Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,980
- 3,115
Pole dada!msamehe jamaa hatarudia tena
Haya na wewe usirudie tena.
Pole dada!msamehe jamaa hatarudia tena
Haya na wewe usirudie tena.
Wananikera na hii tabia hawa watu, sijui kwanini hawajijali.
Ana fanana na Le Mjamaa fulani
Poa...sirudii
Na angekukojolea wewe ingekuwaje??
Jamaa tuko ya Mataa ya Tabata mida hii, kashuka kwenye Gari yake hiyo karudi nyuma kaanza kukojoa. Dah ustaarabu uko wapi wadau??
View attachment 242928
Jamaa tuko ya Mataa ya Tabata mida hii, kashuka kwenye Gari yake hiyo karudi nyuma kaanza kukojoa. Dah ustaarabu uko wapi wadau??
View attachment 242928
Mi namuunga mkono huyo jamaa, mlitaka afanyaje? Ajikkojolee? Hivi mshawahi banwa na mkojo maeneo hatarishi nyie mnaompinga? Bora fedheha kuliko kujikojolea na utu uzima huo haijalishi ni pombe ama nini?
Unaujua ustaarabu wewe?
![]()
jamaa inaonekana ameshatupia Serengeti zake za kumtosha!!
Umekosa ustaarabu kumpiga picha!
alichokifanya sio fair na huu uhalif J. Makamba ndo anapambana nao angalau angemficha sura maana zaidi ya 80% jamaa alikuwa hana mbadala ukizingatia pengine alikuwa mwenyewe kwenye gari pengine hakuna parking karibu hata kama ipo folen ni tatizo pengine hakuwa hata na chupa ya maji ktk gari ili aitumie sasa angefanyaje na hawez iacha gar ktk folen aende kando zaidi ya barabara. Unapomfanyia mtu kitu vuta picha ndo wewe umefanyiwa hivyo pengine ana watoto wakubwa tu na wapo ktk mitandao, wafanyakaz wenzie, marafiki, ndugu n.k ila wahenga walishasema "mkuk kwa nguruwe mtamu kwa binadamu mchungu"