Wanaume tuwe wastaarabu, hebu mcheki huyu

Wanaume tuwe wastaarabu, hebu mcheki huyu

Mbona huwa tunachimba dawa kwenye safari ndefu halafu mkojo ukibana sana ni tatizo lingine
 
hapana sio bia hii, huyu jamaa mi ninamjua sana tu wala hanywi pombe au bia, ila ana kisukari nadhani alizidiwa, alafu ana mke bomba
(lakini kisukari bwana)
 
Kabanwa ulitaka ajikojolee?

Na pengine ana maradhi ya kutozuia mkojo. Na foleni za dar. Pengine ana masaa mawili mpk afike kwake.

Ila nae angetafuta pahali pa stara ndo akafanya haja yake
 
cha msingi kapigwa picha bila ridhaa yake,basi kiungwana ungeifuta sura yake.........

ngoja tu mzee mzima asaini cyber crime act 2015 tuone kama tutakuwa tunaona tena upuuzi wa kupigana picha za hovyo na za kisiri.
 
Foleni zenyewe ndio hizo unategemea nini.... ni kuchimba dawa tu
 
Mara nyingine inabidi tu maana hamna namna nyingine zaidi ya kujivunjia heshima ili usije kujikojolea ukaonekana una matatizo ya kiakili.
 
Angebana na haja kubwa angejinyea au angekunya nyuma ya gari, kiufupi ustaarabu 0
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom