Wanaume tuoneeni huruma dada/mama zenu

Wanaume tuoneeni huruma dada/mama zenu

Nikiwa kama mhanga wa mwanamke alieachiwa matunzo ya mtoto bila msaada wa baba naumia sana. Hivi wanaume huwa mnawaza nini mnapotupa adhabu ya kulea watoto peke yetu na wewe baba ukiwa hai na unajiweza? Hata kama hujiwezi basi kumjali mtoto wako japo kwa kuulizia maendeleo yake mtu anashindwa kabisa.

Hivi kina kaka mmejiuliza nyie baba zenu wangewakimbia mngekuwa wapi sasa hivi? Mnajua ni chuki gani mnaweka kwa watoto wenu mliowakataa? Mnajua ni laana gani mnapata kwa Mungu kwa kukataa kutimiza wajibu wenu kama wazazi? Au mnatukomoa kwa sababu mama hawezi kumuacha mtoto wake nyuma hata apate tatizo gani?

Labda wewe na mama wa mtoto hamko sawa lakini ile hasira ya ninyi kutokua sawa baba usimkomeshe mama kwa kuacha kumtunza mwanao ukijua unamkomoa mama, pale unaemkomoa ni mtoto wako ambae ulimtafuta kwa mapenzi/tamaa zako mwenyewe.

Naandika nikiwa na uchungu mwingi sana moyoni. Mwanaume usiemtunza mwanao ona aibu na muogope Mungu wako kwa kitendo unachokifanya.
Jiulize ingekua ni dada yako au mwanao ameachwa na mwanaume alee mtoto peke yake ungejisikiaje?

KARMA IS A BITCH. Ukinifanyia mimi leo wakati unao dada na watoto wa kike jua itakuumiza na wew kwa mmoja kati ya hao kufanyiwa kama unavyofanyia wengine.

Baba mtoto wangu nimeshamlilia Mungu juu yako na nina hakika huyu mtoto ulieniachia nimlee peke yangu atanifuta machozi siku moja na utatamani akutambue kama baba yake utakua umeshachelewa.

Kaka/baba zangu baba Diamond akawe mfano kwenu, Obama aliekataliwa na baba yake mwishoni alikuja kuwa Rais wa Marekani/dunia.
Kwa upande wangu naweza kusema kwamba mambo haya yanatokana na pande zote mbili kushindwa kuwa wakweli.Unamkuta mwanamke anampenda tu kijana ambae hana uelekeo ila kwa kuwa ni handsome wao ndio wanawaita,tayari analazmika kuzaa na haijalishi anapesa au hana ila tu ili hali aonekane kazaa na huyo mtu, inapofika kwenye kuhudumia inakuwa shida hapo ndipo utaona malalamiko yanakuwa mengi wakati aliona kuzaa na huyo mtu ni hadhi.Kingne wanawake wamekuwa ombaomba sana eti kisa umebeba ujaa uzito wangu ndo inakuwa kigezo cha kunihuzunisha kila cku hii itawafanya mkimbiwe sana,inapotokea hali kama hii jitahidini kuwa wavumilivu,mwanaume anaejua kwamba nilitupia mwenyewe kamwe hawez kukuacha hovyo endapo utakuwa unamheshimu na kumsikiliza lakini vitisho vingi, maneno kibao, inampelekea anakuwa na roho nyingine.Dada angu ukisema ugomvi wenu haumhusu mtoto hilo ni kweli lakini linaasilimia kubwa kupelekea mtoto kuumia kwa sababu ww huongei na mm itanipa uvivu wa kufuatilia uwepo wake.Mwisho nawaombeni madada mnapopata mimba muwe watu wa kutuliza kichwa na kufikiria nini cha kufanya si tu unapata unaona kama vle umepata mzigo sana cha msingi wasiliana na mzazi mwezako kwa utaratibu na heshimu ili na yy akuelewe na atahusika kwa ujumla ila tu tena msijikute mnakuwa wababe na kupenda kusikilizwa sana.Mkienda na misingi hiyo mtazaa kwa raha na kulea bila shida ASANTENI.

Sent from my LG-D958 using JamiiForums mobile app
 
Pole sana dada na nafkiri ujumbe umewafikia wanaume wote ambao huwa wanafanya mapenzi pasipo kuwajibika na matokeo ya kitendo hicho . Mim napenda kuwaita wavulana tena watoto kwan mwanaume aliyekuwa vizuri hawezi kufanya mapenzi halaf asiwajibike na kiumbe kitakacho patikana
 
Mtoto mkipanga wote mumpate haiwezi kutokea kesi ya matunzo..ila kama ni mimba za kutegesheana kwa expectations za ndoa au kuvuta michuzi..wanaume wa siku hizi ni wa mwendo kasi
 
Pole sana,jaribu kusamehe na kusahau,forget the past,focus on ur future

Mpende mwanao, kuwa mama mzuri kwake & she/ he will be proud of u one day
 
Itakua kuna sababu. Hawezi kua mwehu kiasi icho hadi akatae mtoto.
Itakua ulichepuka mwenzio hana uhakika kama mtoto ni wake ama lah
Kwaiyo suluhu ya kuto kua na uhakika ni kukimbia majukumu? Na baadae mtakuja kuwaambia hao watoto kwamba hamkua na uhakika ndio maana mkakimbia? Hizi ulizonazo ni akili chafu sana za kivulana kwanini msitafute uhakika kabla ya kukimbia?
 
Kwaiyo suluhu ya kuto kua na uhakika ni kukimbia majukumu? Na baadae mtakuja kuwaambia hao watoto kwamba hamkua na uhakika ndio maana mkakimbia? Hizi ulizonazo ni akili chafu sana za kivulana kwanini msitafute uhakika kabla ya kukimbia?
Sio akili zangu ni za aliyekimbia. Pole kwa kukimbiwa. Nxt tym jitahidi uwe mwaminifu.
Last thing, avoid creating doubts.
 
Acha mawazo juu ya Huyo mwanaume focus juu ya maisha yako na mwanao, Muondoe kabisa katika fikra zako wanaume ndivyo walivyo hata tulioko huku kwenye ndoa ndio wako hivyo hawashukuru kwa wanachojaaliwa, kitendo cha kutelekeza mtoto ni cha kuto kushukuru Kwa kujaaliwa uwepo wake Duniani, ila what goes around will comes around we tulia tu jibidiishe katika katika utafutaji na maombi Muombee mwanao akue aje kuwa Mtu mwema na wa mfano,somesha mwanao just like sahau kama Huyo mtu yupo Duniani
 
Alafu wanasubir akue wanakuwaga vizee vya lawama kama nini Mungu atusaidie wanawake
 
Mzigua90 . tatizo hapa ni kubwa sio kama unavyolizani.
mfano, mwanamke uliyekuwa unaishi naye mkawa na watoto kadhaa, baada ya muda hali ya maisha imebadilika hajashindwa kuishi bali mnaanza kubana matumizi. yeye anabeba anataifisha biashara chache mlizonazo,anakimbilia kujificha uswahilini kakodi/kakodiwa na wanaume,watoto kapelekwa kwao yeye aniishi kivyake huko uswahilini na wanaume anaowajua yeye.

miezi mitatu ya mwanzo ukipiga simu anatukana tu,ukiuliza habari za watoto anatukana muda mwingine ukipiga simu kujua hali za watoto anakupa mwanaume wake akutukane.analewa pombe na mumewe anakupigia simu usiku haongei unasikia sauti ya watu wakifanya mapenzi angali alikuwa mkeo unayeishi naye. watoto hawanyonyi wala hakai nao unamwambia nipe hataki,baadhi ya ndugu ukiwaeleza wanakwambia hayawahusu nimalizane na huyo mwanamke kwamba hawakunituma nimtongoze wala hawakuniita.

baada ya miezi minne anaanza kudai nimpe hela ya watoto,mbaya zaidi hakai nao kawaacha kwa mama,anipe hataki.HIYO NGUVU YA KUMTUMIA MWANAMKE HELA UTAITOA WAPI DADA YANGU? utajiuliza kwa kuwa watoto wako kijijini na wanasoma public school ambapo ada ni chakula kwa mwaka elfu 20,chochote utakachotuma anaweza kukitumia kulewea au kupata vocha ya kukutukana zaidi ndio maana baadhi ya mazingira mwanaume unakuwa atili unaona bora liwa litakalokuwa sio kujidhalilisha. mimi imenitokea mbaya kaondoka na mitaji ya biashara na kaenda kufungua uchochoroni.hapo inabidi hiyo profit alee watoto, hapati faida anipe watoto.haiwezekani basi nakubali kulaumiwa/.
 
Nikiwa kama mhanga wa mwanamke alieachiwa matunzo ya mtoto bila msaada wa baba naumia sana. Hivi wanaume huwa mnawaza nini mnapotupa adhabu ya kulea watoto peke yetu na wewe baba ukiwa hai na unajiweza? Hata kama hujiwezi basi kumjali mtoto wako japo kwa kuulizia maendeleo yake mtu anashindwa kabisa.

Hivi kina kaka mmejiuliza nyie baba zenu wangewakimbia mngekuwa wapi sasa hivi? Mnajua ni chuki gani mnaweka kwa watoto wenu mliowakataa? Mnajua ni laana gani mnapata kwa Mungu kwa kukataa kutimiza wajibu wenu kama wazazi? Au mnatukomoa kwa sababu mama hawezi kumuacha mtoto wake nyuma hata apate tatizo gani?

Labda wewe na mama wa mtoto hamko sawa lakini ile hasira ya ninyi kutokua sawa baba usimkomeshe mama kwa kuacha kumtunza mwanao ukijua unamkomoa mama, pale unaemkomoa ni mtoto wako ambae ulimtafuta kwa mapenzi/tamaa zako mwenyewe.

Naandika nikiwa na uchungu mwingi sana moyoni. Mwanaume usiemtunza mwanao ona aibu na muogope Mungu wako kwa kitendo unachokifanya.
Jiulize ingekua ni dada yako au mwanao ameachwa na mwanaume alee mtoto peke yake ungejisikiaje?

KARMA IS A BITCH. Ukinifanyia mimi leo wakati unao dada na watoto wa kike jua itakuumiza na wew kwa mmoja kati ya hao kufanyiwa kama unavyofanyia wengine.

Baba mtoto wangu nimeshamlilia Mungu juu yako na nina hakika huyu mtoto ulieniachia nimlee peke yangu atanifuta machozi siku moja na utatamani akutambue kama baba yake utakua umeshachelewa.

Kaka/baba zangu baba Diamond akawe mfano kwenu, Obama aliekataliwa na baba yake mwishoni alikuja kuwa Rais wa Marekani/dunia.

Dada pole sana, lakini nataka kukuambia asilimia 99% ya wanawake mnaolea watoto peke yenu ni matokeo ya ujeuri wenu na viburi kwa wanaume nitakupa mfano hai unaonihusu mimi mwenyewe nilikuwa nikiishi na mdada mmoja huko geita akapata ujauzito na kulazimika kujifungua kwa upasuaji wazazi wake walitaka kuja kumuuguza mtoto wao niliwakatalia kwa kwaeleza kwamba hilo ni jukumu langu wala wasipate taabu mtoto wao yuko mikono salama alifanyiwa upasuaji na kupata mtoto wa kiume na nililala naye wadi ya wanawake hospitali ya mkoa ya geita kuanzia Jan 22 hadi 24 2014 baada ya kutoka hospitali nilimpeleka Guest na kumuwekea akina mama wawili wa kumhudumia kwa muda wa siku 14 ndipo aliporudi nyumbani na huko nyumbani alikuwepo mtu wa kumsaidia kufua na kupika. Baada ya afya yake kuimarika nilienda Moshi kwenye mihangaiko yangu na nikawa namtumia fedha kila wiki 50,000/= na alikuwa akizitolea kwa wakala aitwaye samweli karibu na classic kwa wanaoijua geita laikini kila anapotumiwa fedha hulaumu kwamba fedha ni kidogo mimi naponda raha tu na wanawake wengine jambo ambalo lilinitia hasira kwa kuzingatia fedha naipata kwa ugumu lakini anyeitumia hana shukrani roho yangu iliumia sana nikaamua nimtumie 150, 000/= aje Dodoma kwenye nyumba yangu ili tupunguze gharama za malezi na kodi ya nyumba baada ya kutuma fedha zile alianzisha tabia ya kusingizia mtoto anaumwa hawezi kusafiri mpaka mtoto apone nikipiga simu hospitali kama mtoto kapelekwa hapo naambiwa hakuna mtoto mgonjwa mwenye jina la mwanangu baadaye ikagundulika fedha anatumia na vijana kwenda kwa waganga ili niendelee kumpa zaidi.

Nilimsubiri Dodoma kwa wiki mbili nzima hakuja nami muda wa kukaa hapa ulikwisha kwa amujibu wa shughuli zangu na siwezi kuacha ufunguo wa nyumba kwa jirani wakati ninaye msubiri hana nia ya kuja na zaidi ya yote huku ni mgeni nyumba bila mwenyeji huwezi ingia bila maelekezo fulani ya kijamii. Nilimtaarifu baba yake mzazi ambaye ni William Sunja Mwalimu Mkuu shule ya msingi msemembo Manyoni kuwa "Kwakuwa mwanaye alikuja geita kunifuata mimi na si mwanaume mwingine yeyote na kwamba hakuwa na mwenyeji mwingine tofauti na mimi pamoja na kumtumia nauli bado ananiwekea masharti ya kuja kwangu maana yake ana mwenyeji wake mwingine kule hivyo toka dakika ile binti yake hayuko mikononi mwangu tena na asije tena dodoma nafasi yake haipo tena siwezi kupoteza kumsubiri yeye wakati yeye ndo ananitegemea na mimi ndiyo mkuu wa familia ninayeratibu familia yangu iishije na wapi tena hana kitu cha msingi anachofanya huko kitakacholeta mafanikio katika familia.

Matokeo yake aliuza vitu vyote kule vyenye thamani kubwa zaidi ya 25Mna kuondoka na mwanaume mwingine na mpaka leo anaishi naye huyo mwanaume na amezaa naye, cha ajabu ni kwamba baada ya mwaka mmoja ananiomba fedha ya matunzo ya mtoto hivi hapo hata kama una matope kichwani fedha unatoa kwa ajili ya nini na unampa nani kama siyo kutafutiana kesi za mada bure lakini bado kana kwamba hilo halitoshi mtoto kabatizwa bila mimi kuambiwa sasa kwa maelezo hayo mafupi ninakuthibitishia kuwa dharau zenu huwaletea majanga siyo la kulea mtoto peke yako hata mengine yasiyowezekana kuandikwa hapa. KAMA NI HIVYO BASI AMALIZE KILA KITU YEYE NA BABA YAKE LABDA NDIYO BABA WA HUYO MTOTO MAANA MZEE ANA SAPOTI UPUMBAVU WA BINTI YAKE. MTOTO ATATESEKA KWA UJINGA WA FAMILIA YA MAMA YAKE.
 
Nikiwa kama mhanga wa mwanamke alieachiwa matunzo ya mtoto bila msaada wa baba naumia sana. Hivi wanaume huwa mnawaza nini mnapotupa adhabu ya kulea watoto peke yetu na wewe baba ukiwa hai na unajiweza? Hata kama hujiwezi basi kumjali mtoto wako japo kwa kuulizia maendeleo yake mtu anashindwa kabisa.

Hivi kina kaka mmejiuliza nyie baba zenu wangewakimbia mngekuwa wapi sasa hivi? Mnajua ni chuki gani mnaweka kwa watoto wenu mliowakataa? Mnajua ni laana gani mnapata kwa Mungu kwa kukataa kutimiza wajibu wenu kama wazazi? Au mnatukomoa kwa sababu mama hawezi kumuacha mtoto wake nyuma hata apate tatizo gani?

Labda wewe na mama wa mtoto hamko sawa lakini ile hasira ya ninyi kutokua sawa baba usimkomeshe mama kwa kuacha kumtunza mwanao ukijua unamkomoa mama, pale unaemkomoa ni mtoto wako ambae ulimtafuta kwa mapenzi/tamaa zako mwenyewe.

Naandika nikiwa na uchungu mwingi sana moyoni. Mwanaume usiemtunza mwanao ona aibu na muogope Mungu wako kwa kitendo unachokifanya.
Jiulize ingekua ni dada yako au mwanao ameachwa na mwanaume alee mtoto peke yake ungejisikiaje?

KARMA IS A BITCH. Ukinifanyia mimi leo wakati unao dada na watoto wa kike jua itakuumiza na wew kwa mmoja kati ya hao kufanyiwa kama unavyofanyia wengine.

Baba mtoto wangu nimeshamlilia Mungu juu yako na nina hakika huyu mtoto ulieniachia nimlee peke yangu atanifuta machozi siku moja na utatamani akutambue kama baba yake utakua umeshachelewa.

Kaka/baba zangu baba Diamond akawe mfano kwenu, Obama aliekataliwa na baba yake mwishoni alikuja kuwa Rais wa Marekani/dunia.
In my opinion, this is a two-way phenomenon. Bahati mbaya sana umeamua kuitazama kwa upande mmoja.
Sisemi kwamba ni sahihi baba kutomhudumia mwana. Hapana. That's totally unacceptable! Lakini je, unajua kwamba wewe binafsi una mchango wa zaidi ya 75% kwenye matatizo uliyonayo na huyo unayemlalamikia ana mchango wa less than 25%? The ugly truth is.. dada zetu kinachokuponzeni mara nyingi ni tamaa za kijinga, bad influence na mishawasha. No offense meant. Huwezi kufumba macho ukavuka salama barabara ambayo iko bize. We all know kwamba wanaojipiga huwa hawalii, right? Mnapaswa kujua kwamba sio kila mwanaume aliumbwa kuwa BABA. Wengine waliumbwa kuwa 'baba wazazi' tu. Suruali haimfanyi mtu kuwa mwanaume. Hata wanawake si mnavaa? I'm sure huhitaji kuwa University graduate kuelewa what this means. Wengi wenu you tend to run a little too fast on wrong lanes! Kwahiyo before hujaamua kuzaa na mtu, get into his mind, mchanganue.. is he worth it? Can he be a father? Hizi mambo za kukurupuka eti nampenda yule kaka au ananijali sana kwasababu tu huwa anawasiliana na your mom au kwamba umri umeenda nahitaji mtoto, ndo mwisho wa siku zinafanya mnalalama hapa kama mwosha maiti mzoefu ambae for the first time anakuja kustuka kwa mshangao "Heh, kumbe watu huwa wanakufa kweli?". Matokeo yake mnaanza kuinvest chuki ndani ya watoto wenu ili wawachukie baba zao... which vividly proves your minds are way below your stations, especially bearing in mind that no matter the circumstances, hate it or love it, at some point in life children will always crave for their biological fathers one way or the other. No offense meant.
C'mon, God gave you a brain to work out your life and calculate all your steps. I know you might defensively say sometimes ajali huwapata hadi wenye tahadhari, yes, that's true. But when it comes to pregnancy, dada, I personally don't believe kama huwa kuna mimba za bahati mbaya. Kinachomtofautisha binadam na wanyama wengine ni kwamba binadam ana uwezo wa ku-reason. So kabla hujamvulia nguo yule jamaa jiulize kwanza "huyu ni BABA au ni Baba Mzazi tu"? Najua kumshauri aliyekwisha kumbwa na tatizo ni sawa na kujaribu kumpa tiba maiti afufuke. But please dadaz, Don't try the paranormal until you know what's normal!!
 
Nikiwa kama mhanga wa mwanamke alieachiwa matunzo ya mtoto bila msaada wa baba naumia sana. Hivi wanaume huwa mnawaza nini mnapotupa adhabu ya kulea watoto peke yetu na wewe baba ukiwa hai na unajiweza? Hata kama hujiwezi basi kumjali mtoto wako japo kwa kuulizia maendeleo yake mtu anashindwa kabisa.

Hivi kina kaka mmejiuliza nyie baba zenu wangewakimbia mngekuwa wapi sasa hivi? Mnajua ni chuki gani mnaweka kwa watoto wenu mliowakataa? Mnajua ni laana gani mnapata kwa Mungu kwa kukataa kutimiza wajibu wenu kama wazazi? Au mnatukomoa kwa sababu mama hawezi kumuacha mtoto wake nyuma hata apate tatizo gani?

Labda wewe na mama wa mtoto hamko sawa lakini ile hasira ya ninyi kutokua sawa baba usimkomeshe mama kwa kuacha kumtunza mwanao ukijua unamkomoa mama, pale unaemkomoa ni mtoto wako ambae ulimtafuta kwa mapenzi/tamaa zako mwenyewe.

Naandika nikiwa na uchungu mwingi sana moyoni. Mwanaume usiemtunza mwanao ona aibu na muogope Mungu wako kwa kitendo unachokifanya.
Jiulize ingekua ni dada yako au mwanao ameachwa na mwanaume alee mtoto peke yake ungejisikiaje?

KARMA IS A BITCH. Ukinifanyia mimi leo wakati unao dada na watoto wa kike jua itakuumiza na wew kwa mmoja kati ya hao kufanyiwa kama unavyofanyia wengine.

Baba mtoto wangu nimeshamlilia Mungu juu yako na nina hakika huyu mtoto ulieniachia nimlee peke yangu atanifuta machozi siku moja na utatamani akutambue kama baba yake utakua umeshachelewa.

Kaka/baba zangu baba Diamond akawe mfano kwenu, Obama aliekataliwa na baba yake mwishoni alikuja kuwa Rais wa Marekani/dunia.
Tatzo wanawake wengi WA siku hizi hamjielewi... Mnaweka mbele kungongwa gongwa hovyo na wanaume wengi..

Utakuta mwanamke upo kwenye mahusiano lakn unaanzisha uhusiano mwingne Mara ufumwe na msg za mwanaume mwingne..

Ni mwanaume chizi na asiyejielewa pekee ndio ataikubali mimba wakat aliona kabisa ni kiruka njia
 
Mimi nawalaumu wanawake katika hilo tu, they are in control of their bodies, wanajua lini wapo safe, lini wanaweza kujiachia, wanaweza kuamua huyu nimpe coz anafaa, huyu hanifai hivyo he won't test my bits.

Ninachoshindwa kuelewa, kwa nini(pamoja na kuwa na full control ya miili yao), kwa nini mtu anabeba mimba ya mtu asiyeonyesha kuwa nae, kwa nini wanategesha mimba? Hiyo weakness kwa dada zetu inawatafuna, wanapata mzigo wa kulea watoto peke yao...so sad!...

Lakini pamoja na hayo, mwanaume kumuachia mwenzako majukumu ya malezi no dhambi kubwa!!
Brains. Thumbs!
 
HIVI NI NANI ANWEZA TOA FEDHA ZAKE HUKU AKITUKANWA NA KUSIMANGWA KISA MTOTO???? MBONA HATA PAKA ANAZAA PUNGUZENI DHARAU NA UJEURI KWELI KUNA WAKOROFI WACAHACHE LAIKINI 99% YA WANAWAKE MLIOACHWA NI KIBURI UMALAYA WIZI USHIRIKINA ETI UMKUNJE MWANAUME TENA UNGEJUA USINGEANDIKA MAMBO HAYA MNAKWAMISHA SANA MAENDELEO YA WANAUME KWA VISINGIZIO VYA WATOTO NDIYO MAANA WASIOJIZUIA HUFANYA MAUAJI NA MAISHA YAO YANAANGAMIA.
 
kwa kusikia unaweza ona mwanaume ni muonevu ila unapovaa viatu vyake unaweza kuta kaumizwa vibaya na mwanamke.
wanawake mwanzo huwa na jeuri wanapopata bwana mwingine baada ya muda hurudi kwa kulalamika angali walitukana
 
Back
Top Bottom