Wananikera na hii tabia hawa watu, sijui kwanini hawajijali.
Mbona kaonyesha utaarabu sana tu? Je ungumuona kajikojolea si ndio ungetoa Video?
cha msingi kapigwa picha bila ridhaa yake,basi kiungwana ungeifuta sura yake.........
we ujue hujabanwa vizuri. . .mtu mzima huyo hali ikiwa mbaya huwezi kujizuia aisee.
ila aliyepiga picha hajafanya fair