Wanaume tuoneeni huruma dada/mama zenu

Wanaume tuoneeni huruma dada/mama zenu

Asante kaka. Tatizo sio hilo, kuna watoto wamezaliwa utasema ni copy ya baba zao lakini huyo baba bila aibu anashindwa kumuhudumia mwanae.
Kila jambo lina sababu hao unaowalaumu sio wote wajinga
 
Nikwelii sisawa kukimbia mtoto mimi najua damu inauma bana na wanasema damu nzito kuliko maji ukiona mwanaume anakosa hata utu kwa mwanae inawezekana sana mtoto sio wako na nimekuwa nafuatilia sana mahusiano ya design hii ukiwasikiliza wanaume wengi watakwambia mwanamke huyo anamambo mengi hata huyo mtoto sijui kama ni wangu. Mimi niwashauri wanawake punguzeni mambo mengi wapeni majukumu wenye watoto wao msisingizie kwa kuona mwanaume huyu anauwezo atamtunza mtoto "damu ni nzito kuliko maji"
 
Sema baadhi ya wanaume, si wanaume wote wenye tabia ya kutelekeza watoto wao wawe wa kike au wa kiume. Pole sana.

Nikiwa kama mhanga wa mwanamke alieachiwa matunzo ya mtoto bila msaada wa baba naumia sana. Hivi wanaume huwa mnawaza nini mnapotupa adhabu ya kulea watoto peke yetu na wewe baba ukiwa hai na unajiweza? Hata kama hujiwezi basi kumjali mtoto wako japo kwa kuulizia maendeleo yake mtu anashindwa kabisa.

Hivi kina kaka mmejiuliza nyie baba zenu wangewakimbia mngekuwa wapi sasa hivi? Mnajua ni chuki gani mnaweka kwa watoto wenu mliowakataa? Mnajua ni laana gani mnapata kwa Mungu kwa kukataa kutimiza wajibu wenu kama wazazi? Au mnatukomoa kwa sababu mama hawezi kumuacha mtoto wake nyuma hata apate tatizo gani?

Labda wewe na mama wa mtoto hamko sawa lakini ile hasira ya ninyi kutokua sawa baba usimkomeshe mama kwa kuacha kumtunza mwanao ukijua unamkomoa mama, pale unaemkomoa ni mtoto wako ambae ulimtafuta kwa mapenzi/tamaa zako mwenyewe.

Naandika nikiwa na uchungu mwingi sana moyoni. Mwanaume usiemtunza mwanao ona aibu na muogope Mungu wako kwa kitendo unachokifanya.
Jiulize ingekua ni dada yako au mwanao ameachwa na mwanaume alee mtoto peke yake ungejisikiaje?

KARMA IS A BITCH. Ukinifanyia mimi leo wakati unao dada na watoto wa kike jua itakuumiza na wew kwa mmoja kati ya hao kufanyiwa kama unavyofanyia wengine.

Baba mtoto wangu nimeshamlilia Mungu juu yako na nina hakika huyu mtoto ulieniachia nimlee peke yangu atanifuta machozi siku moja na utatamani akutambue kama baba yake utakua umeshachelewa.

Kaka/baba zangu baba Diamond akawe mfano kwenu, Obama aliekataliwa na baba yake mwishoni alikuja kuwa Rais wa Marekani/dunia.
 
Daaah so sad aiseee ila wanaume Mungu anawaona me yule mwanaume tangu 2016 alipo niachia ujauzito hajaonekana tena mpka Leo hii nashukuru Mungu tu kabinti kangu kanakua na afya njema basi maisha yanakwenda hatuna mawasiliano wala 100 yake cjawahi igusa ...ukimwambia kuhusu mtoto anakuja juu ananikana kwamba Mimi hanijui wala hajazaa na Mimi lkn yote kheri...nmesha move on n mwaka wa NNE sasa unaelekea wala hashtuki...yupo tu hana habari ila uzuri karma ikikuescape wewe inaweza kumkuta ata binti yako ni swala la muda tu ....

am better here
 
Usizae bila kushauriana na mwenzio, usimvulie chupi mwanaume ukafikiri yatakayokea basi lazima ahusike, kuzaa ni kupanga na kuchaguwa, wewe unazaa tu kama sungura ukifikiri utahudmiwa?!
Nyie "Incubators" mna matatizo sana, yanawakuta kwa kujitakia, zaa baada ya kukubaliana na mwenzio na siyo kwa faida yako wewe...
 
Daaah so sad aiseee ila wanaume Mungu anawaona me yule mwanaume tangu 2016 alipo niachia ujauzito hajaonekana tena mpka Leo hii nashukuru Mungu tu kabinti kangu kanakua na afya njema basi maisha yanakwenda hatuna mawasiliano wala 100 yake cjawahi igusa ...ukimwambia kuhusu mtoto anakuja juu ananikana kwamba Mimi hanijui wala hajazaa na Mimi lkn yote kheri...nmesha move on n mwaka wa NNE sasa unaelekea wala hashtuki...yupo tu hana habari ila uzuri karma ikikuescape wewe inaweza kumkuta ata binti yako ni swala la muda tu ....

am better here
Mimi anafanya ila akijisikia na wala simuulizi na nilimwambia sitamuuliza Afanye anachotaka siwezi kumlazimisha mapenzi kwa mwanae.
Maisha yetu na mwanangu yanasonga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya
Daaah so sad aiseee ila wanaume Mungu anawaona me yule mwanaume tangu 2016 alipo niachia ujauzito hajaonekana tena mpka Leo hii nashukuru Mungu tu kabinti kangu kanakua na afya njema basi maisha yanakwenda hatuna mawasiliano wala 100 yake cjawahi igusa ...ukimwambia kuhusu mtoto anakuja juu ananikana kwamba Mimi hanijui wala hajazaa na Mimi lkn yote kheri...nmesha move on n mwaka wa NNE sasa unaelekea wala hashtuki...yupo tu hana habari ila uzuri karma ikikuescape wewe inaweza kumkuta ata binti yako ni swala la muda tu ....

am better here

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kaka. Tatizo sio hilo, kuna watoto wamezaliwa utasema ni copy ya baba zao lakini huyo baba bila aibu anashindwa kumuhudumia mwanae.
Yaani hili suala lisikie kwa mwingine omba Mungu lisikukute....Mimi Dada angu toka nitoke mume kamkimbia kamuachia watoto sita imagine!....limeenda kuoa huko songea

Tutamdaka tu japo anaona kajichimbia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti incubator. Mnadharau sana nyie mnaodhani maisha mmeyapatia.
Singura mimi ila siombi 10 kwako balance shobo
Usizae bila kushauriana na mwenzio, usimvulie chupi mwanaume ukafikiri yatakayokea basi lazima ahusike, kuzaa ni kupanga na kuchaguwa, wewe unazaa tu kama sungura ukifikiri utahudmiwa?!
Nyie "Incubators" mna matatizo sana, yanawakuta kwa kujitakia, zaa baada ya kukubaliana na mwenzio na siyo kwa faida yako wewe...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom