Wanaume tuoneeni huruma dada/mama zenu

Wanaume tuoneeni huruma dada/mama zenu

Pole sana Mzigua,
Ila usihofu kwasababu mtoto ni mmoja tu inawezekana kabisa akapatikana mlezi miongoni mwetu huku JF na akamtreat kama mwanae maana kuna leo na kesho (tena nyie single mothers mnasifika kwa ku-handle vizuri) maana mna uzoefu ndo maana hata vijana wengi tukidhamiria kubipu (hit & run) tunachanganyikiwa tunapiga kabisa (ndoa) kutokana na hospitality tunayopata, cha muhimu uwe transparent tu na usiwena dharau kwa yeyote.
Huyu binti hana tatizo na mtu
 
Watoto sita jamani? Haoni aibu? Kuna mtu aliniambia hata iweje haitatokea baba akawapenda watoto kama mama anavyowapenda ndio maana ni rahisi wao kukataa watoto na hawajali kabisa. Hata ujilize ugaregare kama kageuka kageuka.
Mimi baba mtoto wangu mkorofi ila nashukuru siku hizi hicho hicho kidogo tunagawana japo nahisi huwa ananiletea hizo story zake sababu namnyima game kwahiyo anafanya kama kunikomoa na mimi nishamwambia afanye anachotaka wala asidhani ntampa game ili atunze mwanae haipo. Nitampa kwa ashki zangu na si zaidi ya hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ndio yule
Mkurya uliyekua unamsifia ana hela na
Ana kugegeda vyema?
 
Poleni wadada na wamama.. kuweni makini na mgao wa umeme.
 
Pole,tatizo nyie mkitongoz na watu timamu na wakataa mnataka wavaa modo hayo ndo matokeo yake
 
Wasichana wengi siku hz ni wajinga mno,NAWACHUKIA SANA SINGO MAMA HASA WENYE UMRI CHINI YA 24
 
Incase baba mtoto anajiweza he must be very wrong indeed. Mtoto hakimbiwi aisee.
Kwa wenzetu kule, Baharia kama wewe unamkimbia mtoto kama sijui ulikuwa unaishi New York, unajidai kwenda kujichimbia California; bado Uncle Sam alivyo na mkono mrefu atakupata tu. Utakuwa unakatwa cha juu mpaka mtoto atakapo timiza miaka 18. Hivyo wewe Baharia; You can run but you can not hide! 😅😅😅... Mambo vipi lakini?
 
Swala la mimba ni kujitakia isipokua tuu kwa mabinti wale wadogo ambao wengi hata bikra zao zilitolewa bila hiari yao ilaa mtu mzima akili ishatulia unashindwa hata kunywa P2??? Unazaa tuu eti mimba ya bahati mbaya?? Tena kwa mwanaume haeleweki loh..tena we mwenyewe huna ajira.
 
Wasichana wengi siku hz ni wajinga mno,NAWACHUKIA SANA SINGO MAMA HASA WENYE UMRI CHINI YA 24
Wala siyo wenye umri wa 24yrs tu..single mama wote ukiwa nae jipange kung'ang'aniwa,kulazimishwa,kutukanwa na ujinga wa kiwango cha lami,sipendi kabisa na hii dhana ya kujifanya eti ni mama zetu na dada zetu,ninayelala naye siyo dada wala mama..anaweza kua ni mshenzi fulani tu nakujifanya yeye ni mwanamke dhafu anapaswa kulindwa lakini ni washenzi wakubwa
 
Kukimbia mtoto ni mbaya sana.. hata kama hamna maelewano na mama yake... Muhimu mwanaume timiza wajibu wako wa kulea mtoto...
 
Back
Top Bottom