Gunst
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 3,142
- 6,032
hasimakosa nimokeoyandoaa. Mmojawapo akikosea
Hivi unakuwaga mlevi mda wote?
Nini hiki sasa umeandika.
hasimakosa nimokeoyandoaa. Mmojawapo akikosea
Lugha gani unazungumza wewe
Hili ni gem tuuuu la kuwekana sawa; watu hawaachanagi kihivyo huku mioyo inauma. Ikipoa ni maloveee ya kufa mtu, hata kuiba itahusika
You need to apologise..! Umemdharau for which reason? Or you are searching for popularity..?
Kwa sababu ya kushindana na mwanamke. mwanaume kamili hawezi kushindana na mwanamke aliyekuwa analala nae kwenye media. NIMEMDHARAU.
Gadner na Jd wana umri gani jamani
Kwa sababu ya kushindana na mwanamke. mwanaume kamili hawezi kushindana na mwanamke aliyekuwa analala nae kwenye media. NIMEMDHARAU.
Gadner bora ukae kimya navyomjua jide kuna mengine kabakiza kwahiyo ukijibu tu yale kama ya emma mbasha ya kuomba tigo atayasema.
Hakuna kibaya alichoandika GGH, na wala siamini kuwa alitaka kweli kukubaliwa na wadau wa insta ili afunguke....ama kuandika zile husani za eFm, wadau wake...mie nafikiri he was being sarcastic zaidi ya kuwa real....its like playing with one's mind....
wala hakuna sababu ya kumdharau coz hata hatujui upande wa pili wa coin unasomekaje, wakati mwingi wapendanao wakitibuana wanaanza kuropoka maneno ambayo naamini hata Jide karopoka tu coz kidonda kinauma...!
Hiyo ''umario'' ndiyo nini aisee mbona inarudiwa, rudiwaa mara nyingi?
tatzo jide ni mgumbakwenye yeyote ile mtoto ni kiunganishi cha familia hivyo kukosekana kwa mtoto miaka hiyo 10 ya ndoa ndo imeleta majanga hayo