Wanaume, tupeni majibu hapa...

Wanaume, tupeni majibu hapa...

Poor guy,umemkorogea la wapi makorora,kipatimo,mlingotini au la ujiji kwa kalumbanzira,au shuntama?

khaa! yaani kuomba samahan umekorogewa teh teh teh! wanaume ni waoga leo nimeamini.
 
aisee! you are lucky ila kuna wanaume ni wabish wasamahan na wengine wanadai eti kuish na mwanamke mgomvi ni bora uish kwenye paa. yaani men .................goja waje niwaskie hapa.

Gf just admit it mwanaume hatakaa amwelewe mwanaume na mwanaume hatakaa amwelewe mwanamke,mko vindictive sana nyie viumbe,hamfai kabisa,tunawavumilia tu kwa kuwa bila nyie hatuwezi kuishi.
 
wanaume sio wenzetu, wanaume ni kambi pinzani
ukienda kwa kufikiria ni ndugu zetu utashangaa!

hapo uenena manake mpaka hapa nakaribia post ya 60 hakuna aliyetoa sababu zaid ya kusema tunawaloga bora hata mito ameonyesha busara zaid ya wote.
 
Last edited by a moderator:
unakuta mtu kalelewa kwenye family ambayo anaona mama siku zote ananyanyaswa, na hajawi kuona baba anaomba samahani hata siku moja. what do expect out of this man!

Unapenda sana kuambiwa 'mama nisamehe' sio,inakuongezea tija gani?
 
Gf just admit it mwanaume hatakaa amwelewe mwanaume na mwanaume hatakaa amwelewe mwanamke,mko vindictive sana nyie viumbe,hamfai kabisa,tunawavumilia tu kwa kuwa bila nyie hatuwezi kuishi.

bishanga dont tell me kwamba wanawake tu misalaba ambayo mnavumilia?????
yet over the nite you make her your matress and your pillow, mchana your house keeper a the house meneja.
 
hapo uenena manake mpaka hapa nakaribia post ya 60 hakuna aliyetoa sababu zaid ya kusema tunawaloga bora hata mito ameonyesha busara zaid ya wote.

Alllaaaaaaaaaaaa!!!!!! Mwapenda kunyenyekewa eh?
 
Last edited by a moderator:
hivi nikikuomba msamaha utanufaika na nini hasa wakati kosa liliishatendeka? kwanza mkiombwa msamaha huwa mnavimba vichwa ni bora muombwe msamaha wa mangumi tu na manundu baaaaaasi mtatulia

sista gfsonwin na wadada wa JF mmeona hapo kwa red? applies to some of you
 
Mwanaume huyo huyo kazaliwa na kukuzwa na mwanamke.. Go figure!
 
sista gfsonwin na wadada wa JF mmeona hapo kwa red? applies to some of you

kaka mito go into the first post soma nimeuliza je kuna mabaye kwa kufanya hivyo amewah kudharauliwa na mkewe? if yes tupeni ushuhuda manake mwisho wa siku tunataka tukomboke atii
 
Last edited by a moderator:
bishanga dont tell me kwamba wanawake tu misalaba ambayo mnavumilia?????
yet over the nite you make her your matress and your pillow, mchana your house keeper a the house meneja.

Answer me this,kwenye kungononeka nani anafaidika zaidi mwanaume au mwanamke,on average who gets more orgasms? hivi kwa nini mnaona ni priviledge kutoa hiyo nonino wakati beneficiary wakubwa wa tukio ni nyie wenyewe?
Mnanchekesha ( source: Faiza Foxy).
 
hapo uenena manake mpaka hapa nakaribia post ya 60 hakuna aliyetoa sababu zaid ya kusema tunawaloga bora hata mito ameonyesha busara zaid ya wote.

kama sisi sio wenzenu, nani anaweza kuwa mwenzenu? Mkifungiwa katika chumba hata saa moja haitaisha mtakamatana mashati. Ila tukiwepo tunaongezea siku za kuishi.
Hatuombi msamaha kwasababu ya kutishia uvunjifu wa amani na si kingine
 
wanaume sio wenzetu, wanaume ni kambi pinzani
ukienda kwa kufikiria ni ndugu zetu utashangaa!

Mwali usiniangushe! hata mimi sio mwenzako? Sasa nani ni mwenzenu katika dunia hii?
 
kama sisi sio wenzenu, nani anaweza kuwa mwenzenu? Mkifungiwa katika chumba hata saa moja haitaisha mtakamatana mashati. Ila tukiwepo tunaongezea siku za kuishi.
Hatuombi msamaha kwasababu ya kutishia uvunjifu wa amani na si kingine

kwa mwanamke kuomba msamaha hakuvunji amani?
 
Back
Top Bottom