolea.
sitetei hii tabia lakini kuna hali ambazo mtu huwezi kujizuia kabisa.
 
Jamaa tuko ya mataa ya tabata mida hii kashuka kwenye Gari yake hiyo karudi nyuma kaanza kukojoa.Dah ustaarabu uko wapi wadau??

mambo mengine sijui mnatafuta sifa au nn... kabanwa, hapo hakuna choo angefanyeje? mara nyingi tunaposafiri katikati ya safari kuna kile kipindi cha kuchimba dawa,mama anakojoa mbele ya mwanae, dada mbele ya kaka etc, and no body cares... sasa Post kama hii. naona ni ya kutafuta sifa tu... and am sure hata mleta mada anaongelea just bcose situation kama hii haikumkuta wakati uwezekano was kupata sehemu za kujisaidia hazipo wala usingekuja kimbeambea hivi.
 
inategemea na situation, kuna wanaofanya bila kufikiria altenative way lakini kuna ambao wamefikiria njia zote na kuona hakuna jinsi kuliko kujikojolea.
sitetei hii tabia lakini kuna hali ambazo mtu huwezi kujizuia kabisa.
Mkuu ...Lakini hadharani... kwa uelewa wangu Choo ndogo na choo kubwa huwa ina Censors na kukujulisha hali halisi baada ya ujumbe kukuarifu !!
Pole
 
Wewe huenda unashangaa hata jogoo anavyomrukia tetea,. Hii ndo faida ya kuwa "Me".
 
vipi angeamua kushusha kubwa hapo kwa kuwa amebanwa bado ungemtetea?
Kuhusu kupigwa picha bila ridhaa hiyo ndio whistle blowing kama alivyofanyiwa yule polisi wa ughaibuni wkt anamuua mweusi,bila kupigwa picha na mpita njia na kuisambaza mitandaon angekana
 
Jamaa tuko ya mataa ya tabata mida hii kashuka kwenye Gari yake hiyo karudi nyuma kaanza kukojoa.Dah ustaarabu uko wapi wadau??
Khaa!! Hivi unajua mkojo unavyouma wewe? Ukibanwa na mkojo kuwa mwanaume unakuwa na uchizi sasa unakuwa bana option nyingine zaidi ya kupee popote.
 
Wanawake nao wangependa wafayehihyo, lakini anatomical nature haiwaruhusu.
 
Jamaa tuko ya mataa ya tabata mida hii kashuka kwenye Gari yake hiyo karudi nyuma kaanza kukojoa.Dah ustaarabu uko wapi wadau??

Khaa!! Umepiga na picha bila ridhaa yake? JK sain ule mswaada mitandao tuanze kuchukua pesa za watu mahakamani kwa upuuzi kama huu. Mpaka sasa wakili angekuwa anamalizia kuandaa mashtaka.
 
Aliyepiga hii picha na kui-post hapa hukuwa fair...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom