Wanaume tuwe wastaarabu, hebu mcheki huyu

Wanaume tuwe wastaarabu, hebu mcheki huyu

Jamaa tuko ya Mataa ya Tabata mida hii, kashuka kwenye Gari yake hiyo karudi nyuma kaanza kukojoa. Dah ustaarabu uko wapi wadau??

View attachment 242928

Thread gani hii mwehu wewe, choo kingekuwa karibu tungemshangaaa, pia usalama wa gari angeanza kurandaranda, na huwezi jua ana umwa hania....etc...etc....
By way wewe umeshakojoa mara ngapi kichakani? Why? Ungepigwa picha na kusambazwa mtandaoni?
 
Unaujua ustaarabu wewe?

wewe ungekua mstaarabu ungemfuata na kumwambia kwamba kitendo anachokifanya si cha kistaarabu. Kumpiga mtu picha na kurusha kwenye mitandao siyo ustaarabu hata kidogo.next time usifanye hivyo tena mkuu.
 
Vijana wa aina hii ni hawa wenye malezi ya saluni...ambao nao kesho watakuja kuitwa baba ptuuuuu! Embu muulize huyu bwana mdogo angekuwa ni baba yake kafanya tukio hilo bado angempiga picha bila kumsitiri aje aiweke humu ama angemfuata kistaarabu kumwambia sio ustaarabu kujisaidia eneo kama hilo?

ni ujinga unamsumbua
 
Kama ana kisukari na foleni ya Dar sio ajabu. Ila ka mzima. Sio sawa
 
Wewe mleta mada umekosea sana na hujui matumizi ya simu,huwezi kumpiga picha pasipo ridhaa yake na kuleta humu ndani hujamsaidia ungepaswa kushuka na kumshauri.Haya umeleta picha humu imemsaidiaje?Tuache ulimbukeni na simu za kisasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom