Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,122
- 52,864
kama weweMh wakoje sperm donor?
kama weweMh wakoje sperm donor?
Nipe mimi nimleeAsante kaka. Tatizo sio hilo, kuna watoto wamezaliwa utasema ni copy ya baba zao lakini huyo baba bila aibu anashindwa kumuhudumia mwanae.
Acha wenge la ku attack watu, aliyekwambia nimekimbiwa nani? Umeiona thread yangu yoyote yenye kulalamika kuwa nimekimbiwa? Sasa kwa taarifa yako hata ikitokea siku nikakimbiwa watoto wangu wote naweza kuwamudu kwa kila hitaji lao kuanzia school fees,mavazi mpaka chakula na malazi, lands watakachokosa ni upendo tu wa baba! Usichukulie poa watu MkuuSio akili zangu ni za aliyekimbia. Pole kwa kukimbiwa. Nxt tym jitahidi uwe mwaminifu.
Last thing, avoid creating doubts.
Huyu wako sio mwanamke Bali ni shetaniMzigua90 . tatizo hapa ni kubwa sio kama unavyolizani.
mfano, mwanamke uliyekuwa unaishi naye mkawa na watoto kadhaa, baada ya muda hali ya maisha imebadilika hajashindwa kuishi bali mnaanza kubana matumizi. yeye anabeba anataifisha biashara chache mlizonazo,anakimbilia kujificha uswahilini kakodi/kakodiwa na wanaume,watoto kapelekwa kwao yeye aniishi kivyake huko uswahilini na wanaume anaowajua yeye.
miezi mitatu ya mwanzo ukipiga simu anatukana tu,ukiuliza habari za watoto anatukana muda mwingine ukipiga simu kujua hali za watoto anakupa mwanaume wake akutukane.analewa pombe na mumewe anakupigia simu usiku haongei unasikia sauti ya watu wakifanya mapenzi angali alikuwa mkeo unayeishi naye. watoto hawanyonyi wala hakai nao unamwambia nipe hataki,baadhi ya ndugu ukiwaeleza wanakwambia hayawahusu nimalizane na huyo mwanamke kwamba hawakunituma nimtongoze wala hawakuniita.
baada ya miezi minne anaanza kudai nimpe hela ya watoto,mbaya zaidi hakai nao kawaacha kwa mama,anipe hataki.HIYO NGUVU YA KUMTUMIA MWANAMKE HELA UTAITOA WAPI DADA YANGU? utajiuliza kwa kuwa watoto wako kijijini na wanasoma public school ambapo ada ni chakula kwa mwaka elfu 20,chochote utakachotuma anaweza kukitumia kulewea au kupata vocha ya kukutukana zaidi ndio maana baadhi ya mazingira mwanaume unakuwa atili unaona bora liwa litakalokuwa sio kujidhalilisha. mimi imenitokea mbaya kaondoka na mitaji ya biashara na kaenda kufungua uchochoroni.hapo inabidi hiyo profit alee watoto, hapati faida anipe watoto.haiwezekani basi nakubali kulaumiwa/.
Pamoja na yote, kamuokoe mwanao kaka! Nenda tu ikibidi mchukue umsomeshe boarding school ili ajikwamue na ujinga wa mama yakeDada pole sana, lakini nataka kukuambia asilimia 99% ya wanawake mnaolea watoto peke yenu ni matokeo ya ujeuri wenu na viburi kwa wanaume nitakupa mfano hai unaonihusu mimi mwenyewe nilikuwa nikiishi na mdada mmoja huko geita akapata ujauzito na kulazimika kujifungua kwa upasuaji wazazi wake walitaka kuja kumuuguza mtoto wao niliwakatalia kwa kwaeleza kwamba hilo ni jukumu langu wala wasipate taabu mtoto wao yuko mikono salama alifanyiwa upasuaji na kupata mtoto wa kiume na nililala naye wadi ya wanawake hospitali ya mkoa ya geita kuanzia Jan 22 hadi 24 2014 baada ya kutoka hospitali nilimpeleka Guest na kumuwekea akina mama wawili wa kumhudumia kwa muda wa siku 14 ndipo aliporudi nyumbani na huko nyumbani alikuwepo mtu wa kumsaidia kufua na kupika. Baada ya afya yake kuimarika nilienda Moshi kwenye mihangaiko yangu na nikawa namtumia fedha kila wiki 50,000/= na alikuwa akizitolea kwa wakala aitwaye samweli karibu na classic kwa wanaoijua geita laikini kila anapotumiwa fedha hulaumu kwamba fedha ni kidogo mimi naponda raha tu na wanawake wengine jambo ambalo lilinitia hasira kwa kuzingatia fedha naipata kwa ugumu lakini anyeitumia hana shukrani roho yangu iliumia sana nikaamua nimtumie 150, 000/= aje Dodoma kwenye nyumba yangu ili tupunguze gharama za malezi na kodi ya nyumba baada ya kutuma fedha zile alianzisha tabia ya kusingizia mtoto anaumwa hawezi kusafiri mpaka mtoto apone nikipiga simu hospitali kama mtoto kapelekwa hapo naambiwa hakuna mtoto mgonjwa mwenye jina la mwanangu baadaye ikagundulika fedha anatumia na vijana kwenda kwa waganga ili niendelee kumpa zaidi.
Nilimsubiri Dodoma kwa wiki mbili nzima hakuja nami muda wa kukaa hapa ulikwisha kwa amujibu wa shughuli zangu na siwezi kuacha ufunguo wa nyumba kwa jirani wakati ninaye msubiri hana nia ya kuja na zaidi ya yote huku ni mgeni nyumba bila mwenyeji huwezi ingia bila maelekezo fulani ya kijamii. Nilimtaarifu baba yake mzazi ambaye ni William Sunja Mwalimu Mkuu shule ya msingi msemembo Manyoni kuwa "Kwakuwa mwanaye alikuja geita kunifuata mimi na si mwanaume mwingine yeyote na kwamba hakuwa na mwenyeji mwingine tofauti na mimi pamoja na kumtumia nauli bado ananiwekea masharti ya kuja kwangu maana yake ana mwenyeji wake mwingine kule hivyo toka dakika ile binti yake hayuko mikononi mwangu tena na asije tena dodoma nafasi yake haipo tena siwezi kupoteza kumsubiri yeye wakati yeye ndo ananitegemea na mimi ndiyo mkuu wa familia ninayeratibu familia yangu iishije na wapi tena hana kitu cha msingi anachofanya huko kitakacholeta mafanikio katika familia.
Matokeo yake aliuza vitu vyote kule vyenye thamani kubwa zaidi ya 25Mna kuondoka na mwanaume mwingine na mpaka leo anaishi naye huyo mwanaume na amezaa naye, cha ajabu ni kwamba baada ya mwaka mmoja ananiomba fedha ya matunzo ya mtoto hivi hapo hata kama una matope kichwani fedha unatoa kwa ajili ya nini na unampa nani kama siyo kutafutiana kesi za mada bure lakini bado kana kwamba hilo halitoshi mtoto kabatizwa bila mimi kuambiwa sasa kwa maelezo hayo mafupi ninakuthibitishia kuwa dharau zenu huwaletea majanga siyo la kulea mtoto peke yako hata mengine yasiyowezekana kuandikwa hapa. KAMA NI HIVYO BASI AMALIZE KILA KITU YEYE NA BABA YAKE LABDA NDIYO BABA WA HUYO MTOTO MAANA MZEE ANA SAPOTI UPUMBAVU WA BINTI YAKE. MTOTO ATATESEKA KWA UJINGA WA FAMILIA YA MAMA YAKE.
Poa mkuu.Acha wenge la ku attack watu, aliyekwambia nimekimbiwa nani? Umeiona thread yangu yoyote yenye kulalamika kuwa nimekimbiwa? Sasa kwa taarifa yako hata ikitokea siku nikakimbiwa watoto wangu wote naweza kuwamudu kwa kila hitaji lao kuanzia school fees,mavazi mpaka chakula na malazi, lands watakachokosa ni upendo tu wa baba! Usichukulie poa watu Mkuu
Pamoja na yote, kamuokoe mwanao kaka! Nenda tu ikibidi mchukue umsomeshe boarding school ili ajikwamue na ujinga wa mama yake
Kurahisisha hili nakushauri Nenda ustawi wa jamii wa wilaya husika, hapo wataku direct kwa afisa ustawi wa jamii atakayeshughulikia tatizo lako mpaka ngazi ya kijiji waliopo,eleza tu ukweli na dhamira yako wao watakusaidia zaidiAhsante kwa ushauri labda nikuombe uwe peacemaker uende kule uongee na yule mzee mjinga anayeng'ang'ania mtoto wa mtu mwingine utadhani kamzaa yeye maana mimi nikienda akileta za kuleta nawezafungwa bure namuomba Mungu aninusuru kwa hilo sijaficha jina wala kijiji na hii ni habari ya kweli sina kinyongo na mtoto ila wao wanamtumia kama fimbo na kitega uchumi hata mwanaume aliyezaa naye kwanza walikataa asimchukue mtoto wake na wamembadili jina anaitwa ubini wa babu yake utadhani huyu binti kazaa na baba yake mzazi!!! NAOMBA MSAADA WAKO
Kurahisisha hili nakushauri Nenda ustawi wa jamii wa wilaya husika, hapo wataku direct kwa afisa ustawi wa jamii atakayeshughulikia tatizo lako mpaka ngazi ya kijiji waliopo,eleza tu ukweli na dhamira yako wao watakusaidia zaidi
tehe..tehe..Nilichokiandika ni maisha halisi huku tuliko sio kwa kukoseaKidhungu chako hakika kinahitaji alignment. Next time ukiongea name mwanao ongea naye Kiswahili maana utamchanganya mtoto.
Na watoto wanaamini Daddy can never go wrong...